Thursday 14 June 2012

MUHTASARI WA BAJETI YA TANZANIA 2012/13

Mapato
Shilingi Milioni
A.
Mapato ya Ndani
8,714,671
(i)   Mapato ya Kodi (TRA)
8,070,088
(ii)  Mapato yasiyo ya Kodi
644,583
B.
Mapato ya Halmashauri
362,206
C.
Mikopo na Misaada ya Kibajeti
842,487
D.
Mikopo na Misaada ya Miradi ya Maendeleo ikijumuisha MCA (T)
2,314,231
E.
Mikopo ya Ndani
1,631,957
F.
Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara
1,254,092
JUMLA YA MAPATO YOTE
15,119,644
Matumizi
G.
Matumizi ya Kawaida
10,591,805
(i)    Deni la Taifa
2,745,056
(ii)   Mishahara
3,781,100
(iii)  Matumizi Mengineyo
4,065,649
      Wizara               3,311,399
      Mikoa                     49,701
      Halmashauri         704,549
H.
Matumizi ya Maendeleo
4,527,839
(i)  Fedha za Ndani
2,213,608
(ii)  Fedha za Nje
2,314,231
JUMLA YA MATUMIZI YOTE
15,119,644

No comments:

Post a Comment