tag:blogger.com,1999:blog-77897204260194178682024-02-19T07:10:01.399-08:00NCCR-MAGEUZI BLOG: PAMOJA TUTASHINDA!NCCR-Mageuzihttp://www.blogger.com/profile/12112294368976556802noreply@blogger.comBlogger104125tag:blogger.com,1999:blog-7789720426019417868.post-21850787191383337332014-07-04T03:50:00.000-07:002014-07-04T03:51:40.195-07:00TAMKO LA NCCR MAGEUZI KUHUSU UFISADI WA IPTL KUPITIA AKAUNTI YA TEGETA ESCROW<!--[if gte mso 9]><xml>
<w:WordDocument>
<w:View>Normal</w:View>
<w:Zoom>0</w:Zoom>
<w:TrackMoves/>
<w:TrackFormatting/>
<w:PunctuationKerning/>
<w:ValidateAgainstSchemas/>
<w:SaveIfXMLInvalid>false</w:SaveIfXMLInvalid>
<w:IgnoreMixedContent>false</w:IgnoreMixedContent>
<w:AlwaysShowPlaceholderText>false</w:AlwaysShowPlaceholderText>
<w:DoNotPromoteQF/>
<w:LidThemeOther>EN-US</w:LidThemeOther>
<w:LidThemeAsian>X-NONE</w:LidThemeAsian>
<w:LidThemeComplexScript>X-NONE</w:LidThemeComplexScript>
<w:Compatibility>
<w:BreakWrappedTables/>
<w:SnapToGridInCell/>
<w:WrapTextWithPunct/>
<w:UseAsianBreakRules/>
<w:DontGrowAutofit/>
<w:SplitPgBreakAndParaMark/>
<w:DontVertAlignCellWithSp/>
<w:DontBreakConstrainedForcedTables/>
<w:DontVertAlignInTxbx/>
<w:Word11KerningPairs/>
<w:CachedColBalance/>
</w:Compatibility>
<w:BrowserLevel>MicrosoftInternetExplorer4</w:BrowserLevel>
<m:mathPr>
<m:mathFont m:val="Cambria Math"/>
<m:brkBin m:val="before"/>
<m:brkBinSub m:val="--"/>
<m:smallFrac m:val="off"/>
<m:dispDef/>
<m:lMargin m:val="0"/>
<m:rMargin m:val="0"/>
<m:defJc m:val="centerGroup"/>
<m:wrapIndent m:val="1440"/>
<m:intLim m:val="subSup"/>
<m:naryLim m:val="undOvr"/>
</m:mathPr></w:WordDocument>
</xml><![endif]--><!--[if gte mso 9]><xml>
<w:LatentStyles DefLockedState="false" DefUnhideWhenUsed="true"
DefSemiHidden="true" DefQFormat="false" DefPriority="99"
LatentStyleCount="267">
<w:LsdException Locked="false" Priority="0" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" QFormat="true" Name="Normal"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="9" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" QFormat="true" Name="heading 1"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="9" QFormat="true" Name="heading 2"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="9" QFormat="true" Name="heading 3"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="9" QFormat="true" Name="heading 4"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="9" QFormat="true" Name="heading 5"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="9" QFormat="true" Name="heading 6"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="9" QFormat="true" Name="heading 7"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="9" QFormat="true" Name="heading 8"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="9" QFormat="true" Name="heading 9"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="39" Name="toc 1"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="39" Name="toc 2"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="39" Name="toc 3"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="39" Name="toc 4"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="39" Name="toc 5"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="39" Name="toc 6"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="39" Name="toc 7"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="39" Name="toc 8"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="39" Name="toc 9"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="35" QFormat="true" Name="caption"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="10" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" QFormat="true" Name="Title"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="1" Name="Default Paragraph Font"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="11" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" QFormat="true" Name="Subtitle"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="22" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" QFormat="true" Name="Strong"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="20" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" QFormat="true" Name="Emphasis"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="59" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Table Grid"/>
<w:LsdException Locked="false" UnhideWhenUsed="false" Name="Placeholder Text"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="1" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" QFormat="true" Name="No Spacing"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="60" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Light Shading"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="61" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Light List"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="62" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Light Grid"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="63" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Shading 1"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="64" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Shading 2"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="65" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium List 1"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="66" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium List 2"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="67" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Grid 1"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="68" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Grid 2"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="69" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Grid 3"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="70" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Dark List"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="71" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Colorful Shading"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="72" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Colorful List"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="73" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Colorful Grid"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="60" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Light Shading Accent 1"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="61" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Light List Accent 1"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="62" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Light Grid Accent 1"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="63" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Shading 1 Accent 1"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="64" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Shading 2 Accent 1"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="65" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium List 1 Accent 1"/>
<w:LsdException Locked="false" UnhideWhenUsed="false" Name="Revision"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="34" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" QFormat="true" Name="List Paragraph"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="29" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" QFormat="true" Name="Quote"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="30" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" QFormat="true" Name="Intense Quote"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="66" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium List 2 Accent 1"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="67" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Grid 1 Accent 1"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="68" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Grid 2 Accent 1"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="69" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Grid 3 Accent 1"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="70" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Dark List Accent 1"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="71" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Colorful Shading Accent 1"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="72" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Colorful List Accent 1"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="73" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Colorful Grid Accent 1"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="60" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Light Shading Accent 2"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="61" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Light List Accent 2"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="62" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Light Grid Accent 2"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="63" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Shading 1 Accent 2"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="64" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Shading 2 Accent 2"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="65" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium List 1 Accent 2"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="66" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium List 2 Accent 2"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="67" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Grid 1 Accent 2"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="68" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Grid 2 Accent 2"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="69" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Grid 3 Accent 2"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="70" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Dark List Accent 2"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="71" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Colorful Shading Accent 2"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="72" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Colorful List Accent 2"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="73" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Colorful Grid Accent 2"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="60" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Light Shading Accent 3"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="61" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Light List Accent 3"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="62" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Light Grid Accent 3"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="63" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Shading 1 Accent 3"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="64" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Shading 2 Accent 3"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="65" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium List 1 Accent 3"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="66" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium List 2 Accent 3"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="67" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Grid 1 Accent 3"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="68" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Grid 2 Accent 3"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="69" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Grid 3 Accent 3"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="70" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Dark List Accent 3"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="71" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Colorful Shading Accent 3"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="72" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Colorful List Accent 3"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="73" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Colorful Grid Accent 3"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="60" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Light Shading Accent 4"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="61" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Light List Accent 4"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="62" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Light Grid Accent 4"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="63" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Shading 1 Accent 4"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="64" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Shading 2 Accent 4"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="65" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium List 1 Accent 4"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="66" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium List 2 Accent 4"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="67" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Grid 1 Accent 4"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="68" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Grid 2 Accent 4"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="69" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Grid 3 Accent 4"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="70" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Dark List Accent 4"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="71" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Colorful Shading Accent 4"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="72" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Colorful List Accent 4"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="73" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Colorful Grid Accent 4"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="60" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Light Shading Accent 5"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="61" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Light List Accent 5"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="62" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Light Grid Accent 5"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="63" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Shading 1 Accent 5"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="64" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Shading 2 Accent 5"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="65" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium List 1 Accent 5"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="66" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium List 2 Accent 5"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="67" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Grid 1 Accent 5"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="68" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Grid 2 Accent 5"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="69" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Grid 3 Accent 5"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="70" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Dark List Accent 5"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="71" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Colorful Shading Accent 5"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="72" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Colorful List Accent 5"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="73" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Colorful Grid Accent 5"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="60" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Light Shading Accent 6"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="61" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Light List Accent 6"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="62" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Light Grid Accent 6"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="63" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Shading 1 Accent 6"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="64" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Shading 2 Accent 6"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="65" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium List 1 Accent 6"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="66" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium List 2 Accent 6"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="67" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Grid 1 Accent 6"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="68" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Grid 2 Accent 6"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="69" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Medium Grid 3 Accent 6"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="70" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Dark List Accent 6"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="71" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Colorful Shading Accent 6"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="72" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Colorful List Accent 6"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="73" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" Name="Colorful Grid Accent 6"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="19" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" QFormat="true" Name="Subtle Emphasis"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="21" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" QFormat="true" Name="Intense Emphasis"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="31" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" QFormat="true" Name="Subtle Reference"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="32" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" QFormat="true" Name="Intense Reference"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="33" SemiHidden="false"
UnhideWhenUsed="false" QFormat="true" Name="Book Title"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="37" Name="Bibliography"/>
<w:LsdException Locked="false" Priority="39" QFormat="true" Name="TOC Heading"/>
</w:LatentStyles>
</xml><![endif]--><!--[if gte mso 10]>
<style>
/* Style Definitions */
table.MsoNormalTable
{mso-style-name:"Table Normal";
mso-tstyle-rowband-size:0;
mso-tstyle-colband-size:0;
mso-style-noshow:yes;
mso-style-priority:99;
mso-style-qformat:yes;
mso-style-parent:"";
mso-padding-alt:0in 5.4pt 0in 5.4pt;
mso-para-margin:0in;
mso-para-margin-bottom:.0001pt;
mso-pagination:widow-orphan;
font-size:11.0pt;
font-family:"Calibri","sans-serif";
mso-ascii-font-family:Calibri;
mso-ascii-theme-font:minor-latin;
mso-fareast-font-family:"Times New Roman";
mso-fareast-theme-font:minor-fareast;
mso-hansi-font-family:Calibri;
mso-hansi-theme-font:minor-latin;
mso-bidi-font-family:"Times New Roman";
mso-bidi-theme-font:minor-bidi;}
</style>
<![endif]--><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEggeBYmxs63QA9IR6cgZ9F0iGqcY18jDbZ5Gu7rIql-Pi1ylZgTe5DgaWBQOPcIQEBOoqFDysymXs4mBuaEAiKFx5rLSDnve5uAZqDLDJhklIImISM_EvuR2gtqLs0aaYK0FFyIRhGAqr9s/s1600/DSC00929.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEggeBYmxs63QA9IR6cgZ9F0iGqcY18jDbZ5Gu7rIql-Pi1ylZgTe5DgaWBQOPcIQEBOoqFDysymXs4mBuaEAiKFx5rLSDnve5uAZqDLDJhklIImISM_EvuR2gtqLs0aaYK0FFyIRhGAqr9s/s1600/DSC00929.JPG" height="240" width="320" /></a></div>
<div align="center" class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: 0.0001pt; text-align: center;">
<b><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 13pt;">TAMKO LA NCCR
MAGEUZI KUHUSU UFISADI WA IPTL KUPITIA AKAUNTI YA TEGETA ESCROW</span></b></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 13.0pt;">UTANGULIZI</span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 13.0pt;">Itakumbukwa
na watanzania kuwa kwa takribani miezi miwili sasa watanzania wamekuwa
wakishuhudia bunge la bajeti ambalo pamoja na mambo mengine, hoja ya ufisadi wa
fedha za Umma zilizochotwa kifisadi kwenye akaunti ya Tegeta Escrow ilichukua
sehemu kubwa ya mjadala wan chi hii. Kama chama tunachukua nafasi hii
kumpongeza Mbunge wetu Mhe David Kafulila kwa ujasiri wake wa kutimiza wajibu
wake wa kibunge kwa kiwango cha juu kabisa katika kuhakikisha Bunge<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>linakuwa na udhibiti wa fedha za serikali
ambazo ni mali ya Umma.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 13.0pt;">Aidha,
Chama kinachukua nafasi hii kuwapongeza wabunge wote wanaounda Kambi rasmi ya
upinzani hususani wa CHADEMA na CUF pamoja na NCCR MAGEUZI kwa ushirikiano wao
mkubwa katika kuhakikisha<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>wanaisimamia
serikali katika mambo yote ya msingi likiwemo hili la ufisadi wa fedha za<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>akaunti ya Escrow. Wameonesha mfano mzuri
ndani ya bunge na tunaomba wadau wote wa maendeleo tuungane katika vita hii
kwani ni kwa maslahi ya Taifa letu masikini kabisa. Kwa nukta hii tunaomba
viongozi wa dini, Asasi za kiraia(NGO), Wanazuoni<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>watanzania kwa ujumla tuungane pamoja kutaka
uwajibikaji ili kudhibiti mzimu huu wa ufisadi wa IPTL/ESCROW ulioanza tangu
awamu ya pili ya uongozi wan chi hii na sasa huenda ukaendelea kulitafuna taifa
hadi awamu wa tano.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 13.0pt;">KWANINI
ESCROW AKAUNTI ILIFUNGULIWA</span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 13.0pt;">Pamekuwa
na upotoshaji wa maksudi kabisa kuhusu sababu za kufunguliwa akaunti hii.
Upotoshaji huu umefanywa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali bungeni na watuhumiwa
wenzake kwa maana ya Maswi na Muhongo kwa maana ya watuhumiwa ambao tayari
wamesikika wakizungumzia suala hili. Watuhumiwa hawa wamesikika wakidai kuwa
escrow ilifunguliwa kufuatia mgogoro baina ya wabia wa IPTL kwa maana ya
Mechmar mwenye 70% na VIP mwenye 30%. Haya wanayapotosha<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>ili kuhalalisha hoja yao kuwa fedha hizo sio
za serikali</span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 13.0pt;">NCCR
MAGEUZI inapenda Umma wa Watanzania ufahamu kuwa akaunti hii ilifunguliwa na
pande mbili; Tanesco na Serikali kwa upande mmoja na IPTL kwa upande wa pili.
Na kwamba Akaunti hii ilifunguliwa kufuatia mgogoro wa malipo ya gharama za umeme
ambapo Tanesco ililalamika kuwa inatozwa zaidi. Msingi wa Tanesco kulalamika
kutozwa zaidi kulitokana na IPTL kudanganya kuhusu mtaji wa asilimia 30%
(equity) ambapo ilidai iliwekeza dola 38millioni kumbe iliwekeza dola 50, sawa
na Tsh 50,000/= wakati huo mwaka 1995-1998 ambapo exchange rate ya dola kwa Tsh
ilikuwa 1; 1000.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 13.0pt;">Nikatika
msingi huo, Mwaka Februari2014 Mahakama ya Usuluhishi wa migogoro ya kibiashara
ICSID ilielekeza gharama ziangaliwe upya tangu TANESCO ilipoanza kununua umeme
wa IPTL maka 2002 mpaka 2014 ili kuona ni kwa kiasi gani IPTL ilipata fedha
isiyostahiki na kiasi gani ilikuwa stahiki ili kuweka msingi wa mgawo wa fedha
za escrow.<span style="mso-spacerun: yes;"> </span></span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 13.0pt;">Hivyo<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Akaunti ya Escrow ilifungulimwa mwaka 2006 ikiwa
ni miaka miwili tangu 2004 ambapo TANESCO ilibaini kasoro hiyo ya udanganyifu
uliofanywa na IPTL kwenye equity ya dola 38milioni wakaweka dola 50.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 13.0pt;">KWANINI
FEDHA ZA ESCROW NI MALI YA UMMA</span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 13.0pt;">Fedha
ya Escrow ni mali ya Umma kwa sababu zifuatazo;</span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 13.0pt;">1.Ziliwekwa
kusubiri kumalizika mgogoro wa gharama ambazo IPTL ilikuwa anatoza TANESCO
kifisadi. Mgogoro huo ambao msingi wake ulitokana na IPTL kudanganya kuhusu
mtaji wa dola 38milioni kumbe ilikuwa dola50.Mpaka sasa hakuna mahala mgogoro
huo umeamuliwa.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 13.0pt;">2.Ndio
sababu Hukumu ya awali ya ICSID ilielekeza pande mbili zifanye hesababu upya
ili kubaini ni kiasi gani IPTL ilizidisha na ni kiasi gani ilikuwa halali kwa
kuangalia tangu mwaka 2002. <span style="mso-spacerun: yes;"> </span></span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 13.0pt;">3.Ndio
sababu fedha hizo zilionekana kwenye vitabu vya shirika la Umma Tanesco</span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 13.0pt;">4.Ndio
sababu Kamati ya PAC, Spika na Waziri Mkuu wote wamelekeza CAG achunguze
akaunti hiyo kwani kisheria CAG hana mamlaka ya kuchunguza fedha za
wafanyabiashara bali fedha za Umma. Na CAG anachunguza fedha za Umma kwenye
makampuni ambayo umiliki wake sio chini ya asilimia 50</span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 13.0pt;">MASWI,
MUHONGO, MRAMBA, WEREMA NA IPTL NDIO WALISHINIKIZA UFISADI HUU</span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 13.0pt;">May
30, 2014 Waziri wa Nishati na Madini Mhe Muhongo alidanganya Bunge kuwa uamuzi
wa Serikali kumlipa IPTL/PAP ulikuwa uamuzi wa hukumu ya Mahakama ya Setemba
2013. Ukweli ni kwamba hukumu hiyo hakuna mahala ilielekeza PAP alipwe fedha
hizo. Ukweli ni Kwamba uamuzi wa kifisadi wa kutoa fedha hizo ulifanywa na
Wizara ya Nishati na Madini na Tanesco kwa upande mmoja na IPTL kwa upande wa
pili na ukapewa Baraka na Mwanasheria Mkuu wa Serikali. Hivyo Tunaomba Umma
uelewe hivyo.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 13.0pt;">NYARAKA ZA PAP
KUMILIKI ASILIMIA 70 ZA IPTL NI ZA KUGUSHI</span></b></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 13.0pt;">Nyaraka
za TRA zinaonesha kwamba SingaSinga ambaye ndiye mliki wa PAP alinunua hisa asilimia
za 70 za IPTL kutoka kwa PIPERLINK kwa 480millioni, na kwamba PIPERLINK
ilinunua Asilimia hiyo 70 kutoka kwa Merchmar kwa Tsh6millioni wakati kampuni
hiyohiyo ilinunua asilimia 30 kutoka kwa VIP alinunua kwa 120billioni. Pia
inaonesha kwamba kodi ililipwa disemba 6, 2013 wakati alipewa hela za escrow
tangu Novemba 2013. Kwa tafsiri nyingine alilipwa fedha za Escrow kabla ya kuwa
mmiliki halali wa IPTL. </span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 13.0pt;">Na
zaidi Umma unapaswa kuelewa kuwa Kwa mujibu wa sheria ya kodi(Finance Act
2012), hisa zinapouzwa kutoka kampuni moja kwenda nyingine uhamishaji huo
unathibitishwa na waziri wa wizara husika baada ya kodi kulipwa. Sasa muulizeni
waziri wa Nishati na Madini ni lini uhamishaji huo wa hisa aliupitisha kama
waziri? Na zaidi taarifa za TRA zinaonesha kuwa kodi ya mauzo ya hisa hizo
asilimia 70 kutoka Mechmar kwenda PIPERLINK na Kutoka PIPERLINK kwenda PAP
ilipwa tarehe moja yaani Disemba6, 2013. </span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 13.0pt;">Huu
ni uthibitisho kuwa documents hizi zote ni za kughushi, na watanzania hawawezi
kuchezewa akili kiasi hiki. </span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 13.0pt;">MKATABA WA
WIZARA YA NISHATI NA IPTL KWENDA BOT NI UFISADI</span></b></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 13.0pt;">Mkataba
huu ulikuwa kifisadi kwasababu hauna msingi wowote wa kisheria wala kimkataba.
Mkataba wa kuzitoa fedha hizi ni wa kifisadi mgogoro uliosababisha fedha hiyo
iwekwe hapo haukuwa na haujamalizika. Ndio msingi wa hukumu ya mahakama ya
ICSID uliotaka mahesabu kufanywa upya. Ikumbukwe kuwa kwa mujibu wa mkataba wa
IPTL, pande mbili zilikubaliana kuwa maamuzi kuhusu mgogoro baina yao utamuliwa
na mahakama ya ISCID na sio vinginevyo.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 13.0pt;">MMILIKI
WA PAP ANA REKODI YA UFISADI AFRIKA SIO MWEKEZAJI</span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 13.0pt;">Kwa
mujibu wa report ya wikleaks, Singasinga anaetajwa kuwa mmiliki wa kampuni ya
PAP ametajwa katika orodha ya mafisadi waliohusika katika skendo ya ufisadi wa
Goldenberg nchini Kenya jina lake likiwa no8 akishirikiana na mtoto wa Rais
mstaafu wa Kenya, Gideon Moi. Huu ndio ufisadi mkubwa kupata kufanyika nchini
Kenya, uliohusisha Majaji, Viongozi wakubwa kisiasa, familia ya rais na
watendaji wakubwa serikalini. Kama CCM haitachukua hatua kali kuhusu ufisadi
huu wa escrow ijiandae kufuata nyayo za chama cha KANU kwani kuna kufanana sana
kwa skendo hii na ile ya Goldenberg. </span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 13.0pt;">KIFO
CHA MGIMWA KICHUNGUZWE</span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 13.0pt;">Mhe
Mbunge David Kafulila, alisisitiza ndani ya Bunge kuwa kama tungekuwa na Bunge
makini hata kifo cha aliyekuwa waziri wa Fedha, Mhe Mgimwa kilipaswa
kuchunguzwa. Chama kinapenda kusisitiza kauli hiyo kwakuwa Mzee Mgimwa aliugua
na kufariki katika kipindi ambacho kulikuwa na shinikizo kubwa la kutoa fedha
za escrow bank kuu. Hivyo Kama Chama tunapenda Umma uelewe kuwa huo ndio msingi
wetu wa kutaka uchunguzi wa kifo hicho. Na familia ya Mhe Mgimwa tunaipa pole
kutonesha madonda lakini tunafanya haya kwasababu ndugu yao alikuwa public
figure, alikuwa kiongozi ndani ya nchi hivyo umma una maslahi na chochote
kinachomuhusu mtu huyu.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 13.0pt;">HATMA
YA USALAMA WA MBUNGE KAFULILA</span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 13.0pt;">Mhe
Spika amegoma kuchukua hatua kuhusu mwongozo uliombwa na mbunge Mhe David
Kafulila kuhusu kutishiwa maisha ndani na nje ya Bunge. Kama Chama Tunapenda
kurejea na kusisitiza kuwa tuna hofu na uhai wa Mbunge wetu hasa kutokana na
mazingira yanayozunguka ajenda hii anayoisimamia ikiwa inagusa vigogo na
mafisadi wakubwa. Tunao uzoefu wa mazingira kama haya pale kijana Amina Chifupa
alipozungumzia madawa ya kulevya, tunao uzoefu na kilichotokea kwa Dr Mvungi
alipokuwa mhimili imara wa serikali tatu ndani ya Tume ya warioba, wote
tunafahamu kilichowakuta. Kama chama kwakuwa Bunge la vyombo vya dola havioni
umuhimu huo, tunamwachia<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Mungu, lakini
chochote kikitokea tunafahamu ushiriki wa serikali na vyombo vyake.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 13.0pt;">SPIKA
MAKINDA ANADHALILISHA BUNGE</span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 13.0pt;">Kazi
ya Bunge ni kusimamia Serikali. Ufisadi wa IPTL ulianza tangu awamu ya pili
1994. Ni aibu kwa Spika kukataa Bunge lisichukue jukumu lake la kuichunguza
serikali. Wote mnafahamu CAG alivomsafisha Jailo au PCCB ilivosafisha Richmond.
Ni katika Msingi huo, Kama chama tunashauri suala hili linalogusa vigogo
wakubwa nchini, lichunguzwe na Bunge lenyewe kupitia Kamati teule au uchunguzwe
ufanywe na Kampuni za Kimataifa za ukaguzi kama ilivofanyika kwenye fedha za
EPA. </span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 13.0pt;">Mhe
Mbunge alitoa ushahidi wa hukumu ya Septemba 2013 ikionesha dhahili kuwa hakuna
mahala hukumu ile ilielekeza IPTL/PAP wapewe fedha hizo za Escrow. Na
kuthibitisha kuwa waziri huyu alizungumza uongo bungeni kwa jambo nyeti kama
hili, lakini Spika badala ya kutumia kanuni ya kusema uongo anaelekeza mbunge
aende PCCB, Kambiwa na nani PCCB wanachunguza uvunjifu wa kanuni za bunge?</span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 13.0pt;">Aidha,
Ni udhaifu wa Spika huyu ndio sababu haoni aibu kwa Bunge lake kuwa na
Mwenyekiti wa Kamati ya Nishati na Madini ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa bodi
ya Tanesco. Hii Kamati inawezaje kukosoa uchafu wa TANESCO katika mazingira
hayo? Au ndio sababu taarifa ya Kamati hiyo haikuzungumza chochote kuhusu
ufisadi wa escrow unaohusu TANESCO na wizara yake? </span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 13.0pt;">JAJI
WEREMA AJIPIME KAMA ANASTAHILI KUENDELEA KUWA JAJI NA MWANASHERIA MKUU</span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 13.0pt;">Uamuzi
wa Jaji Werema kutaka kupigana bungeni hata kuzuiwa na Mhe Sitta na Wasira na
baadae nje ya Bunge kumtishia uhai Mhe Mbunge ni kielelezo kuwa amepungukiwa
sifa za msingi kuweza kuendelea kuwa mwanasheria mkuu wa serikali. Ni aibu
serikali ya Kikwete kuwa na Mwanasheria mkuu ambaye kazi yake kubwa ni
kuelekeza na kushauri utawala wa sheria nchini harafu anageuka na kuwa mfano wa
raia mwenye mapenzi ya kujichukulia sheria mkononi ndani ya bunge na kuahidi
kukata kichwa mbunge anaemkosoa. Hii haijapata kutokea katika historia ya
Tanzania.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 13.0pt;">MWISHO</span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in; text-align: justify;">
<span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 13.0pt;">Tunapenda
kuhitimisha kwamba tunaitaka Serikali kuchukua hatua madhubuti kuhusu ufisadi
huu, na kwamba haturidhishwi na hatua zinazochukuliwa, na kwamba tutafanya
utaratibu wa kuwasiliana na vyama ndani ya UKAWA kuona namna bora zaidi ya
kulisukuma suala hili ili watanzania waelewe namna nchi yao inavotafunwa.
Tunaomba vyama vyote ndani na nje ya UKAWA vitambue ukweli huu kama ambavyo
wameanza kutambua ili tusaidiane kuelimisha Umma kuhusu ufisadi huu na
watanzania wafanye maamuzi ya nchi yao kwani wanayo haki ya kuhoji na kufaidi
utajiri wa taifa lao kwani hawapo kwenye ardhi hii kama wakimbizi au tumbili
kama inavyotambuliwa na Serikali ya CCM sasa. Wiki ijayo tutaanza ziara ziara
Mkoani Kigoma wakati taratibu zingine zinaendelea kushughulikiwa. Wiki ijayo
tutaanza ziara ziara Mkoani Kigoma wakati taratibu zingine zinaendelea
kushughulikiwa.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 13.0pt;">Imesainiwa
na;</span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 13.0pt;">…………………………….</span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 13.0pt;">NYAMBABE</span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 13.0pt;">KATIBU
MKUU</span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: .0001pt; margin-bottom: 0in;">
<span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 13.0pt;">Julai
03.2014</span></div>
NCCR-Mageuzihttp://www.blogger.com/profile/12112294368976556802noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-7789720426019417868.post-12226656925505816612014-02-24T01:08:00.000-08:002014-02-24T01:08:00.586-08:00WANACHAMA WA TLP WAJISALIMISHA NCCR-MAGEUZI<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhjqWBonksdhmWT6s324YDVrlJPSL9Yh21loY3lSCZvE1PtAGlQ_ktq55BbuHTWXFNF-nArDjNzJMYCipaY_JNMbeMHNiUVRX18UaEblcE_Kh_8urjicvEbxHEGnYhLnIH86IJ_7aPs9MWL/s1600/DSC01364.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhjqWBonksdhmWT6s324YDVrlJPSL9Yh21loY3lSCZvE1PtAGlQ_ktq55BbuHTWXFNF-nArDjNzJMYCipaY_JNMbeMHNiUVRX18UaEblcE_Kh_8urjicvEbxHEGnYhLnIH86IJ_7aPs9MWL/s1600/DSC01364.JPG" height="240" width="320" /></a></div>
<br />
<br />
<br />
Ndugu G. Pwila akipokea kadi kutoka kwa Katibu Mkuu wa NCCR-Mageuzi, Ndg. Mosena J. Nyambabe<br />
akishuhudiwa na Naibu Katibu Mkuu Zanzibar, Ndg. Mussa K. Mussa, Makao Makuu ya Chama Jijini Dar Es Salaam. Tarehe 17 Februari, 2014. Wengine waliochukua kadi ni Ndg. Wallace na Jani. Picha ya chini, wakati wakiondoka.<br />
<br />
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgjn28qj-MeegoUOpftmtS0UbyBGvLTBHM1Huwj642BqCzrBZrvUDfxsCjP1q49jgFSEIHIHGPwObDidNMTjOhW97Jv-RD4U-4CQmAl1-S6v5wUoe_ZRrr8hGY7jxhXrnk221KtrJoR9bcN/s1600/DSC01366.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgjn28qj-MeegoUOpftmtS0UbyBGvLTBHM1Huwj642BqCzrBZrvUDfxsCjP1q49jgFSEIHIHGPwObDidNMTjOhW97Jv-RD4U-4CQmAl1-S6v5wUoe_ZRrr8hGY7jxhXrnk221KtrJoR9bcN/s1600/DSC01366.JPG" height="240" width="320" /></a></div>
NCCR-Mageuzihttp://www.blogger.com/profile/12112294368976556802noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-7789720426019417868.post-20778294605240003082014-02-23T11:09:00.000-08:002014-02-24T01:08:27.813-08:00NCCR-MAGEUZI YAWAKOMBO WANACHAMA WA TLP<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjU2Vie6v-vlzxeV9QaMJFuWSOjL5ZY_E7xQtvZz58hLbBLpR9i-6FHNa-POdKO82JHsZzLK8-D8bumdXXEOCuXM95UZjm_n9Pt-OuX_cxMv3H1CGBO1FQl6dhZqIun3PMSNF0RO3RZe68Q/s1600/DSC01365.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjU2Vie6v-vlzxeV9QaMJFuWSOjL5ZY_E7xQtvZz58hLbBLpR9i-6FHNa-POdKO82JHsZzLK8-D8bumdXXEOCuXM95UZjm_n9Pt-OuX_cxMv3H1CGBO1FQl6dhZqIun3PMSNF0RO3RZe68Q/s1600/DSC01365.JPG" height="240" width="320" /></a></div>
Katibu Mkuu wa NCCR-Mageuzi Ndg. Mosena J. Nyambabe, akimkabidhi Kadi ya uanachama Ndugu Wallace, aliyejiondoa katika Chama cha TLP. Katikati ni Naibu Katibu Mkuu (ZNZ), tarehe 17/02/2014 Makao Makuu ya Chama.<br />
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhmldvEFD-xwfQ2T3IUdKTJUpu8gUlSWrQsHEoYIBT9dMZPE3xpbQwAqtDHBjrp-2OC5iXqFfpqI1wJ2j5HOJmExfQFPO2R2IBx_ZsPEL6UqtjeTTNEczYf-kOWJ2DIE3b2n6TJl1AVgZ-e/s1600/DSC01358.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhmldvEFD-xwfQ2T3IUdKTJUpu8gUlSWrQsHEoYIBT9dMZPE3xpbQwAqtDHBjrp-2OC5iXqFfpqI1wJ2j5HOJmExfQFPO2R2IBx_ZsPEL6UqtjeTTNEczYf-kOWJ2DIE3b2n6TJl1AVgZ-e/s1600/DSC01358.JPG" height="240" width="320" /></a></div>
Picha ya pili ni Mama Pwila, naye alikuwa miongoni mwanachama walioyepewa kadi siku hiyo.<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />
<br />NCCR-Mageuzihttp://www.blogger.com/profile/12112294368976556802noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-7789720426019417868.post-61964606026201896022013-09-07T06:34:00.000-07:002013-09-07T06:34:01.583-07:00NCCR YATOA MAONI KUHUSU RASIMU YA KATIBA MPYA<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiIyRlEFTgl3ht2afZl_jIdwo3zncnl-kRZFJPAqW4ourH7m_1nADdSPRESLbJJo5k057Ft6otscDuLFPEzqkbMG2M8zvP3-B7TTbQQK_GaHYYq8RyjUlIRCdNksB7zq_KlSeE-Srt1vn50/s1600/Rasimu+ya+Katiiba-+KM.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiIyRlEFTgl3ht2afZl_jIdwo3zncnl-kRZFJPAqW4ourH7m_1nADdSPRESLbJJo5k057Ft6otscDuLFPEzqkbMG2M8zvP3-B7TTbQQK_GaHYYq8RyjUlIRCdNksB7zq_KlSeE-Srt1vn50/s1600/Rasimu+ya+Katiiba-+KM.JPG" height="480" width="640" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;">Kaimu Katibu Mkuu wa Chama, Ndg. Mosena Nyambabe akiongea na waaandishi wa habari kuhusu maoni ya chama juu ya Rasimu ya Katiba Mpya ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania. </td></tr>
</tbody></table>
<br />NCCR-Mageuzihttp://www.blogger.com/profile/12112294368976556802noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-7789720426019417868.post-24338489624966053712013-08-30T10:49:00.000-07:002013-09-07T06:45:48.416-07:00MAONI YA NCCR-MAGEUZI KUHUSU KATIBA MPYA<div style="text-align: justify;">
NCCR-MAGEUZI WAWASILISHA MAONI YA KATIBA MPYA</div>
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<div style="text-align: justify;">
Chama cha NCCR-Mageuzi leo tarehe 30/08/2013 kimewasilisha maoni kiliyoyakusanya kupitia kwa wanachama na mashabiki wake kwa kutumia mikutano mbalimbali chini ya kifungu cha sheria Na. 18(1) na (6) Sura ya 83 ya Mabadiliko ya Katiba.</div>
<div style="text-align: justify;">
Kwa mujibu wa vifungu hivyo hapo juu, NCCR-Mageuzi ilikuwa baraza la kukusanya maoni kutoka kwa wanachama wake.</div>
<div style="text-align: justify;">
Kabla ya kuwasilisha maoni hayo, Kaimu Katibu Mkuu wa Chama hicho Ndugu Mosena J. Nyambabe, alizungumza naWanahabari, ambapo aliwaeleza wanahabari hao kuwa, Chama kimefurahishwa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba kwa kuingiza mapendekezo ya NCCR-Mageuzi katika Rasimu hiyo kwa zaidi ya 80%.</div>
<div style="text-align: justify;">
Alionesha ibara mbalimbali zilizowekwa na Tume hiyo katika Rasimu hiyo ambazo zinaendana na mapendekezo ya NCCR-Mageuzi.</div>
<br />
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
</div>
NCCR-Mageuzihttp://www.blogger.com/profile/12112294368976556802noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-7789720426019417868.post-58609608752439780152013-08-27T04:31:00.001-07:002013-08-27T04:31:58.776-07:00MGOMBEA UENYEKITI WA KITENGO CHA WANAWAKE (NCCR-MAGEUZI) AKABIDHIWA FOMU<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEijrT7vMAuLgMgyJHfVTyj74NpSVZwvBM0WVp1gOF0eeyu1HZlT-3ddfq9j_UVveRqutw8YhfuSJbLpD05u1f0x4YxqFhEYv_eg9TMQYdyqKbt_cyisVFUi4pzIRXe7j8dJMJ1QdNdUcQ3H/s1600/Buyogela.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" height="480" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEijrT7vMAuLgMgyJHfVTyj74NpSVZwvBM0WVp1gOF0eeyu1HZlT-3ddfq9j_UVveRqutw8YhfuSJbLpD05u1f0x4YxqFhEYv_eg9TMQYdyqKbt_cyisVFUi4pzIRXe7j8dJMJ1QdNdUcQ3H/s640/Buyogela.jpg" width="640" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;">Ndg. Mosena Nyambabe, Naibu Katibu Mkuu wa Chama, akimkabidhi Mhe. Agripina Buyogela fomu za kugombea Uenyekiti wa Kitengo cha Wanawake, katika uchanguzi mkuu wa Chama utakaofanyika siku chache zijazo. Anayeshuhudia (katikati) ni Ndg. Sebastian Thomas, Katibu wa Ulinzi na Usalama wa Chama - Taifa. <br />
Tukio hili limefanyika makao makuu ya Chama, jijini Dar es Salaam. </td></tr>
</tbody></table>
<br />NCCR-Mageuzihttp://www.blogger.com/profile/12112294368976556802noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-7789720426019417868.post-2623290514604098712013-08-08T10:33:00.003-07:002013-08-08T10:35:06.561-07:00Mtihani wa Darasa la Saba nao Majanga!<span style="color: #008cfe; font-family: "Verdana","sans-serif"; font-size: 10pt; mso-bidi-font-family: "Times New Roman"; mso-fareast-font-family: "Times New Roman"; mso-fareast-language: EN-GB; text-transform: uppercase;">Kutoka Gazeti la nipashe <o:p></o:p></span><br />
<br />
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin: 0cm 0cm 0pt; text-align: justify; vertical-align: top;">
<b><span style="color: black; font-family: "Verdana","sans-serif"; font-size: 8.5pt; mso-bidi-font-family: "Times New Roman"; mso-fareast-font-family: "Times New Roman"; mso-fareast-language: EN-GB;">8th
August 2013<o:p></o:p></span></b></div>
<br />
<div class="MsoListParagraphCxSpFirst" style="line-height: normal; margin: 0cm 0cm 0pt 36pt; mso-add-space: auto; mso-list: l0 level1 lfo1; tab-stops: list 36.0pt; text-indent: -18pt; vertical-align: top;">
<span style="color: #343434; font-family: Symbol; font-size: 8.5pt; mso-bidi-font-family: Symbol; mso-bidi-font-weight: bold; mso-fareast-font-family: Symbol; mso-fareast-language: EN-GB;"><span style="mso-list: Ignore;"><img alt="*" height="9" src="file:///C:/Users/edglk/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image001.jpg" width="9" /><span style="font-size-adjust: none; font-stretch: normal; font: 7pt/normal "Times New Roman";">
</span></span></span><b><span style="color: #343434; font-family: "Verdana","sans-serif"; font-size: 8.5pt; mso-bidi-font-family: "Times New Roman"; mso-fareast-font-family: "Times New Roman"; mso-fareast-language: EN-GB;">Ni wa majaribio
katika wilaya 40<o:p></o:p></span></b></div>
<br />
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle" style="line-height: normal; margin: 0cm 0cm 0pt 36pt; mso-add-space: auto; mso-list: l0 level1 lfo1; tab-stops: list 36.0pt; text-indent: -18pt; vertical-align: top;">
<span style="color: #343434; font-family: Symbol; font-size: 8.5pt; mso-bidi-font-family: Symbol; mso-bidi-font-weight: bold; mso-fareast-font-family: Symbol; mso-fareast-language: EN-GB;"><span style="mso-list: Ignore;"><img alt="*" height="9" src="file:///C:/Users/edglk/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image001.jpg" width="9" /><span style="font-size-adjust: none; font-stretch: normal; font: 7pt/normal "Times New Roman";">
</span></span></span><b><span style="color: #343434; font-family: "Verdana","sans-serif"; font-size: 8.5pt; mso-bidi-font-family: "Times New Roman"; mso-fareast-font-family: "Times New Roman"; mso-fareast-language: EN-GB;">Maswali mengine
yakosa majibu<o:p></o:p></span></b></div>
<br />
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle" style="line-height: normal; margin: 0cm 0cm 0pt 36pt; mso-add-space: auto; mso-list: l0 level1 lfo1; tab-stops: list 36.0pt; text-indent: -18pt; vertical-align: top;">
<span style="color: #343434; font-family: Symbol; font-size: 8.5pt; mso-bidi-font-family: Symbol; mso-bidi-font-weight: bold; mso-fareast-font-family: Symbol; mso-fareast-language: EN-GB;"><span style="mso-list: Ignore;"><img alt="*" height="9" src="file:///C:/Users/edglk/AppData/Local/Temp/msohtmlclip1/01/clip_image001.jpg" width="9" /><span style="font-size-adjust: none; font-stretch: normal; font: 7pt/normal "Times New Roman";">
</span></span></span><b><span style="color: #343434; font-family: "Verdana","sans-serif"; font-size: 8.5pt; mso-bidi-font-family: "Times New Roman"; mso-fareast-font-family: "Times New Roman"; mso-fareast-language: EN-GB;">12 yamtoa jasho
Profesa UDSM<o:p></o:p></span></b></div>
<br />
<div class="MsoListParagraphCxSpLast" style="line-height: normal; margin: 0cm 0cm 0pt 36pt; mso-add-space: auto; vertical-align: top;">
<span style="color: #343434; font-family: "Verdana","sans-serif"; font-size: 8.5pt; mso-bidi-font-family: "Times New Roman"; mso-fareast-font-family: "Times New Roman"; mso-fareast-language: EN-GB;"><o:p> </o:p></span></div>
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj0suMFbqyZi3ZfOX3V2iNp7yC9_VnYPQCBMVmNdefC2nmry0_Nm7Sw_9KVPmt7gawEPiLWSseId3NWWM30K9fPh3KR6A32dOrtilq24zMrJ2t5EkB3EqpyjkvfBxRK0nlRcOLwHQjwjp7B/s1600/mbatia+mtihani.jpg" imageanchor="1" style="clear: right; float: right; margin-bottom: 1em; margin-left: 1em;"><img border="0" height="228" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj0suMFbqyZi3ZfOX3V2iNp7yC9_VnYPQCBMVmNdefC2nmry0_Nm7Sw_9KVPmt7gawEPiLWSseId3NWWM30K9fPh3KR6A32dOrtilq24zMrJ2t5EkB3EqpyjkvfBxRK0nlRcOLwHQjwjp7B/s320/mbatia+mtihani.jpg" width="320" /></a><br />
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin: 0cm 0cm 0pt; text-align: justify; vertical-align: top;">
<span style="color: #343434; font-family: "Verdana","sans-serif"; font-size: 8.5pt; mso-bidi-font-family: "Times New Roman"; mso-fareast-font-family: "Times New Roman"; mso-fareast-language: EN-GB; mso-no-proof: yes;"><v:shapetype coordsize="21600,21600" filled="f" id="_x0000_t75" o:preferrelative="t" o:spt="75" path="m@4@5l@4@11@9@11@9@5xe" stroked="f">
<v:stroke joinstyle="miter">
<v:formulas>
<v:f eqn="if lineDrawn pixelLineWidth 0">
<v:f eqn="sum @0 1 0">
<v:f eqn="sum 0 0 @1">
<v:f eqn="prod @2 1 2">
<v:f eqn="prod @3 21600 pixelWidth">
<v:f eqn="prod @3 21600 pixelHeight">
<v:f eqn="sum @0 0 1">
<v:f eqn="prod @6 1 2">
<v:f eqn="prod @7 21600 pixelWidth">
<v:f eqn="sum @8 21600 0">
<v:f eqn="prod @7 21600 pixelHeight">
<v:f eqn="sum @10 21600 0">
</v:f></v:f></v:f></v:f></v:f></v:f></v:f></v:f></v:f></v:f></v:f></v:f></v:formulas>
<v:path gradientshapeok="t" o:connecttype="rect" o:extrusionok="f">
</v:path></v:stroke></v:shapetype></span><span style="color: #343434; font-family: "Verdana","sans-serif"; font-size: 8.5pt; mso-bidi-font-family: "Times New Roman"; mso-fareast-font-family: "Times New Roman"; mso-fareast-language: EN-GB;">Mbunge wa Kuteuliwa, James Mbatia,
akiwaonyesha waandishi wa habari (hawapo pichani), mtihani ya kujipima kwa
wanafunzi wa darasa la saba uliofanyika Julai 8 na 9, mwaka huu katika wilaya
40 za Tanzania bara.<o:p></o:p></span></div>
<br />
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin: 0cm 0cm 0pt; mso-margin-top-alt: auto; vertical-align: top;">
<span style="color: #343434; font-family: "Verdana","sans-serif"; font-size: 8.5pt; mso-bidi-font-family: "Times New Roman"; mso-fareast-font-family: "Times New Roman"; mso-fareast-language: EN-GB;">Madudu
zaidi yamebainika katika Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, baada ya mtihani
wa kujipima wa darasa la saba uliofanyika Julai, mwaka huu katika wilaya 40 za
Tanzania Bara kuwa na mapungufu makubwa na ya wazi.<br />
<br />
Aidha, maswali 12 kati ya 50 katika mtihani wa Hisabati hayana majibu, 14 ni
magumu ambayo mtoto wa darasa la saba hawezi kuyajibu na mengine matano
yamekosewa na hata yafanywe kwa kiasi gani hayawezi kuwa na majibu.<br />
<br />
Mbunge wa Kuteuliwa (NCCR-Mageuzi), James Mbatia, alibainisha madudu hayo jana
wakati akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake na kuwataka Watanzania
kushiriki kupinga anguko la elimu linalotia aibu Taifa.<br />
<br />
Mbatia alibainisha kuwa katika mtihani huo uliofanywa Julai 8 na 9, mwaka huu,
kwa masomo ya Hisabati, Kiswahili na Kiingereza, jina la Wizara limeandikwa ni
Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi huku usahihi hakuna neno Stadi.<br />
<br />
Alisema matokeo hayo yamekuja katika kipindi ambacho serikali iko katika dhana
ya matokeo makubwa sasa (big result now), katika sekta ya elimu na mtihani huo
umetungwa kwa dhana hiyo.<br />
<br />
Alisema baada ya kupata mtihani huo, alikusanya baadhi ya walimu wa shule za
msingi na sekondari katika moja ya shule jijini Dar es Salaam na kuufanya na
zaidi ya nusu walishindwa kupata daraja la tatu yaani C.<br />
<br />
“Sikuishia hapo, nilimtafuata msomi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM)
yaani Profesa na kumpa mtihani wa hesabu aliufanya kwa muda wa saa 2:03, lakini
na hakupata daraja la kwanza, alishindwa kujibu baadhi ya maswali na mengine
kukosa majibu kabisa,” alisema.<br />
<br />
Kwa mujibu wa Mbatia, Profesa huyo alisema swali namba 33 ni gumu ambalo
linafanywa na mwanafunzi wa fani ya uhandisi na linahitaji muda mrefu kupata
jibu.<br />
<br />
“Sikutaka kuridhika na majibu yao, nilijifungia ofisini majira ya asubuhi kwa
saa 2:30 na kuufanya mtihani wote nikalinganisha na majibu ya wengine, lakini
sikupata alama A…ninachojiuliza hii ndiyo Big Result Now?” alibainisha na
kuhoji.<br />
<br />
Alisema kwa muundo wa mtihani huo, ni kuwakatisha tamaa wanafunzi na kuwafanya
wazidi kulichukia somo la hisabati na kiwango cha taaluma nchini kuendelea
kuporomoka.<br />
<br />
Katika somo la Kiingereza, kulikuwa na mapungufu makubwa ya kisarufi na majina
ikiwamo historia ya Tanzania kwa viongozi wa Taifa kama Mwalimu Julius Nyerere
na Abeid Amani Karume.<br />
<br />
Mbatia alisema jina la Mwalimu Nyerere limekosewa na kuandikwa Julias na Rais
wa awamu ya Pili likiandikwa Ally Mwinyi badala ya Ali Hassan Mwinyi, huku
wakishindwa kueleza kifo cha Karume na kueleza kama kifo cha kufanana na
Mwalimu Nyerere. Itakumbukwa kwamba, Mwalimu Nyerere alifariki dunia baada ya
kuugua wakati Karume aliuawa.<br />
<br />
Aidha, alisema katika mtihani wa Kiswahili, kuna mapungufu mengi hususani ya
usahihi wa lugha na kuwafanya Watanzania kujiuliza kama mitihani hiyo ilitungwa
na wanataaluma walibobea au ni ubabaishaji.<br />
<br />
Alisema suala hilo linakwenda sambamba na makosa yaliyopo kwenye vitabu
vinavyotumiwa na wanafunzi wa shule za msingi hadi sekondari ambavyo
vimepitishwa na kupewa cheti cha ithibati.<br />
<br />
“Tumefika mahali pagumu kielimu yaani ni janga la kitaifa,” alisema Mbatia.<br />
<br />
Alisema kitabu cha uraia cha darasa la nne, kuna mahali kimeandikwa ‘Serikali
za mitaa zinaongozwa na viongozi wa vitongoji’ huku cha hesabu kikieleza namba
nzima ni moja hadi 99 badala ya moja hadi tisa.<br />
<br />
“Haya yote wanalishwa watoto wa maskini wa nchi hii, hakuna mtoto wa kigogo
anayesoma kwenye shule hizi na hawajafanya mitihani hii,” alisema.<br />
<br />
MAPENDEKEZO YA MBATIA<br />
<br />
Kuundwa kwa tume ya kudumu ya elimu nchini, itakayoshughulika pamoja na mambo
mengine, kuhakikisha ubora wa elimu nchini na kudhibiti mambo yote
yanayosababisha kutetereka kwa ubora huo (Education quality assurance and
control).<br />
<br />
Aliongeza kuwa tume hiyo iwe na mamlaka ya kuhakiki utendaji wa taasisi
mbalimbali za elimu ambazo hadi sasa zimeonekana kutotimiza vyema majukumu
yake.<br />
<br />
“Tume itakapoundwa inaweza vile vile kusaidia kubainisha wazi ni nini falsafa
na malengo hasa ya utoaji wa elimu nchini kulingana na wakati tulionao,”
alisema.<br />
<br />
Januari 31, mwaka huu, Mbunge huyo aliwasilisha hoja binafsi bungeni kuhusu
udhaifu uliopo katika sekta ya elimu nchini.<br />
<br />
Alianisha sura hizo ni kuporomoka kwa uwajibikaji, kutokuthamini rasilimali za
Taifa, kukithiri kwa ukiukwaji wa haki za binadamu, kumomonyoka kwa uadilifu
miongoni mwa watumishi wa umma na kupungua kwa uzalendo.<br />
<br />
Hata hivyo, hoja hiyo haikutiliwa maanani ingawa siku chache baada ya hoja
hiyo, Wizara ilifuta Kamati ya Uthibitishaji ya Vifaa vya Elimu (Emac). <br />
<br />
Aidha, Februari 18, mwaka huu, Wizara hiyo ilitangaza matokeo ya kidato cha nne
yaliyonyesha zaidi ya watahiniwa 240,000 walipata daraja sifuri ikiwa ni
asilimia 66 na baadaye matokeo hayo yalipangwa upya na watahiniwa 210,000
wakapata daraja la sifuri.<br />
<br />
Kwa mujibu wa matokeo ya ualimu ngazi ya Astashahada na Shahada yaliyotangazwa
na Baraza la Mitihani Tanzania (Necta), Julai, mwaka huu, watahiniwa 2,606 wa
Stashahada wanarudia mtihani na 533 wamefeli.<br />
<br />
Msemaji wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Ntambi Bunyazu, alipotafutwa
na NIPASHE, alithibitisha mitihani hiyo kufanyika katika halmashauri 40 nchini
na kusema kwamba asingeeleza undani wa makosa yaliyobainika hadi atakapopata
ufafanuzi wa kitaalam.<o:p></o:p></span></div>
NCCR-Mageuzihttp://www.blogger.com/profile/12112294368976556802noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-7789720426019417868.post-22711604162293856402013-08-01T05:08:00.003-07:002013-08-01T05:08:42.378-07:00NCCR yaigaragaza tena CCM kortini
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhrJhHeBqkMNTsJMHsOYcIBwk7gFpQh3xDMQoJsLgUBdWBOzyx3nEPxKa6ZDKCkCDMF4yriz0-vtQN7SsVh6mQVogM2Qw26_TWkd0ss46virxQlQx8EtkZs8lQ0mFg4b2jMz4a5jsMexVRR/s1600/060.JPG" imageanchor="1" style="clear: right; float: right; margin-bottom: 1em; margin-left: 1em;"><img border="0" height="240" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhrJhHeBqkMNTsJMHsOYcIBwk7gFpQh3xDMQoJsLgUBdWBOzyx3nEPxKa6ZDKCkCDMF4yriz0-vtQN7SsVh6mQVogM2Qw26_TWkd0ss46virxQlQx8EtkZs8lQ0mFg4b2jMz4a5jsMexVRR/s320/060.JPG" width="320" /></a></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: 16.8pt; margin: 0cm 0cm 15pt; text-align: justify;">
<span lang="EN" style="color: #333333; font-family: "Times New Roman","serif"; mso-ansi-language: EN; mso-fareast-font-family: "Times New Roman"; mso-fareast-language: EN-GB;">Chama
cha NCCR-Mageuzi kimeendelea kuigaragaza CCM mahakamani, baada ya Mbunge wa
Kasulu Vijijini, Mhe. Agripina Zaituni Buyogela (pichani), kuibuka kidedea kwenye rufaa ya kupinga
matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010, yaliyompa ushindi.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: 16.8pt; margin: 0cm 0cm 15pt; text-align: justify;">
<span lang="EN" style="color: #333333; font-family: "Times New Roman","serif"; mso-ansi-language: EN; mso-fareast-font-family: "Times New Roman"; mso-fareast-language: EN-GB;">Hiyo
ni mara ya pili kwa Buyogela, kuibuka kidedea dhidi ya aliyekuwa Naibu Waziri
wa Habari, Utamaduni na Michezo, Daniel Nsanzugwanko, aliyekuwa akigombea kiti
hicho kupitia CCM.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: 16.8pt; margin: 0cm 0cm 15pt; text-align: justify;">
<span lang="EN" style="color: #333333; font-family: "Times New Roman","serif"; mso-ansi-language: EN; mso-fareast-font-family: "Times New Roman"; mso-fareast-language: EN-GB;">Nsanzugwanko,
alifungua kesi Mahakama Kuu Kanda ya Tabora akipinga matokeo yaliyompa ushindi
Buyogela.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: 16.8pt; margin: 0cm 0cm 15pt; text-align: justify;">
<span lang="EN" style="color: #333333; font-family: "Times New Roman","serif"; mso-ansi-language: EN; mso-fareast-font-family: "Times New Roman"; mso-fareast-language: EN-GB;">Licha
ya mambo mengine, Nsanzugwanko alilalamikia mwenendo mbaya na ukiukaji wa
Sheria ya Taifa ya Uchaguzi, huku akimtuhumu Buyogela kuendesha kampeni chafu,
kwa kutoa maneno ya kashfa dhidi yake, kuwa ni mchawi aliyeua watu na mwizi.
Alidai kwenye mikutano yake, Buyogela alimtuhumu kuwa aliwaua Wabunge wa zamani
wa jimbo hilo, Bernard Machupa na Teddy Magayane.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: 16.8pt; margin: 0cm 0cm 15pt; text-align: justify;">
<span lang="EN" style="color: #333333; font-family: "Times New Roman","serif"; mso-ansi-language: EN; mso-fareast-font-family: "Times New Roman"; mso-fareast-language: EN-GB;">Hivyo,
aliomba mahakama hiyo itengue matokeo yaliyompa ushindi na kuamuru ufanyike
uchaguzi mdogo, au imtangaze yeye kuwa mshindi. Hata hivyo, Mei 3, 2012,
Mahakama Kuu Kanda ya Tabora katika hukumu yake iliyotolewa na Jaji Haruna
Songoro, alitupilia mbali madai ya Nsanzugwanko akisema ameshindwa
kuyathibitisha pasipo mashaka yoyote.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: 16.8pt; margin: 0cm 0cm 10pt; text-align: justify;">
<span lang="EN" style="color: #333333; font-family: "Times New Roman","serif"; mso-ansi-language: EN; mso-fareast-font-family: "Times New Roman"; mso-fareast-language: EN-GB;">Jopo la Majaji
watatu wa Mahakama ya Rufani; Nathalia Kimaro, Salum Massati na William Mandia,
walikubaliana na hoja za mawakili wa utetezi na kuamua kutupilia mbali rufaa
hiyo.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="background: white; line-height: 16.8pt; margin: 0cm 0cm 10pt; text-align: justify;">
<span lang="EN" style="color: #333333; font-family: "Times New Roman","serif"; mso-ansi-language: EN; mso-fareast-font-family: "Times New Roman"; mso-fareast-language: EN-GB;">Habari hii imeandikwa na James Magai wa gazeti la Mwananchi. <o:p></o:p></span></div>
NCCR-Mageuzihttp://www.blogger.com/profile/12112294368976556802noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-7789720426019417868.post-79757359553580440192013-07-29T08:53:00.000-07:002013-07-29T08:53:46.057-07:00NDG. EDO MWAMALALA ATEULIWA KUWA KAMISHINA WA CHAMA MKOANI MBEYA<span style="font-size: 16pt; line-height: 115%;"> </span><br />
<div class="MsoNormal">
</div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjEhSRbkjVz3odD8m9fXZ64et6t0HXrcsA8_JZEaq1Ec43goSLB-um9PePI2EkTBKQ5nZSQdl0ciBNq9vzlZ-qQJ3Q-9dv3xhoPErqnvBHmEUbQwwUqq1xmIN5jKO0Xmcy8bIyrNxgXoYJP/s1600/Edo+Mwamalala+kalu.jpg" imageanchor="1" style="clear: right; float: right; margin-bottom: 1em; margin-left: 1em;"><img border="0" height="240" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjEhSRbkjVz3odD8m9fXZ64et6t0HXrcsA8_JZEaq1Ec43goSLB-um9PePI2EkTBKQ5nZSQdl0ciBNq9vzlZ-qQJ3Q-9dv3xhoPErqnvBHmEUbQwwUqq1xmIN5jKO0Xmcy8bIyrNxgXoYJP/s320/Edo+Mwamalala+kalu.jpg" width="320" /></a></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span style="font-size: medium;"><span style="line-height: 115%;">Ndugu Edo Makata Mwamalala (pichani) , ameteuliwa kuwa Kamishna wa chama cha NCCR Mageuzi mkoa wa Mbeya.</span></span></div>
<span style="font-size: medium;"></span><span style="font-size: medium;"><div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<br /></div>
</span><span style="font-size: medium;"></span><div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span style="font-size: medium;"><span style="line-height: 115%;">Barua ya uteuzi wa Mwamalala ya Julai 15, mwaka huu yenye kumbukumbu namba NCCR-M/MM/UTV/102, inesema kuwa Mwenyekiti wa chama Taifa amemteua kuwa Kamishna wa chama katika mkoa huo.</span></span></div>
<span style="font-size: medium;"></span><span style="font-size: medium;"><div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<br /></div>
</span><span style="font-size: medium;"></span><div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span style="font-size: medium;"><span style="line-height: 115%;">"Napenda kukutaarifu kuwa, kwa mamlaka na madaraka aliyopewa kwa mujibu wa ibara ya 26(2)(f) na ibara ya 37(7) ya Katiba ya NCCR-Mageuzi, toleo la sita sita kama lilivyohaririwa mwaka 2003, Mwenyekiti wa chama Taifa amekuteua kuwa Kamishna wa chama cha NCCR-Mageuzi mkoa wa Mbeya’’ inasomeka sehemu ya barua hiyo.</span></span></div>
<span style="font-size: medium;"></span><span style="font-size: medium;"><div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<br /></div>
</span><span style="font-size: medium;"></span><div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span style="font-size: medium;"><span style="line-height: 115%;">Barua hiyo iliyosainiwa na kaimu katibu mkuu Ndg. Mosena J. Nyambabe, na kupelekwa nakala kwa Mkuu wa mkoa wa Mbeya, Kamanda wa polisi mkoa wa Mbeya na Wenyeviti wa chama, Majimbo yote ya mkoa wa Mbeya.</span></span></div>
<span style="font-size: medium;"></span><span style="font-size: medium;"><div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<br /></div>
</span><span style="font-size: medium;"></span><div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span style="font-size: medium;"><span style="line-height: 115%;">Edo Mwamalala, amekiri kupata barua hiyo Julai 25, mwaka huu.</span></span></div>
<span style="font-size: medium;"></span><span style="font-size: medium;"><div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<br /></div>
</span><span style="font-size: medium;"></span><div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span style="font-size: medium;"><span style="line-height: 115%;">‘’Ni kweli nimepata barua ya uteuzi na ninatarajia kukutana na waandishi wa habari kueleza nia ya chama changu kufanya ziara katika mkoa wa Mbeya’’ alisema Mwamalala.</span></span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span style="font-size: medium;"><span style="line-height: 115%;"></span></span> </div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span style="font-size: medium;"><span style="line-height: 115%;">Habari hii imeandikwa na Dordon Kalulunga. </span></span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span style="font-size: medium;"><span style="line-height: 115%;"></span></span> </div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span style="font-size: medium;"><span style="line-height: 115%;">Tunampongeza na kumtakia kila la heri katika majukumu yake. </span></span></div>
NCCR-Mageuzihttp://www.blogger.com/profile/12112294368976556802noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-7789720426019417868.post-22920708982666244912013-07-22T09:06:00.000-07:002013-07-22T09:06:27.756-07:00NCCR-Mageuzi yaibomoa CCM Kasulu <u><span style="color: #0066cc;"></span></u><br />
<div class="article-tools clearfix">
<div class="article-meta">
<span class="createdate"> Kutoka Gazeti la Mtanzania</span><span class="createby">,</span></div>
<div class="article-meta">
<span class="createby"></span> </div>
<div class="article-meta">
<span class="createby">KASULU </span></div>
</div>
<table cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="float: left; margin-right: 1em; text-align: left;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg4UYdRJdq-vMAstCajDgqiHKg8wfnFwIJQTW1JyYr3fVV1QXwMr4GzRBxuaUxu42FnvGvdxW0_H26CJNrti62GxJFI4UVuzqAL6jDPykFaq8iMK9GfNMBSyNUFtFo5cvdHcwJq_msKYLbX/s1600/machali+II.jpg" imageanchor="1" style="clear: left; margin-bottom: 1em; margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" height="320" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg4UYdRJdq-vMAstCajDgqiHKg8wfnFwIJQTW1JyYr3fVV1QXwMr4GzRBxuaUxu42FnvGvdxW0_H26CJNrti62GxJFI4UVuzqAL6jDPykFaq8iMK9GfNMBSyNUFtFo5cvdHcwJq_msKYLbX/s320/machali+II.jpg" width="213" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;">Mhe. Moses Machali (Mb)</td></tr>
</tbody></table>
<div class="article-content" style="text-align: justify;">
CHAMA cha NCCR-Mageuzi, kimekibomoa Chama Cha Mapinduzi (CCM), baada ya kuvuna wanachama wake zaidi ya 200. Tukio hilo lilitokea juzi katika Kijiji cha Nyamidaho, Kata ya Nyamidaho, Jimbo la Kasulu Vijijini, wakati Mbunge wa Kasulu Mjini, Moses Machali (NCCR-Mageuzi), alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara kijijini hapo.<br /><br />Kabla wanachama hao hawajajiunga na chama hicho cha upinzani, Machali aliwaambia kuwa, shida wanazozipata katika maeneo yao, zinasababishwa na CCM ambayo licha ya kuongoza nchi kwa miaka mingi, imeshindwa kutatua kero zinazowakabili wananchi.<br /><br />Kutokana na hilo, aliwataka wananchi hao wasiendelee kuiunga mkono CCM kwa kuwa kama wataendelea kushirikiana na chama hicho tawala, uwezekano wa maisha yao kuboreka ni mdogo kwa kuwa viongozi wa CCM hawaguswi na matatizo ya wananchi.<br /><br />“Leo hapa naona kila mmoja anaonekana kuwa na maisha magumu, naona hapa maisha yenu hayatofautiani na maeneo mengine nchini na muelewe kwamba, shida zote hizi zinasababishwa na CCM ambao hawaguswi na shida zenu.<br /><br />“Kwa maana hiyo, ili muonyeshe kwamba mnaguswa na hampendelei kuwa na maisha magumu, hameni CCM na mjiunge NCCR-Mageuzi kwa sababu hiki ndicho chama kinachoonyesha mwelekeo wa kuwakomboa Watanzania tofauti na vyama vingine vya siasa,” alisema Machali.<br /><br />Baada ya maneno hayo na mengine, baadhi ya mamia ya wananchi waliokuwa wamehudhuria mkutano huo, walijitokeza kupokea kadi za NCCR-Mageuzi, wakiongozwa na Diwani wa zamani wa Kata ya Nyamidaho kupitia CCM, Mageleyanya Baliyanga.<br /><br />Wakati huo huo, Machali alisema atawasiliana na Mbunge wa Kasulu Vijijini, Zaitun Buyogela ambaye hakuwa eneo la mkutano, achangie fedha kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa kituo cha afya kilichoko katika Kijiji cha Nyamidaho.<br /><br />Kwa mujibu wa Machali, ujenzi wa kituo hicho ni muhimu kwa afya za wananchi wa kijiji hicho na maeneo ya jirani na kwamba ili umuhimu huo uonekane, kuna kila sababu Buyogela kuchangia ujenzi wa kituo hicho.<br /><br />Pamoja na hayo, aliwataka wananchi wa Nyamidaho, wasikate tamaa pindi maendeleo yanapochelewa katika maeneo yao, kwa kuwa yanakwamishwa na CCM ambao ni wengi katika vyombo vya maamuzi kama mabaraza ya madiwani na bungeni.</div>
NCCR-Mageuzihttp://www.blogger.com/profile/12112294368976556802noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-7789720426019417868.post-90303441678890765812013-07-16T06:35:00.000-07:002013-07-16T06:35:17.339-07:00HISTORIA YA TANZANIA NA CHIMBUKO LA NCCR-MAGEUZI<div class="MsoTitle" style="margin: 0cm 0cm 0pt;">
<v:shapetype coordsize="21600,21600" filled="f" id="_x0000_t75" o:preferrelative="t" o:spt="75" path="m@4@5l@4@11@9@11@9@5xe" stroked="f"><v:stroke joinstyle="miter"></v:stroke><v:formulas><v:f eqn="if lineDrawn pixelLineWidth 0"></v:f><v:f eqn="sum @0 1 0"></v:f><v:f eqn="sum 0 0 @1"></v:f><v:f eqn="prod @2 1 2"></v:f><v:f eqn="prod @3 21600 pixelWidth"></v:f><v:f eqn="prod @3 21600 pixelHeight"></v:f><v:f eqn="sum @0 0 1"></v:f><v:f eqn="prod @6 1 2"></v:f><v:f eqn="prod @7 21600 pixelWidth"></v:f><v:f eqn="sum @8 21600 0"></v:f><v:f eqn="prod @7 21600 pixelHeight"></v:f><v:f eqn="sum @10 21600 0"></v:f></v:formulas><v:path gradientshapeok="t" o:connecttype="rect" o:extrusionok="f"></v:path><o:lock aspectratio="t" v:ext="edit"></o:lock></v:shapetype><v:shape id="_x0000_s1026" style="height: 185.25pt; left: 0px; margin-left: 185.6pt; margin-top: 0px; mso-position-horizontal-relative: margin; mso-position-horizontal: right; mso-position-vertical-relative: margin; mso-position-vertical: top; position: absolute; text-align: left; width: 225.55pt; z-index: 251660288;" type="#_x0000_t75"><v:imagedata o:title="mbatia-katiba" src="file:///C:\DOCUME~1\edglk\LOCALS~1\Temp\msohtmlclip1\01\clip_image001.jpg"></v:imagedata><w:wrap anchorx="margin" anchory="margin" type="square"></w:wrap></v:shape><a href="http://www.blogger.com/null" name="_Toc360724718"></a><a href="http://www.blogger.com/null" name="_Toc352258027"></a><a href="http://www.blogger.com/null" name="_Toc352257635"><span style="mso-bookmark: _Toc352258027;"><span style="mso-bookmark: _Toc360724718;"><span lang="EN-US"><strong><span style="font-family: Cambria; font-size: large;">HISTORIA YA NCHI NA CHIMBUKO LA CHAMA
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
</div>
</span></strong></span></span></span></a><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEii82gWEa-cRzVIhGjKzELccAlRkhYxHyDsRlx_aO8_pJ5IaYOCcicnbJVsP-I_zf9e0VGCHeD70HmSHjDSx9kdCGIM8pF3TaEqHDWGnH1Bz9hHQDdaECFJ8BOFz12zSfdGzoFIOwn3UMjt/s1600/mbatia-katiba.jpg" imageanchor="1" style="clear: right; cssfloat: right; float: right; margin-bottom: 1em; margin-left: 1em;"><img border="0" height="184" iya="true" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEii82gWEa-cRzVIhGjKzELccAlRkhYxHyDsRlx_aO8_pJ5IaYOCcicnbJVsP-I_zf9e0VGCHeD70HmSHjDSx9kdCGIM8pF3TaEqHDWGnH1Bz9hHQDdaECFJ8BOFz12zSfdGzoFIOwn3UMjt/s320/mbatia-katiba.jpg" width="320" /></a></div>
<br />
<div class="MsoNormal" style="margin: 0cm 0cm 0pt;">
<br /></div>
<h1 style="margin: 0cm 0cm 0pt;">
<a href="http://www.blogger.com/null" name="_Toc360724719"></a><a href="http://www.blogger.com/null" name="_Toc352258028"></a><a href="http://www.blogger.com/null" name="_Toc352257636"><span style="mso-bookmark: _Toc352258028;"><span style="mso-bookmark: _Toc360724719;"><span lang="EN-US"><span style="font-family: Cambria; font-size: large;">1.1 Dokezo</span></span></span></span></a></h1>
<div class="MsoNormal" style="margin: 0cm 0cm 0pt; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: 'Book Antiqua','serif';">Uhifadhi wa historia ya kisiasa, kiuchumi na kijamii ya taifa letu la Tanzania hauna budi kuzingatia kina cha harakati za umma, hususan harakati zilizoanza katika karne ya kumi na tisa na kuendelea hata sasa.<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Taifa lililostaarabika hutunza kumbukumbu ya pamoja, na litajitambua pale lilopo kwa kutazama lilipotoka na huko linapokwenda. Chama cha NCCR-Mageuzi kinatambua umuhimu wa kuhifadhi kwa usahihi kumbukumbu ya pamoja ya utaifa wa watu wetu kwa heshima ya wahenga wetu na kwa faida ya kizazi cha sasa na vizazi vijavyo vya watanzania. Kwa mantiki hiyo, katika sura hii ya kwanza ya kitabu cha sera zetu, tunaeleza japo kwa ufupi historia ya nchi yetu na jinsi historia hiyo inavyohusiana na harakati za wanamageuzi ambao hatimaye ndilo chimbuko la chama chetu. <o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin: 0cm 0cm 0pt; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<br /></div>
<h1 style="margin: 0cm 0cm 0pt;">
<a href="http://www.blogger.com/null" name="_Toc360724720"></a><a href="http://www.blogger.com/null" name="_Toc352258029"></a><a href="http://www.blogger.com/null" name="_Toc352257637"><span style="mso-bookmark: _Toc352258029;"><span style="mso-bookmark: _Toc360724720;"><span lang="EN-US"><span style="font-family: Cambria; font-size: large;">1.2 Historia ya Nchi</span></span></span></span></a></h1>
<div class="MsoNormal" style="margin: 0cm 0cm 0pt; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: 'Book Antiqua','serif';">Katika historia ya binadamu, sisi waafrika wa Tanzania na kwingineko barani Afrika, tumepata kukumbwa na majanga matatu makuu, ambayo ni Utumwa, Ukoloni na sasa Ukoloni mamboleo.<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Katika janga ya kwanza ambalo lilishamiri sana kati ya karne ya 14 na 18, waafrika walitekwa na kuuzwa utumwani kuwa vyombo vya uzalishaji <st1:place w:st="on"><st1:country-region w:st="on">mali</st1:country-region></st1:place> vya mataifa ya ng’ambo kwa kisingizio kuwa sisi ni sawa na nyani au sokwe mtu.<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Watu wa kutoka nje ya bara letu walimtazama Mwafrika kama mnyama yoyote yule na hawakumtambua kuwa ni binadamu wenye utashi na roho.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin: 0cm 0cm 0pt; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="margin: 0cm 0cm 0pt; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: 'Book Antiqua','serif';">Wengi kati ya watu weusi walioko Amerika ya Kaskazini na Kusini, Uarabuni, bara la Ulaya na Asia leo, ni vizazi vya watu waliochukuliwa utumwani kutoka barani kwetu.<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Zaidi ya waafrika milioni 12 waliuzwa katika Bara la Amerika na Visiwa vya Karebea katika biashara hiyo dhalimu ya utumwa.<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Maendeleo ya sasa ya nguvu za kiuchumi za mataifa hayo ni matokeo ya nguvukazi ya watumwa wenye asili ya kiafrika.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin: 0cm 0cm 0pt; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="margin: 0cm 0cm 0pt; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: 'Book Antiqua','serif';">Janga la pili, yaani Ukoloni; lilifuatia lile la Utumwa. Mabadiliko kutoka kulidhulumu bara la Afrika kwa njia ya Utumwa hadi njia ya Ukoloni kulitokana na mabadiliko ya uchumi na maendeleo ya sayansi na teknolojia yaliyopunguza mahitaji ya nguvukazi ya watumwa.<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Ilibidi watumwa waachiwe huru ili kujenga uchumi wa soko la dunia. Ilionekana kuwa kuna faida kubwa kumtawala mwafrika katika bara lake la asili na kumtumia kuzalisha <st1:place w:st="on"><st1:country-region w:st="on">mali</st1:country-region></st1:place>ghafi za kilimo, madini na nyinginezo kwa ajili ya maendeleo ya viwanda vya Ulaya Magharibi. Hivyo pilikapilika za mataifa ya kigeni za kujitwalia makoloni barani Afrika zilibuniwa na kutekelezwa haraka kiasi kwamba ilipofika mwaka 1884 mataifa ya kibeberu yalikutana <st1:place w:st="on"><st1:state w:st="on">Berlin</st1:state></st1:place>, Ujerumani kugawana bara letu.<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Katika kilele cha mkutano huo wa Berlin nchi zilizojipatia makoloni barani Afrika ni pamoja na Ujerumani (mwenyeji wa mkutano), Uingereza, Ufaransa, Ubeligiji, Ureno, Hispania na Italia. Katika mgawanyo huo, Tanganyika iliangukia mikononi mwa utawala wa kijerumani.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin: 0cm 0cm 0pt; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<br /></div>
<h1 style="margin: 0cm 0cm 0pt;">
<a href="http://www.blogger.com/null" name="_Toc360724721"></a><a href="http://www.blogger.com/null" name="_Toc352258030"></a><a href="http://www.blogger.com/null" name="_Toc352257638"><span style="mso-bookmark: _Toc352258030;"><span style="mso-bookmark: _Toc360724721;"><span lang="EN-US"><span style="font-family: Cambria; font-size: large;">1.2.1 Tanganyika chini ya utawala wa Ujerumani</span></span></span></span></a></h1>
<div class="MsoNormal" style="margin: 0cm 0cm 0pt; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: 'Book Antiqua','serif';">Ukoloni uliingia Tanzania kuanzia nchi yetu ilipotawaliwa na Ujerumani kati ya mwaka 1884 na 1918, na ikapewa jina la Deutsch Ostafrika.<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Koloni la Deutsch Ostafrika lilijumuisha eneo lote lililo kati ya maziwa makuu ya <st1:place w:st="on"><st1:country-region w:st="on">Tanganyika</st1:country-region></st1:place> na Nyasa.<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Eneo <st1:city w:st="on">hilo</st1:city> sasa ndipo zilipo nchi za <st1:country-region w:st="on">Rwanda</st1:country-region>, <st1:country-region w:st="on">Burundi</st1:country-region> na Tanzania (bara).<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Wakati wa uvamizi huo wa kikoloni mnamo mwaka 1884, sehemu ya ukanda wa pwani ya <st1:country-region w:st="on">Tanganyika</st1:country-region> ilikuwa chini ya Sultani wa <st1:city w:st="on">Zanzibar</st1:city> hivyo ilibidi Wajerumani wainunue kutoka kwa Sultani wa <st1:place w:st="on"><st1:city w:st="on">Zanzibar</st1:city></st1:place>.<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Hatimaye, mwaka 1890 visiwa vya <st1:place w:st="on"><st1:city w:st="on">Zanzibar</st1:city></st1:place> viliwekwa chini ya himaya ya Uingereza.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin: 0cm 0cm 0pt; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="margin: 0cm 0cm 0pt; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: 'Book Antiqua','serif';">Tokea enzi hizo, waafrika wenyeji wa Deutsch Ostafrika walipigana kuzuia uvamizi wa Wajerumani lakini kwa namna moja au nyingine baadhi ya viongozi wenyeji walijikuta wakigawanywa na kuanza kusaidiana na maadui kuisaliti nchi <st1:place w:st="on"><st1:city w:st="on">yao</st1:city></st1:place>.<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Mashujaa thabiti wa nchi yetu waliopambana na ukoloni ni pamoja na viongozi wa Wachaga, Mkwawa wa Wahehe na wanaharakati wa vita ya Majimaji. Bahati mbaya juhudi zao hazikufanikiwa kuzuia uvamizi wa wajerumani. Tunazidi kuuenzi na kuuheshimu moyo huo wa mashujaa wetu wa kipindi hicho. <o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin: 0cm 0cm 0pt; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<br /></div>
<h1 style="margin: 0cm 0cm 0pt;">
<a href="http://www.blogger.com/null" name="_Toc360724722"></a><a href="http://www.blogger.com/null" name="_Toc352258031"></a><a href="http://www.blogger.com/null" name="_Toc352257639"><span style="mso-bookmark: _Toc352258031;"><span style="mso-bookmark: _Toc360724722;"><span lang="EN-US"><span style="font-family: Cambria; font-size: large;">1.2.2 Tanganyika chini ya Utawala wa Uingrereza</span></span></span></span></a></h1>
<div class="MsoNormal" style="margin: 0cm 0cm 0pt; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: 'Book Antiqua','serif';">Mwaka 1919 baada ya Ujerumani kushindwa vita ya kwanza ya dunia, Deutsch Ostafrika ilitwaliwa na taifa la Uingereza chini ya mkataba wa Umoja wa Mataifa wa awali (League of Nations) na ikapewa jina jipya la <st1:place w:st="on"><st1:country-region w:st="on">Tanganyika</st1:country-region></st1:place>.<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Mnamo mwaka 1945, Umoja wa Mataifa wa awali ulivunjwa na kuundwa upya kuwa Umoja wa Mataifa wa sasa (United Nations Organisation).<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Nchi zote zilizokuwa zimeshikiliwa chini ya Umoja wa Mataifa wa awali ziliwekwa chini ya Baraza la Udhamini la Umoja wa Mataifa wa sasa, <st1:place w:st="on"><st1:country-region w:st="on">Tanganyika</st1:country-region></st1:place> ikiwa mojawapo. Hivyo, Uingereza iliendelea na mkataba wa kuitawala Tanganyika kwa niaba ya Umoja wa Mataifa hadi itakapokuwa na uwezo wa kujitawala. <o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin: 0cm 0cm 0pt; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="margin: 0cm 0cm 0pt; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: 'Book Antiqua','serif';">Wakati wa utawala huu wa mkoloni mwingereza, wanamageuzi wazalendo walianza harakati za kudai uhuru wa taifa letu. Harakati zao zilikuwa kwa njia ya kujikusanya pamoja katika vyama ama vya burudani au vya wafanyakazi. Hatimaye vikaanza kuibuka vyama vya siasa ambavyo lengo lake kuu lilikuwa ni kudai uhuru wa Tanganyika. Kwa mfano, mnano mwaka 1929 chama cha watanganyika kijulikanacho kwa jina la African Association (AA) kiliundwa jijini Dar es Salaam. Jitihada za vyama hivyo zilifanikiwa kumshinikiza mwingereza aone haja ya kukomesha utawala wake kwa Tanganyika. <o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin: 0cm 0cm 0pt; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="margin: 0cm 0cm 0pt; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: 'Book Antiqua','serif';">Mnamo mwaka 1961, Uingereza ilifuta mkataba wa udhamini wa Umoja wa Mataifa na kuiweka chini ya himaya yake ili kuliwezesha Bunge lake kuwa na mamlaka ya kutoa uhuru kwa Tanganyika.<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Kwa hiyo, katika kipindi cha mwaka mmoja tangu tarehe 9 Desemba mwaka 1961 hadi Tanganyika ilipokuwa Jamhuri mwaka 1962, Tanganyika ilikuwa sehemu ya himaya ya Uingereza.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin: 0cm 0cm 0pt; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<br /></div>
<h1 style="margin: 0cm 0cm 0pt;">
<a href="http://www.blogger.com/null" name="_Toc360724723"></a><a href="http://www.blogger.com/null" name="_Toc352258032"></a><a href="http://www.blogger.com/null" name="_Toc352257640"><span style="mso-bookmark: _Toc352258032;"><span style="mso-bookmark: _Toc360724723;"><span lang="EN-US"><span style="font-family: Cambria; font-size: large;">1.2.3 Uhuru Kamili wa Tanganyika</span></span></span></span></a></h1>
<div class="MsoNormal" style="margin: 0cm 0cm 0pt; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: 'Book Antiqua','serif';">Tarehe 9 Desemba 1962, <st1:place w:st="on"><st1:country-region w:st="on">Tanganyika</st1:country-region></st1:place> ilijipatia uhuru kamili kwa kuwa Jamhuri.<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Bunge la <st1:country-region w:st="on">Tanganyika</st1:country-region> lilifuta sheria ya Bunge la Uingereza iliyokuwa imeiweka <st1:place w:st="on"><st1:country-region w:st="on">Tanganyika</st1:country-region></st1:place> chini ya himaya ya Uingereza na kutunga katiba mpya ya Jamhuri.<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Kwa jinsi hii, tarehe Tanganyika ilipokuwa jamhuri ndiyo tarehe halisi ya uhuru kamili wa Tanzania bara.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin: 0cm 0cm 0pt; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<br /></div>
<h1 style="margin: 0cm 0cm 0pt;">
<a href="http://www.blogger.com/null" name="_Toc360724724"></a><a href="http://www.blogger.com/null" name="_Toc352258033"></a><a href="http://www.blogger.com/null" name="_Toc352257641"><span style="mso-bookmark: _Toc352258033;"><span style="mso-bookmark: _Toc360724724;"><span lang="EN-US"><span style="font-family: Cambria; font-size: large;">1.2.4 Utawala wa kigeni Zanzibar</span></span></span></span></a></h1>
<div class="MsoNormal" style="margin: 0cm 0cm 0pt; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: 'Book Antiqua','serif';">Visiwa vya Unguja na pemba ambavyo ni sehemu inayounda taifa letu la Tanzania, vilipata kuwa chini ya utawala wa kigeni wa Sultani toka Uarabuni na baadaye mkoloni mwingereza<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>alitwaa utawala toka kwa Sultani kati ya mwaka 1890 hadi 1963. Katika kipindi hicho cha utawala wa kigeni, wazanzibar wenye moyo wa uanamageuzi walipinga kutawaliwa na wageni, hata wakaanzisha harakati za vyama vya siasa kwa ajili ya kutetea maslahi ya wazanzibari na kudai uhuru wa Zanzibar. <o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin: 0cm 0cm 0pt; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<br /></div>
<h1 style="margin: 0cm 0cm 0pt;">
<a href="http://www.blogger.com/null" name="_Toc360724725"></a><a href="http://www.blogger.com/null" name="_Toc352258034"></a><a href="http://www.blogger.com/null" name="_Toc352257642"><span style="mso-bookmark: _Toc352258034;"><span style="mso-bookmark: _Toc360724725;"><span lang="EN-US"><span style="font-family: Cambria; font-size: large;">1.2.4 Uhuru wa Zanzibar</span></span></span></span></a><span lang="EN-US"><span style="font-family: Cambria; font-size: large;"> </span></span></h1>
<div class="MsoNormal" style="margin: 0cm 0cm 0pt; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: 'Book Antiqua','serif';">Mnamo Oktoba, 1963 Uingereza ilifuta mkataba ulioipa jukumu la kuilinda himaya ya Sultani wa <st1:place w:st="on"><st1:city w:st="on">Zanzibar</st1:city></st1:place>.<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Tangu hapo <st1:city w:st="on">Zanzibar</st1:city> ikawa imerejeshwa chini ya sultani wa <st1:place w:st="on"><st1:city w:st="on">Zanzibar</st1:city></st1:place> ambaye alikuwa ndiye mkoloni wa kwanza wa visiwa hivyo.<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Ilibidi wenyeji wa <st1:place w:st="on"><st1:city w:st="on">Zanzibar</st1:city></st1:place> kuendeleza harakati za kupigania uhuru ili kuung’oa ukoloni wa kiarabu visiwani.<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Harakati hizo zilifaulu tarehe 12 January, 1964 pale wazalendo wakiongozwa na chama cha Afro Shirazi walipompindua Sultani Jamshid; ambaye alifanikiwa kutoroka na kukimbilia Uingereza.<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Kwa jinsi hii, tarehe ya uhuru kamili wa <st1:place w:st="on"><st1:city w:st="on">Zanzibar</st1:city></st1:place> ni 12 January, 1964.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin: 0cm 0cm 0pt; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<br /></div>
<h1 style="margin: 0cm 0cm 0pt;">
<a href="http://www.blogger.com/null" name="_Toc360724726"></a><a href="http://www.blogger.com/null" name="_Toc352258035"></a><a href="http://www.blogger.com/null" name="_Toc352257643"><span style="mso-bookmark: _Toc352258035;"><span style="mso-bookmark: _Toc360724726;"><span lang="EN-US"><span style="font-family: Cambria; font-size: large;">1.2.5 Kuzaliwa kwa Taifa la Tanzania</span></span></span></span></a></h1>
<div class="MsoNormal" style="margin: 0cm 0cm 0pt; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: 'Book Antiqua','serif';">Taifa la Watanzania lilizaliwa tarehe 26 April, 1964, siku Zanzibar na <st1:place w:st="on"><st1:country-region w:st="on">Tanganyika</st1:country-region></st1:place> zilipoungana na kuwa nchi moja yenye dola moja la Jamhuri.<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Ikumbukwe kuwa japokuwa zilikuwepo sababu nyingi za nchi hizi mbili kuungana na kuwa moja, ukweli ni kuwa muungano wa nchi hizi mbili ni mfano hai na uthibitisho kuwa lengo la umoja wa Afrika linaweza kufanikiwa.<o:p></o:p></span></div>
<h1 style="margin: 0cm 0cm 0pt;">
<a href="http://www.blogger.com/null" name="_Toc360724727"></a><a href="http://www.blogger.com/null" name="_Toc352258036"></a><a href="http://www.blogger.com/null" name="_Toc352257644"><span style="mso-bookmark: _Toc352258036;"><span style="mso-bookmark: _Toc360724727;"><span lang="EN-US"><span style="font-family: Cambria; font-size: large;">1.2.6 Mfumo wa Siasa Chama Kimoja</span></span></span></span></a></h1>
<div class="MsoNormal" style="margin: 0cm 0cm 0pt; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: 'Book Antiqua','serif';">Baada ya kuzaliwa kwa Tanzania, yaliibuka matatizo kadhaa yaliyo kinyume na haki, hususan tatizo la udikteta na ukiritimba ya chama kimoja uliojitokeza katika nchi yetu tangu ilipojipatia uhuru wake kamili wa kisiasa mwaka 1962 (kwa upande wa Tanganyika) na mapinduzi mwaka 1964 (kwa upande wa Zanzibar). Tatizo hili ni moja tu ya sura zilizojitokea za utawala wa kibeberu ambao sasa ulikuwa katika enzi ya ukoloni mamboleo.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin: 0cm 0cm 0pt; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="margin: 0cm 0cm 0pt; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: 'Book Antiqua','serif';">Kama ilivyoelezwa awali, vilikuwepo vyama mbalimbali vya siasa vilivyoshiriki harakati za kudai uhuru wa taifa letu. Hata hivyo, vyama vya siasa vilivyofanikisha hasa harakati hizo za uhuru ni Tanganyika African National Union (TANU) kwa upande wa Tanganyika, na Afro Shirazi Party (ASP) kwa upande wa <st1:place w:st="on"><st1:city w:st="on">Zanzibar</st1:city></st1:place>.<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Baada ya hatua hii ya harakati za ukombozi, vyama hivi viwili viliingia katika njia potofu ya utawala wa kiimla na ukiritimba.<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Vilianza ukandamizaji wa umma, na mnamo mwaka 1965 vikapiga marufuku vyama vingine vya siasa na kujenga dola ya chama kimoja kimoja kila upande wa muungano.<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Utawala wa nchi tangu nyakati hizo ulikuwa mbaya kwa kuwa haukufuata sawasawa katiba ya nchi wala kulinda haki za binadamu ipasavyo.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin: 0cm 0cm 0pt; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="margin: 0cm 0cm 0pt; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: 'Book Antiqua','serif';">Wakati huo huo, wakoloni wetu wa zamani waliibuka na njia mpya za kulinyonya bara la Afrika, yaani Ukoloni mamboleo (janga kuu la tatu kwa Afrika). Utawala wa chama kimoja ulishindwa kabisa kubaini mikakati na mbinu dhidi ya ukoloni mamboleo.<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Badala yake taifa likaingizwaa katika sera za utaifishaji wa mali binafsi na kujenga sekta kubwa ya dola (sio umma, kama ilivyodaiwa) katika uchumi na huduma za jamii badala ya kuwawezesha wenyeji wa nchi hii (umma wenyewe) kuingia katika shughuli kuu za kiuchumi na kuongoza uchumi wa nchi yao wenyewe.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin: 0cm 0cm 0pt; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="margin: 0cm 0cm 0pt; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: 'Book Antiqua','serif';">Matokeo ya upotofu huo wa kisera na kiutawala yalidhihirika miongo miwili baadaye pale mashirika yaliyohodhiwa na dola yaliposhindwa kutimiza malengo yake na kuanza kufilisika.<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Hali ya maisha ya wananchi ilizidi kuwa duni kiuchumi vijijini na mijini. Hali hii iliandamana na kuporomoka kwa huduma za jamii <st1:place w:st="on">kama</st1:place> vile elimu, afya na miundombinu ya usafirishaji, nishati na mawasiliano.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin: 0cm 0cm 0pt; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="margin: 0cm 0cm 0pt; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: 'Book Antiqua','serif';">Kadhalika taifa liliingizwa katika shimo la ubadhirifu wa <st1:place w:st="on"><st1:country-region w:st="on">mali</st1:country-region></st1:place> iliyopaswa kuwa ya umma, ukiritimba, matumizi mabaya ya madaraka, rushwa na udikiteta.<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Tarehe 5 February, 1977 vyama vya TANU na ASP viliungana na kuwa chama kimoja kiitwacho “Chama cha Mapinduzi” kwa kifupi CCM.<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Sambamba na matukio haya katiba ya nchi ilitungwa upya kuhitimisha matakwa ya muundo wa dola ya chama kimoja cha siasa.<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Hii ndiyo katiba inayotumika hadi leo ambayo imekuwa ikifanyiwa marekebisho mara kwa mara badala ya kuandikwa upya ili iwe katiba ya kudumu <st1:place w:st="on">kama</st1:place> zilivyo katiba zinazoheshimika duniani.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin: 0cm 0cm 0pt; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<br /></div>
<h1 style="margin: 0cm 0cm 0pt;">
<a href="http://www.blogger.com/null" name="_Toc360724728"></a><a href="http://www.blogger.com/null" name="_Toc352258037"></a><a href="http://www.blogger.com/null" name="_Toc352257645"><span style="mso-bookmark: _Toc352258037;"><span style="mso-bookmark: _Toc360724728;"><span lang="EN-US"><span style="font-family: Cambria; font-size: large;">1.2.7 Harakati za Kurejeshwa Mfumo wa Vyama Vingi vya Siasa</span></span></span></span></a><span lang="EN-US"><span style="font-family: Cambria; font-size: large;"> </span></span></h1>
<div class="MsoNormal" style="margin: 0cm 0cm 0pt; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: 'Book Antiqua','serif';">Kwa kuwa utawala wa chama kimoja ulijidhihirisha kuwa mbaya kiasi cha kuwa karibu kufanana na ule wa kikoloni wanamageuzi wazalendo walibuni mbinu mpya za ukombozi.<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Hatua ya awali ilikuwa ni kuleta ukombozi wa kisiasa utakaoliwezesha taifa kuondokana na mfumo wa siasa na utawala wa chama kimoja.<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Hii ilipelekea kuundwa kwa Kamati ya kupigania Mageuzi ya kikatiba nchini iliyoitwa National Committee for Constitutional Reforms<b style="mso-bidi-font-weight: normal;"> (NCCR)</b>.<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Kamati hii iliundwa mnamo tarehe 11 na 12 Juni 1991 na wanamageuzi waliotoka kwenye sekta mbalimbali za jamii nchini.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin: 0cm 0cm 0pt; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="margin: 0cm 0cm 0pt; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: 'Book Antiqua','serif';">Harakati dhidi ya mfumo wa chama kimoja nchini ziliungana na vuguvugu dhidi ya udikiteta na ukiritimba wa kisiasa kwingineko duniani.<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Mnamo 1992 serikali ya Tanzania ililazimika kuridhia kubomolewa kwa mfumo wa chama kimoja na kurejeshwa kwa mfumo wa vyama vyingi nchini.<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Katiba ya nchi ilirekebishwa na kufuta mfumo wa Chama kimoja na kufungua milango kwa mfumo wa vyama vingi.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin: 0cm 0cm 0pt; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="margin: 0cm 0cm 0pt; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: 'Book Antiqua','serif';">Baada ya mafanikio hayo, baadhi ya wanamageuzi waliokuwa katika kamati ya <b style="mso-bidi-font-weight: normal;">NCCR</b> walitumia fursa ya uwepo wao katika kamati hiyo, wakuunda vyama mbalimbali vya siasa. Hatua hiyo wapo waliodhani kuwa ni mbaya kwa kuwa kwao iliashiria kuzaliwa kwa ‘utitiri’ wa vyama.<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Mtazamo huo hauzingatii ukweli kuwa vyama vya siasa ni vyombo vya uainishaji wa fikra mbalimbali za kisiasa zenye misingi katika falsafa mbalimbali za jinsi gani binadamu anaiona jamii, uchumi na siasa.<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Ni vyombo vinavyowapa wananchi uhuru wa kufuata mitazamo ya kisiasa wanayoitaka. Kila chama ni chombo cha kiitikadi na hivyo ni jambo lililokuwa la kutegemewa kuwa mara itakapokuwa halali kuunda vyama, basi vitaibuka vyama vingi kulingana na itikadi zinazoshindania fursa ya kuongoza dola.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin: 0cm 0cm 0pt; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<br /></div>
<h1 style="margin: 0cm 0cm 0pt;">
<a href="http://www.blogger.com/null" name="_Toc360724729"></a><a href="http://www.blogger.com/null" name="_Toc352258038"></a><a href="http://www.blogger.com/null" name="_Toc352257646"><span style="mso-bookmark: _Toc352258038;"><span style="mso-bookmark: _Toc360724729;"><span lang="EN-US"><span style="font-family: Cambria; font-size: large;">1.3 Kuzaliwa kwa Chama cha NCCR- Mageuzi</span></span></span></span></a></h1>
<div class="MsoNormal" style="margin: 0cm 0cm 0pt; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: 'Book Antiqua','serif';">Wanamageuzi ambao hawakuondoka ndani ya kamati ya NCCR kwa ajili ya kwenda kuunda vyama vingine, waliamua kuibadilisha kamati hiyo na kuunda chama cha Mageuzi kwa jina la NCCR-Mageuzi, mnamo tarehe 15 Februari 1992.<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Neno NCCR lilipewa maana mpya, yaani; <b style="mso-bidi-font-weight: normal;">National Convention for Construction and Reform</b>.<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Tafsiri rasmi ya jina hili ni Chama cha Mageuzi na Ujenzi wa Taifa.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin: 0cm 0cm 0pt; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="margin: 0cm 0cm 0pt; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: 'Book Antiqua','serif';">Hivyo, NCCR-Mageuzi ni chama cha siasa kilichosajiliwa mnamo tarehe 29 Julai, 1992 kwa mujibu wa sheria ya vyama vya siasa ya mwaka 1992.<span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Kwa ujumla Chama hiki ni matokeo ya juhudi za wananchi wa Tanzania kujikomboa kutokana na ubeberu ambao umejikita katika nchi yetu tangu mwaka 1884.<o:p></o:p></span></div>
NCCR-Mageuzihttp://www.blogger.com/profile/12112294368976556802noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-7789720426019417868.post-74479523333809854422013-05-31T12:20:00.001-07:002013-05-31T12:20:10.743-07:00TUNAENDELEA KUPATA WANACHAMA WAPYA WILAYANI SENGEREMA<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjsF6ZWCJgsp6SNch0bh37zf3GR2qeJTe9ESLqCdNLYICU9_elNcId5IUF6apZKJtUdJ98647qadf9yrHJwGYf0Qq0MsxRXOgWAhMmMA2a2cmu1KsAuszYLXgCTY6HFJNIorgsISRSxIPug/s1600/mwenezi.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" height="480" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjsF6ZWCJgsp6SNch0bh37zf3GR2qeJTe9ESLqCdNLYICU9_elNcId5IUF6apZKJtUdJ98647qadf9yrHJwGYf0Qq0MsxRXOgWAhMmMA2a2cmu1KsAuszYLXgCTY6HFJNIorgsISRSxIPug/s640/mwenezi.jpg" width="640" yya="true" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;">Kamishna wa NCCR-Mageuzi mkoani Mwanza Ndg. Amrani akimpokea chamani aliyekuwa katibu mwenezi wa CHADEMA katani Nyampulano - Sengerema (mwenye fulana nyeupe)</td></tr>
</tbody></table>
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiy5hhob5zRDLJJMH4fxYh9Ekt_uvaLK1Rs8ldLMCNQXa-lkeTh4EptxfpJELkrhf_OeiIMK8eSFjA47syiyCfYBRElgJqlGFfg-9UBYzT4NLnvGn1Ehr4UVLmZfZfro4i5TmQghzEmaBrQ/s1600/mgombea+udiwani.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" height="480" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiy5hhob5zRDLJJMH4fxYh9Ekt_uvaLK1Rs8ldLMCNQXa-lkeTh4EptxfpJELkrhf_OeiIMK8eSFjA47syiyCfYBRElgJqlGFfg-9UBYzT4NLnvGn1Ehr4UVLmZfZfro4i5TmQghzEmaBrQ/s640/mgombea+udiwani.jpg" width="640" yya="true" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;">Aliyekuwa Mgombea wa Udiwani katika kata ya Nyampulano, wilayani Sengerema kwa tiketi ya CHADEMA akijiunga na chama cha NCCR-Mageuzi wilayani humo. Anayemkaribisha chamani kwa kumkabidhi kadi ni Ndg. Amrani (mwenye kofia), Kamishna wa chama mkoani Mwanza. </td></tr>
</tbody></table>
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhG1-4mw_thx71nQad7TGohrNA9EAF-v2VxD2WumnENLea1UXeT1ORjP-iWcFxT21iFIogUWKEHNaUoNfBDbcA300UJphy6L8ldtPkIz-spFN5rYHzMLmKJ-kN9al_uY9SxgKqTB5qlu2VH/s1600/salvatory+Magafu.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" height="480" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhG1-4mw_thx71nQad7TGohrNA9EAF-v2VxD2WumnENLea1UXeT1ORjP-iWcFxT21iFIogUWKEHNaUoNfBDbcA300UJphy6L8ldtPkIz-spFN5rYHzMLmKJ-kN9al_uY9SxgKqTB5qlu2VH/s640/salvatory+Magafu.jpg" width="640" yya="true" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;">Ndg. Salvatory Magafu (katikati), akijiunga na chama cha NCCR-Mageuzi wilayani Sengerema. Anayemkabidhi kadi ni Ndg. Deogratius Kisandu, Katibu Mwenezi wa Chama -Vijana, Taifa.</td></tr>
</tbody></table>
NCCR-Mageuzihttp://www.blogger.com/profile/12112294368976556802noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-7789720426019417868.post-627667625615038992013-04-26T06:12:00.001-07:002013-04-26T06:12:48.165-07:00NDG. DEOGRATIUS KISANDU KATIKA UHAMASISHAJI WA CHAMA, KAHAMA<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjN2afHNgjwn18WZ8G0rCqjkq23skYKqEfwV_yUo9OAx6v7_LLfjuTUuyAVXIpUqYWDUuMzI6A6lhq3XvV84yfbQHByBbG1DHonzFlz1hO69hjX2eWV5D7hC975QM4pEYtO1CctQKb-HXCa/s1600/gari+la+kisandu.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="360" lwa="true" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjN2afHNgjwn18WZ8G0rCqjkq23skYKqEfwV_yUo9OAx6v7_LLfjuTUuyAVXIpUqYWDUuMzI6A6lhq3XvV84yfbQHByBbG1DHonzFlz1hO69hjX2eWV5D7hC975QM4pEYtO1CctQKb-HXCa/s640/gari+la+kisandu.jpg" width="640" /></a></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhE0U2qeKznJCxbTLxkY-7I-BMc4NSICQVsfJs1-DiErFViZoBXIDZ6ADHRL-f2PZ5hqM81ppP7MWROvYCZpZz9e2BNmcEw7lYEAJFsexIAl_B3lpIFRZWtz5GXpwH8R0wcQ_g5qjNBZMQh/s1600/deogratius+mashaka+kisandu.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="480" lwa="true" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhE0U2qeKznJCxbTLxkY-7I-BMc4NSICQVsfJs1-DiErFViZoBXIDZ6ADHRL-f2PZ5hqM81ppP7MWROvYCZpZz9e2BNmcEw7lYEAJFsexIAl_B3lpIFRZWtz5GXpwH8R0wcQ_g5qjNBZMQh/s640/deogratius+mashaka+kisandu.jpg" width="640" /></a></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhUmK48J5fXYiFwUXu8bl-M9STNlyilrjHwx8EnIHXsJmu3DEOIpMukXPJXTD-6ZxXUSM_SKKFVH10eErNxASLue7cqyXHEb2O2TlFndQ4E9BrpGS1-P72n2tS_-Kh0v8gu7MbmetJEZsMK/s1600/deo+kisandu.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="480" lwa="true" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhUmK48J5fXYiFwUXu8bl-M9STNlyilrjHwx8EnIHXsJmu3DEOIpMukXPJXTD-6ZxXUSM_SKKFVH10eErNxASLue7cqyXHEb2O2TlFndQ4E9BrpGS1-P72n2tS_-Kh0v8gu7MbmetJEZsMK/s640/deo+kisandu.jpg" width="640" /></a></div>
<div style="text-align: center;">
Katibu Mwenezi wa Kitengo cha Vijana cha NCCR-Mageuzi, Ndg. Deogratius Mashaka Kisandu akiendelea na shughuli za uhamasishaji wa chama katika vitongoji mbalimbali wa Wilaya ya Kahama. Kazi yake inaendelea kwa mafanikio makubwa sana. </div>
NCCR-Mageuzihttp://www.blogger.com/profile/12112294368976556802noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-7789720426019417868.post-72196795799676294662013-04-01T05:42:00.003-07:002013-04-01T05:42:58.606-07:00MATEMBEZI YA AMANI NA UZALENDO WILAYANI KAHAMA<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjiuZa61CsKxdPaajgcu9tP7JO-DGDorsy88sMN2bttd2sP6QNDQtjxmyuZpWQKIwUW_Gcfkpy4Glq_I2IawhOu_DOzLGquXwRzFHgyKt3FG4rlBbP0uls0KwRbZ0rq6BcNmAfqyMycb7-y/s1600/matembezi.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" height="480" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjiuZa61CsKxdPaajgcu9tP7JO-DGDorsy88sMN2bttd2sP6QNDQtjxmyuZpWQKIwUW_Gcfkpy4Glq_I2IawhOu_DOzLGquXwRzFHgyKt3FG4rlBbP0uls0KwRbZ0rq6BcNmAfqyMycb7-y/s640/matembezi.jpg" usa="true" width="640" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;">Wananchi wa wilayani Kahama wakiwa katika Matembezi ya Amani na Uzalendo yaliyofanyika wilayani huko wakati wa Sikukuu ya Pasaka, 2013. Matembezi haya yaliratibiwa na Ndg. Deogratias Kisandu, Katibu wa Uhusiano, Habari na Uenezi, NCCR-Mageuzi Kitengo cha vijana -Taifa. </td></tr>
</tbody></table>
NCCR-Mageuzihttp://www.blogger.com/profile/12112294368976556802noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-7789720426019417868.post-2037011965040380042013-03-22T08:07:00.002-07:002013-03-22T08:17:47.110-07:00WASOMI WAMPONGEZA NDG. JAMES MBATIA<span style="font-family: 'Arial','sans-serif'; font-size: 10pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-fareast-font-family: 'Times New Roman';">Kutoka Gazeti la Citizen<o:p></o:p></span><br />
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin: 0cm 0cm 0pt;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin: 0cm 0cm 0pt;">
<b><span style="color: #07547e; font-family: 'Arial','sans-serif'; font-size: 10pt; mso-fareast-font-family: 'Times New Roman';">Mbatia hailed for snubbing Pinda team <o:p></o:p></span></b></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin: 0cm 0cm 0pt;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin: 0cm 0cm 0pt;">
<span style="font-family: 'Arial','sans-serif'; font-size: 7pt; mso-fareast-font-family: 'Times New Roman';">By Polycarp Machira<br />Wednesday, 20 March 2013 12:01 Political Platform Reporter</span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin: 0cm 0cm 0pt;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin: 0cm 0cm 10pt; mso-margin-bottom-alt: auto; mso-margin-top-alt: auto; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<b><span style="font-family: 'Times New Roman','serif'; font-size: 12pt; mso-fareast-font-family: 'Times New Roman';">Dar es Salaam.</span></b><span style="font-family: 'Times New Roman','serif'; font-size: 12pt; mso-fareast-font-family: 'Times New Roman';"> Political analysts have hailed recent decision by the National Convention for Construction and Reform–Mageuzi (NCCR–Mageuzi) national chairman, James Mbatia to reject appointment to a team to establish causes of mass failure in last year’s Form Four national examinations.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin: 0cm 0cm 10pt; mso-margin-bottom-alt: auto; mso-margin-top-alt: auto; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span style="font-family: 'Times New Roman','serif'; font-size: 12pt; mso-fareast-font-family: 'Times New Roman';">The nominated lawmaker turned down Prime Minister Mizengo Pinda’s appointment to take part in the probe team formed to investigate the mass failure, citing conflict of interest.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin: 0cm 0cm 10pt; mso-margin-bottom-alt: auto; mso-margin-top-alt: auto; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span style="font-family: 'Times New Roman','serif'; font-size: 12pt; mso-fareast-font-family: 'Times New Roman';">He said his involvement in the team might create a conflict of interest as he is still pursuing the private motion on the education sector he submitted in parliament during the last sitting.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin: 0cm 0cm 10pt; mso-margin-bottom-alt: auto; mso-margin-top-alt: auto; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span style="font-family: 'Times New Roman','serif'; font-size: 12pt; mso-fareast-font-family: 'Times New Roman';">Horrified by the poor quality of textbooks as well as lack of curriculum, Mr Mbatia tabled a private motion suggesting the formation of a committee to look into three crucial areas of the education system which he termed as flawed.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin: 0cm 0cm 10pt; mso-margin-bottom-alt: auto; mso-margin-top-alt: auto; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span style="font-family: 'Times New Roman','serif'; font-size: 12pt; mso-fareast-font-family: 'Times New Roman';">Commenting on his move to turn down the appointment, some people who talked to The Political Platform this week hailed the decision, saying other members of parliament should emulate him.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin: 0cm 0cm 10pt; mso-margin-bottom-alt: auto; mso-margin-top-alt: auto; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span style="font-family: 'Times New Roman','serif'; font-size: 12pt; mso-fareast-font-family: 'Times New Roman';">They noted that the appointment was nothing less than a government move to silence the critical politician. They said that MPs, especially those from the back bench should learn that accepting such government appointments amounts to gagging them.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin: 0cm 0cm 10pt; mso-margin-bottom-alt: auto; mso-margin-top-alt: auto; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span style="font-family: 'Times New Roman','serif'; font-size: 12pt; mso-fareast-font-family: 'Times New Roman';">The role of legislators, they argue is not to work for the government through the probe teams but to act as watchdog, to keep the government working to improve services for the people.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin: 0cm 0cm 10pt; mso-margin-bottom-alt: auto; mso-margin-top-alt: auto; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span style="font-family: 'Times New Roman','serif'; font-size: 12pt; mso-fareast-font-family: 'Times New Roman';">Senior lecturer at the department of Political Science and Public Administration at the University of Dar es Salaam (UDSM) Dr Bashiru Ali observed that Mr Mbatia acted in the interest of the nation and without any fear.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin: 0cm 0cm 10pt; mso-margin-bottom-alt: auto; mso-margin-top-alt: auto; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span style="font-family: 'Times New Roman','serif'; font-size: 12pt; mso-fareast-font-family: 'Times New Roman';">Dr Ali termed it as a sign of change in Tanzanian politics where legislators have for many years danced to the tune of the executive.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin: 0cm 0cm 10pt; mso-margin-bottom-alt: auto; mso-margin-top-alt: auto; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span style="font-family: 'Times New Roman','serif'; font-size: 12pt; mso-fareast-font-family: 'Times New Roman';">“It is one of the hardest decisions that only bold people can take. Remember Mr. Mbatia was just appointed to the parliament by president Kikwete” he said.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin: 0cm 0cm 10pt; mso-margin-bottom-alt: auto; mso-margin-top-alt: auto; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span style="font-family: 'Times New Roman','serif'; font-size: 12pt; mso-fareast-font-family: 'Times New Roman';">Prof Mwesiga Baregu of St Augustine University of Tanzania (Saut) argued for his part that the government was purposely interfering with the parliament by tasking MPs to probe issued that they have raised themselves in the house.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin: 0cm 0cm 10pt; mso-margin-bottom-alt: auto; mso-margin-top-alt: auto; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span style="font-family: 'Times New Roman','serif'; font-size: 12pt; mso-fareast-font-family: 'Times New Roman';">He said the trend does not augur well with the mission to improve democracy.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin: 0cm 0cm 10pt; mso-margin-bottom-alt: auto; mso-margin-top-alt: auto; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span style="font-family: 'Times New Roman','serif'; font-size: 12pt; mso-fareast-font-family: 'Times New Roman';">He remembers that in 2007, the Kigoma North Member of Parliament, Mr Zitto Kabwe raised a number of issues in the mining sector, including bad contracts.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin: 0cm 0cm 10pt; mso-margin-bottom-alt: auto; mso-margin-top-alt: auto; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span style="font-family: 'Times New Roman','serif'; font-size: 12pt; mso-fareast-font-family: 'Times New Roman';">The Bomani Commission was created in 2007 to investigate the mining sector and give recommendations on how Tanzania can benefit from the mining sector.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin: 0cm 0cm 10pt; mso-margin-bottom-alt: auto; mso-margin-top-alt: auto; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span style="font-family: 'Times New Roman','serif'; font-size: 12pt; mso-fareast-font-family: 'Times New Roman';">He said surprisingly when the commission was formed to investigate issues in the sector, legislators were included in the team.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin: 0cm 0cm 10pt; mso-margin-bottom-alt: auto; mso-margin-top-alt: auto; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span style="font-family: 'Times New Roman','serif'; font-size: 12pt; mso-fareast-font-family: 'Times New Roman';">“I think the parliament is just supposed to pinpoint such issues but the government should find its own ways to investigate and take action, by so doing the MPs will work without interferences,” said Prof Baregu.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin: 0cm 0cm 10pt; mso-margin-bottom-alt: auto; mso-margin-top-alt: auto; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span style="font-family: 'Times New Roman','serif'; font-size: 12pt; mso-fareast-font-family: 'Times New Roman';">But retired University of Dar es Salaam lecturer, Dr Azaveli Lwaitama observes that including MPs in such teams may not be a bad thing but in most cases it compromises the legislators’ representative role.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin: 0cm 0cm 10pt; mso-margin-bottom-alt: auto; mso-margin-top-alt: auto; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span style="font-family: 'Times New Roman','serif'; font-size: 12pt; mso-fareast-font-family: 'Times New Roman';">He said in some cases, such appointments smacks of corruption.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin: 0cm 0cm 10pt; mso-margin-bottom-alt: auto; mso-margin-top-alt: auto; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span style="font-family: 'Times New Roman','serif'; font-size: 12pt; mso-fareast-font-family: 'Times New Roman';"><span style="mso-spacerun: yes;"> </span>“We have heard of cases where members of certain teams are lured into accepting bribes in order not to expose the rot to the public,” he argued.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin: 0cm 0cm 10pt; mso-margin-bottom-alt: auto; mso-margin-top-alt: auto; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span style="font-family: 'Times New Roman','serif'; font-size: 12pt; mso-fareast-font-family: 'Times New Roman';">Dr Lwaitama’s observation confirms Mr Mbatia’s feeling that if the recently formed team deems it fit, he was ready to give his comments before it.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin: 0cm 0cm 10pt; mso-margin-bottom-alt: auto; mso-margin-top-alt: auto; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span style="font-family: 'Times New Roman','serif'; font-size: 12pt; mso-fareast-font-family: 'Times New Roman';">When reached for comment whether he has been invited to give his opinion to the team since it started working on the issue, he said he has had no communication with the commission.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin: 0cm 0cm 10pt; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span style="font-family: 'Times New Roman','serif'; font-size: 12pt; line-height: 115%; mso-fareast-font-family: 'Times New Roman';">“This is a clear indication that my inclusion in the team was not in good faith, they could have contacted me after all because I know a lot on this matter” said the nominated MP.</span></div>
NCCR-Mageuzihttp://www.blogger.com/profile/12112294368976556802noreply@blogger.com3tag:blogger.com,1999:blog-7789720426019417868.post-33428216674821802002013-03-06T04:10:00.002-08:002013-03-06T04:11:28.797-08:00MBATIA AMGOMEA PINDA<div class="single_line">
<div class="box_wrapper1">
<div class="box_no_border" id="box1107">
<div class="content_title">
<h2>
Mbatia amgomea Pinda</h2>
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjxA_mQQXpIvBJ8XvRRp9M5LbMhyZhpJbNP7b16v07r_piMmZ0R9gf-jndKXypMjLkH-r_Weng1ryeWYUyONVwyVwD6kioWaDCn9AmGLKA7P_86XJmg3iBacBycH3z9pA1VFnySAKedYsAP/s1600/mbatia+no+to+Pinda.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" height="456" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjxA_mQQXpIvBJ8XvRRp9M5LbMhyZhpJbNP7b16v07r_piMmZ0R9gf-jndKXypMjLkH-r_Weng1ryeWYUyONVwyVwD6kioWaDCn9AmGLKA7P_86XJmg3iBacBycH3z9pA1VFnySAKedYsAP/s640/mbatia+no+to+Pinda.jpg" width="640" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;">Ndg. James Francis Mbatia akiongea na waandishi wa Habari kuhusu kukataa kwake kushiriki katika Tume iliyoundwa na Mhe. Waziri Mkuu, Mizengo Pinda. (Picha kwa hisani ya IPP Media)</td></tr>
</tbody></table>
<h2>
</h2>
</div>
</div>
</div>
<div class="box_wrapper1" style="text-align: justify;">
<div class="box_no_border" id="box1108">
<div class="byline">
Na Elizabeth Zaya wa Gazeti la Nipashe. </div>
</div>
</div>
</div>
<div>
</div>
<div class="single_no_line" style="text-align: justify;">
<div class="box_wrapper1">
<div class="box_stack_left" id="box1110">
<div class="publish_date">
6th March 2013</div>
</div>
</div>
</div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div class="single_no_line" style="text-align: justify;">
<div class="box_wrapper1">
<div class="box_no_border" id="box1115">
<div class="content_highlights">
<b>Ni kwenye Tume ya matokeo ya
kidato cha IV</b> <b> </b></div>
<div class="content_highlights">
<b>Asema hataki kuwa sehemu ya
kuua elimu</b></div>
</div>
</div>
<div class="box_wrapper1">
<div class="box_no_border" id="box1116">
<div class="article_content">
<div class="read_image_box">
<div class="picha show" id="0">
<div class="pic">
<br /></div>
<div class="cap">
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda</div>
</div>
</div>
Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi ambaye pia ni Mbunge wa Kuteuliwa, James
Mbatia, amesema amekataa uteuzi wa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, kuwa mjumbe wa
Tume ya kuchunguza chanzo cha kushuka kwa kiwango cha ufaulu wa mtihani wa
kidato cha nne wa mwaka 2012.<br />
<br />
Mbatia ambaye aliteuliwa katika tume hiyo
yenye wajumbe 15 iliyotangazwa wiki iliyopita, amesema kwamba hayuko tayari
kushiriki katika tume hiyo kwa kinachochunguzwa ni sehemu ndogo ya tatizo
lililopo. Mbatia alitangaza uamuzi huo katika mkutano wa waandishi wa habari
jana uliofanyika ofisi za makao makuu ya chama hicho, jijini Dar es
Salaam.<br />
<br />
Mbatia alitangaza uamuzi huo kwa kuonyesha barua aliyoiandika
jana kwenda kwa Waziri Mkuu Pinda kuukataa uteuzi huo.<br />
<br />
Alisema licha ya
kwamba hajapata barua rasmi ya uteuzi huo, lakini ameona halitakuwa jambo jema
kwake kushiriki katika tume hiyo kwa kuwa anaamini kwamba njia hiyo haitakuwa
bora katika kupambana na tatizo lililopo katika mfumo wa elimu
nchini.<br />
<br />
Mbatia pia alisema kuwa anaamini kuwa hadidu rejea za tume hiyo
zilizotajwa kupitia vyombo vya habari hazitashughulikia kwa upana udhaifu uliopo
katika sekta ya elimu nchini.<br />
<br />
“Kwa heshima na kwa unyenyekevu mkubwa,
napenda kukuarifu kwamba nimesikia habari za kuundwa kwa Tume ya kuchunguza
chanzo cha kushuka kwa kiwango cha kutisha cha ufaulu wa mtihani wa taifa wa
kidato cha nne mwaka 2012 na kuteuliwa James Mbatia (Mb) kuwa miongoni mwa
wajumbe wa tume ambao umewateuwa katika tume hiyo,” ilieleza sehemu ya barua ya
Mbatia kwenda kwa Waziri Mkuu na kuongeza:<br />
<br />
“Hizi ni habari nilizozipata
kupitia vyombo vya habari mbalimbali vya hapa nchini, hadi ninapoandika ujumbe
huu sijapokea mawasiliano kwa njia barua kutoka ofisini kwako (Pinda)
kunijulisha kwamba nimeteuliwa katika tume hiyo na majukumu yanayonikabili ni
yapi kufuatia uteuzi huo.”<br />
<br />
Aliongeza katika barua hiyo aliyaandika jana
kuwa: “Pamoja na kutopokea barua rasmi ya uteuzi, ninapata wasiwasi kwamba
kushirikishwa kwangu katika Tume hiyo kumezingatia vigezo vipi na kunaweza
kujenga sura gani katika matokeo ya utafiti yatakayotolewa na tume mara baada ya
kumaliza kazi yake. Wasiwasi wangu huo unatokana na kwamba kushirikishwa kwangu
katika tume tajwa kunaweza kuwa na mgongano wa kimaslahi (Conflict of
interest).”<br />
<br />
Aidha, Mbatia aliongeza kwamba kabla ya Pinda kuunda tume
hiyo, chama chake kilimwandikia Rais Jakaya Kikwete barua ya kumtaka aunde tume
ambayo itaangalia namna ya kushughulikia kwa undani mfumo mzima wa elimu kama
ile iliyoundwa na aliyewahi kuwa Waziri wa Elimu, Marehemu Jackson Makwetta,
siyo kuendelea kuchunguza kushuka kwa ufaulu jambo ambalo limekwishafanyiwa kazi
na tume zilizopita.<br />
<br />
Mbatia aliongeza kwamba hoja yake aliyoiwasilisha
katika mkutano wa 10 wa bunge ilihusu udhaifu uliopo katika setka ya elimu
nchini na kwamba maelezo aliyoyatoa juu ya chimbuko la udhaifu huo ni pamoja na
Sera ya elimu iliyopo kutokuwa na andiko rasmi la mtaala wa elimu, kasoro nyingi
katika mihtasari ya masomo, vitabu vya kiada na ziada visivyokuwa na ubora wa
viwango vya kuridhisha na utaratibu wa kifisadi katika utayarishaji vifaa vya
elimu hususani vitabu, hivyo kuunda tume ya kuchunguza tatizo la kufeli ni
sehemu ndogo sana ambayo haitasaidia.<br />
<br />
“Ikumbukwe kuwa Wizara ya Elimu na
Mafunzo ya Ufundi na Baraza la Mitihani la Taifa (Necta) iliunda tume ya
kuchunguza chanzo cha kushuka kwa kiwango cha ufaulu wa mtihani wa Taifa wa
kidato cha nne mwaka 2010 na kutoa ripoti Juni 2011 ambayo Waziri Shukuru
Kawambwa aliiwasilisha. Kwa mantiki hiyo, haitakuwa jambo jema kwangu kushiriki
katika tume hiyo kwa sababu hailengi kushughulikia kwa upana udhaifu uliopo
katika sekta ya elimu nchini,” alisisitiza.<br />
<br />
“Litakuwa ni jambo jema kama
maafisa wa serikali hususani kutoka katika ofisi yako wataona haja ya kusoma
taarifa mbalimbali za tafiti juu ya suala husika mathalani zilizoko katika Chuo
Kikuu cha Dar es Salaam, Wizara ya elimu na Mafunzo ya ufundi, Hakielimu,
Twaweza,” ilieleza sehemu ya barua ya Mbatia kwenda kwa Pinda. Pia Mbatia
aliishauri serikali kwamba endapo kuna umuhimu wa kuunda tume, jambo muhimu la
kulifanyia kazi ni ulinganifu wa uzito wa sababu zote nzito za elimu kwa kufuata
viwango vya kitaifa, kimataifa na uwezo wa kirasilimali uliopo.<br />
<br />
Pinda
aliteua wajumbe wa tume hiyo Machi 2, mwaka huu, ambao kwa mujibu wa hadidu za
rejea, watatakiwa kuangalia ni sababu zipi zimechangia kuwapo kwa matokeo hayo
mabaya, sababu zinazochangia kushuka kwa kiwango cha elimu, usimamizi wa elimu
katika halmashauri, ukaguzi wa elimu na uhamishiwaji wa sekta ya elimu kwenye
Wizara ya Tawala za Mikoa na serikali za Mitaa (Tamisemi) umechangiaje kushuka
kwa kiwango cha ufaulu.<br />
<br />
Vile vile Waziri Mkuu alisema wajumbe wa tume
hiyo watatakiwa kuangalia mitaala na mihtasari ikoje, kuangalia uwiano uliopo
kwenye mitihani inayotungwa ikiwa ni pamoja na uhakiki wa mitihani hiyo,
kuangalia mazingira ya kufundishia, mfumo wa upimaji, usimamizi na uendeshaji,
na kutokuwapo kwa chakula shuleni kunachangiaje kushuka kwa utendaji mbaya wa
wanafunzi katika masomo yao. Tume hiyo ilipewa muda wa wiki sita kuanzia Machi
Mosi iwe imekamilisha kazi hiyo na kuwasilisha taarifa yao kwa Waziri Mkuu.
<br />
<br />
Tume hiyo inaongozwa na Profesa Sifuni Mchome kutoka Tume ya Vyuo Vikuu
Nchini (TCU) na Makamu wake ni Bernadetha Mushashu ambaye ni Mbunge wa Viti
Maalum Mkoa wa Kagera.<br />
Wengine ni James Mbatia; Abdul Marombwa (Mbunge wa
Kibiti); Profesa Mwajabu Possi (Chuo Kikuu cha Dar es Salaam; Honoratha
Chitanda kutoka Chama cha Walimu Tanzania (CWT); Daina Matemu kutoka Umoja wa
Wakuu wa Shule za Sekondari Tanzania (Tahossa) na Mahmoud Mringo
(TAMONGSCO).<br />
<br />
Wajumbe wengine ni Rakhesh Rajani (Twaweza); Peter Maduki
(CSSC), Nurdin Mohamed (Bakwata); Suleiman Hemed Khamis (Baraza la
Wawakilishi); Abdalla Hemed Mohamed (Chuo Kikuu cha Suza); Mabrouk Jabu Makame
(Baraza la Elimu Zanzibar na Kizito Lawa (Taasisi ya Kukuza
Mitaala).<br />
<br />
Mbatia aliwasilisha hoja binafsi katika mkutano wa 10 wa bunge
kuhusu udhaifu uliopo katika mitaala huku akibainisha mambo makuu yanayochangia
kudidimiza elimu nchini kuwa ni mitaala ya elimu, udhaifu katika vitabu vya
ziada na kiada, sera iliyopitwa na wakati na kasoro zilizopo katika mihtasari ya
masomo.<br />
<br />
Hata hivyo, hoja hiyo iliibua mjadala mzito bungeni baada ya
serikali na wabunge wa Chama Cha mapinduzi kuikataa.<br />
<br />
Baada ya hoja hiyo
ambayo Mbatia pamoja na mambo mengine alitaka kuundwa kwa kamati teule ya Bunge
kuchunguza, wabunge wote wa upinzani walisusia kikao na kutoka nje kama njia ya
kumuunga mkono Mbatia.<br />
<br />
Baadaye serikali iliwasilisha vitabu vya mitaala
na baadaye iliunda kamati ya wabunge akiwamo Mbatia kuchunguza kama mitaala hiyo
ni halali. Kamati hiyo iliwahusisha Margareth Sitta (Viti Maalum CCM); Mbunge wa
Kibiti (CCM), Abdul Malombwa; Mbunge wa Gando (CUF), Khalifa Suleiman Khalifa,
Mbunge wa Karatu (Chadema), Mchungaji Israel Natse; Mbunge wa Chwaka (CCM),
Yahya Kassim Issa na Mbunge wa Viti Malum (CCM), Bernadeta
Mashashu.<br />
<br />
Kamati hiyo baadaye iliwasilisha taarifa yake bungeni ikieleza
kuwa mitaala hiyo ni halali, ingawa Mbatia aliendeleza msimamo wake wa kupinga.
Serikali imeunda tume hiyo kufuatia matokeo hayo mabaya ambayo yalitangazwa
Februari 18 na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa,
yakionyesha kuwa asilimia 60 ya watahiniwa wamefeli. <br />
<br />
Wanafunzi waliofeli
kwa maana ya kupata sifuri ni 240,903. Waliopata daraja la nne ni 103,227,
waliopata daraja la tatu na 15,426, waliopata daraja la pili ni 6,4,53 na
waliopata daraja la kwanza ni 1,641.<br />
</div>
</div>
</div>
<div class="box_wrapper1">
<div class="box_no_border" id="box1117">
<div class="publication_name">
CHANZO: NIPASHE </div>
</div>
</div>
</div>
NCCR-Mageuzihttp://www.blogger.com/profile/12112294368976556802noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-7789720426019417868.post-89869981197036275132013-03-01T11:52:00.000-08:002013-03-06T04:14:35.811-08:00HATUA ZA DHARURA ZA KUOKOA ELIMU YA TANZANIA <br />
<div align="center" class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: 0pt; text-align: center;">
</div>
<div align="center" class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: 0pt; text-align: center;">
</div>
<div align="center" class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: 0pt; text-align: center;">
</div>
<div align="center" class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: 0pt; text-align: center;">
</div>
<div>
</div>
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEghrFH8Iv1zUkf9Q-_EebFb0YzDHw4_eKmkNEINHDFPWGtZwB4CAsmEocQ1qUF2vg11KxDG_DIpPYILxMYoHu3YN0lXNCaxG1_dYZdeSH00YVu6Zx1l-umvsaeSC1-0_lxs82svzzuPggoy/s1600/n8.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" height="426" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEghrFH8Iv1zUkf9Q-_EebFb0YzDHw4_eKmkNEINHDFPWGtZwB4CAsmEocQ1qUF2vg11KxDG_DIpPYILxMYoHu3YN0lXNCaxG1_dYZdeSH00YVu6Zx1l-umvsaeSC1-0_lxs82svzzuPggoy/s640/n8.jpg" width="640" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;"><b><span lang="EN-GB" style="color: black; font-family: "Verdana","sans-serif"; font-size: 12pt;">Ndugu
James F. Mbatia (Mb) akimkabidhi Mhe. Rais Jakaya M. Kikwete mojawapo
ya mapendekezo yaliyopata kutolewa na Chama cha NCCR-Mageuzi .</span></b></td></tr>
</tbody></table>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: 0pt;">
<br /> <br />
<div>
</div>
</div>
<div align="center" class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: 0pt; text-align: center;">
</div>
<br />
<br />
<div style="text-align: justify;">
Leo tarehe 1 Machi, 2013 Chama cha NCCR-Mageuzi kimepeleka mapendekezo yake kwa Mheshimwa Dk. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kikimwomba pamoja na mambo mengine achukue hatua za dharura kuinusuru elimu ya Tanzania. Hatua hiyo inakuja baada ya hoja ya Mbunge na Mwenyekiti wa Chama hiki - Taifa, Ndugu James Mbatia kupeleka hoja bungeni juu ya udhaifu wa elimu nchini, iliyofuatiwa na matokeo mabaya ya mtihani wa kidato cha nne, siku chache baadaye. </div>
<div style="text-align: justify;">
Habari hii ni kwa mujibu wa maafisa wa chama walioko makao makuu ya chama, jijini Dar es Salaam. </div>
NCCR-Mageuzihttp://www.blogger.com/profile/12112294368976556802noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-7789720426019417868.post-38914123555975248492013-02-17T15:35:00.003-08:002013-03-01T18:00:24.220-08:00SALAMU ZA MHE. JAMES MBATIA KWENYE MAZISHI YA ASKOFU THOMAS LAIZER<br />
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<iframe allowfullscreen='allowfullscreen' webkitallowfullscreen='webkitallowfullscreen' mozallowfullscreen='mozallowfullscreen' width='320' height='266' src='https://www.youtube.com/embed/OIKLQEyO64k?feature=player_embedded' frameborder='0'></iframe></div>
Sikiliza salamu nzito alizozitoa Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi, Mhe. James Mbatia katika ibada ya mazishi ya Askofu Thomas Laizer wa Arusha. NCCR-Mageuzihttp://www.blogger.com/profile/12112294368976556802noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-7789720426019417868.post-15649901511031835942013-02-08T08:54:00.004-08:002013-02-08T08:59:25.359-08:00SUALA LA MITAALA YA ELIMU BADO UTATA<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjARmupFiWaSIZf4J2m01v4hbG3rwmrdrPcXonH2Z4DjvhuFUkpEE5sEz8fHKC3jxZte4pLMry5-PwgW62cW9hyphenhyphen13V1WlpdohuZueW9gJpDFsiXLsDZRqajTz1mn0Gwho1yr-McPjEEPXVQ/s1600/kawambwa+na+mbatia.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" height="490" jea="true" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjARmupFiWaSIZf4J2m01v4hbG3rwmrdrPcXonH2Z4DjvhuFUkpEE5sEz8fHKC3jxZte4pLMry5-PwgW62cW9hyphenhyphen13V1WlpdohuZueW9gJpDFsiXLsDZRqajTz1mn0Gwho1yr-McPjEEPXVQ/s640/kawambwa+na+mbatia.jpg" width="640" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;">Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Mheshimiwa Dr. Shukuru Kawambwa (kulia), akizungumza na Mheshimiwa James Mbatia (kushoto), katika viwanja vya Bunge mjini Dodoma.<br />
<br /></td></tr>
</tbody></table>
<div class="article-content" style="text-align: justify;">
Kutoka gazeti la Mtanzania, Arodia Peter anaandika;<br />
<br />
SAKATA la mitaala ya Elimu nchini sasa linaonekana kuwa kama mchezo wa kuigiza, baada ya Mbunge wa kuteuliwa, James Mbatia (NCCR-Mageuzi), kupinga mitaala iliyowasilishwa bungeni juzi na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa.<br />
Utata huo umejitokeza baada ya Spika wa Bunge, Anne Makinda, kulitangazia Bunge jana kwamba, timu ya wabunge iliyoundwa juzi kuchunguza uhalali wa mitaala iliyokuwa ikipingwa na Mbatia, imeridhika kwamba mitaala hiyo ni halali.<br />
Timu hiyo ya wabunge ilimhusisha Mbunge wa Viti Maalum, Magreth Sitta (CCM), Mbunge wa Chwaka, Yahya Kassim Issa (CUF), Mbunge wa Viti Maalum, Bernadeta Mshashu (CCM), Mbunge wa Kibiti, Abdul Malombwa (CCM), Mbunge wa Karatu, Israel Natse (Chadema) na Mbunge wa Gando, Khalifa Suleiman Khalifa (CUF).<br />
Pia timu hiyo ilimhusisha Mbatia mwenyewe ambaye aliingia kama mjumbe maalum.</div>
<div class="article-content" style="text-align: justify;">
Akizungumza wakati wa kutangaza matokeo ya timu hiyo, Spika Makinda alisema; “Kamati iliyoundwa kwa mujibu wa Kanuni ya Bunge namba 5 sehemu ya kwanza, ilipewa hadidu za rejea. <br />
“Kamati imejiridhisha kwa nyaraka halisi kutoka serikalini ambazo ni Sheria Namba Sita ya Elimu ya Mwaka 1975, Waraka wa Elimu Namba moja wa mwaka 2006 na nyaraka nyingine zilifafanuliwa na wataalam kuhusiana na hoja zilizoletwa mezani. <br />
“Nachukua nafasi hii kutangaza kwamba, nakala zilizotangazwa ni sahihi na ni mitaala rasmi ya Elimu,” alisema Spika Makinda.<br />
Hata hivyo, Spika hakueleza kwa kina kuhusu suala hilo badala yake alisema aliagiza mitaala hiyo igawiwe kwa wabunge wote.<br />
Baada ya kutoa tangazo hilo, alimwachia kiti, Mwenyekiti wa Bunge, Mussa Zungu, kuendelea na kikao.<br />
Kabla ya Zungu kukaa katika kiti chake, wabunge wengi walionekana kusimama hususani wa upinzani kuomba mwongozo wa Spika.<br />
Kwa upande wa wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), waliosimama ni Mbunge wa Nkasi Kaskazini, Ally Kessy Mohamed na Mbunge wa Singida Magharibi, Mwigulu Nchemba. Upande wa upinzani waliosimama walikuwa ni Mbunge wa Kasulu Mjini, Moses Machali (NCCR Mageuzi), Mbatia, Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari (Chadema), Mbunge wa Mbozi Magharibi, David Silinde (Chadema) na Mbunge wa Biharamlo Magharibi, Dk. Anthon Mbassa (Chadema).<br />
Pamoja na wote hao kusimama, Zungu alitoa nafasi kwa Mbatia kutoa taarifa yake kwa kutumia Kanuni ya 37 sehemu ya nne.<br />
Mbunge huyo alipopewa nafasi hiyo, alisema, “Mheshimiwa Mwenyekiti, mitaala niliyoomba Oktoba 30 mwaka jana ni ya mwaka 1997 hadi 2005, lakini ule ulioletwa na Serikali ni wa mwaka 1998 hadi 2008.<br />
“Kwa maana hiyo, mtaala ule wa 1997 niliouomba hapa, haujaletwa mezani. Lakini pia Mheshimiwa Mwenyekiti, mtaala ulioletwa na Serikali umeandikwa ni wa Tanzania Bara, wakati suala la elimu ya sekondari ni la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.<br />
“Utata mwingine ambao umegubika mtaala huo wa Serikali, ni kukosekana kwa namba rasmi inayotambulisha vitabu vyote nchini, yaani International Standard Book (ISB).<br />
“Mtaala huo haujaonyeshwa nani muidhinishaji wa mitaala hiyo ambaye anapaswa kuwa ni Ofisa Elimu Kiongozi. Kwa taarifa hiyo, naomba suala la mitaala lijadiliwe kwa sababu iliyowasilishwa siyo niliyoomba,” alisema Mbatia.<br />
Hata hivyo, Zungu hakuwa tayari kuruhusu suala hilo lijadiliwe badala yake akaamua kuendelea na ratiba na shughuli nyingine za Bunge.<br />
<br />
<strong>Nje ya Ukumbi wa Bunge</strong><br />
Akizungumza na waandishi wa habari nje ya Ukumbi wa Bunge, Mbatia alisema bado anasimamia hoja yake kama alivyoliambia Bunge, kwamba Serikali haina mitaala ya elimu.<br />
Alisema kwamba, Serikali imejikanganya katika mambo kadhaa ambayo yanazidisha utata wa uhalali wa mtaala huo.<br />
Alisema suala la mitaala kukosekana kitu muhimu kama namba ya ISB, ambayo inatolewa na Maktaba Kuu ya Taifa katika mitaala yote mitatu ya shule za awali, shule za msingi na sekondari si suala la bahati mbaya.<br />
“Hawa watu ni wababaishaji kwa sababu mitaala hiyo imeandikwa kwamba ni ya Tanzania Bara, wakati suala la elimu ya sekondari ni la muungano na ndiyo maana mtihani wa sekondari ni mmoja kwa Tanzania Bara na Zanzibar,” alisema.<br />
Alipoulizwa timu ya wabunge iliyoundwa kuchunguza mitaala hiyo ilichukuliaje upungufu huo, Mbatia alisema.<br />
“Wao walijitetea kuwa hilo ni kosa la kawaida na haliwezi kuathiri uhalali wa mitaala hiyo.<br />
“Kwa hiyo, nachukua nafasi hii kuutangazia umma wa Watanzania kwamba, mtaala rasmi haupo, wizara badala ya kuendeleza vuta nikuvute hii, ikubali kwamba kuna tatizo na tukae chini tulisahihishe,” alisema Mbatia.<br />
<br />
<strong>Dk. Kawambwa anena</strong><br />
Naye, Waziri Dk. Kawambwa katika ufafanuzi wake kwa waandishi wa habari, alikiri mitaala hiyo kutokuwa na ISB na kusema kwamba hilo ni kosa la kawaida ambalo haliwezi kuathiri uhalali wa mitaala.<br />
Pia kuhusu mtaala kuandikwa Tanzania Bara badala ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, alisema hayo ni makubaliano ya pande hizo mbili ambayo si rasmi kwa sababu Zanzibar wanaye waziri wao wa elimu kama ilivyo Tanzania Bara.<br />
Hata hivyo, alikiri wazi kwamba mtihani wa kidato cha nne unaofanywa na pande hizo mbili za muungano ni mmoja.<br />
“Tulikubaliana na wenzetu wa Zanzibar, kwamba mtihani wa elimu ya sekondari uwe mmoja ingawa wao wanaweza kutumia vitabu tofauti na vinavyotumika Tanzania Bara.<br />
“Suala la ISB si jambo muhimu sana kwa vitabu vyote vinavyochapishwa nchini, mitaala si lazima iwe na hiyo namba ya ISB, kimsingi siyo issue.<br />
“Mbatia alinitaka niwasilishe nyaraka mezani na mimi sasa namtaka awasilishe nyaraka zake kwa Spika, akiweza kufanya hivyo, hata mimi nitajiuzulu.<br />
<br />
<strong>Mchungaji Natse</strong><br />
Mmoja wa wajumbe wa kamati iliyochunguza uhalali wa mitaala hiyo, Mbunge wa Karatu, Mchungaji Israel Natse, alisema makosa aliyoainisha Mbatia ni ya msingi na wataalam wa Serikali walikiri mbele ya timu ya wabunge kwamba ni makosa ya kiuchapaji.<br />
Alisema wizara imekiri kuna upungufu katika suala zima la mitaala, kwa sababu maelekezo yote kuhusu mtaala yalikuwa yanatolewa kwa waraka na kusainiwa na Kamishna wa Elimu. <br />
“Kwa kweli katika hili, tumekubaliana na hoja zote za Mbatia na zitachukuliwa na kufanyiwa kazi,” alisema Natse.</div>
NCCR-Mageuzihttp://www.blogger.com/profile/12112294368976556802noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-7789720426019417868.post-28704319120619245512013-02-01T17:17:00.004-08:002013-02-04T12:51:51.028-08:00WABUNGE WA UPINZANI WATOKA NJE YA BUNGE<div style="text-align: justify;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhXhcQsDLwrUidsp4Nb5aENdU_LCZla-v9wefNmUf06jLsKY_jVeaT0tXIB7kjP6uisjY7Vu1jae-x-cd_glpy6YV5f0PgFQ9o6Ug9bRlMjsZkjrzsnuIj1OBiQ6vYEpTy0AI3_7zlIay2O/s1600/mbatia+na+lisu.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" ea="true" height="426" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhXhcQsDLwrUidsp4Nb5aENdU_LCZla-v9wefNmUf06jLsKY_jVeaT0tXIB7kjP6uisjY7Vu1jae-x-cd_glpy6YV5f0PgFQ9o6Ug9bRlMjsZkjrzsnuIj1OBiQ6vYEpTy0AI3_7zlIay2O/s640/mbatia+na+lisu.jpg" width="640" /></a></div>
<div style="text-align: center;">
Pichani: Mhe. Mbatia (kushoto) na Mhe. Tundu Lissu (Kulia) wakiongea katika mkutano wao na waandishi wa habari, mara baada ya kususa kikao cha bunge. Mhe. Lissu ni Mnadhimu wa kambi ya Upinzani Bungeni na Mbunge wa Singida kupitia CHADEMA.</div>
<br />
<br />
<div style="text-align: justify;">
Siku ya Ijumaa tarehe 1.2.2013, wabunge wa kambi ya upinzani waliamua kususia kikao cha Bunge la Jamhuri ya Muungano kwa kutoka nje, ikiwa ni alama ya kuonesha kutoridhishwa na jinsi kiti cha Spika kisivyowatendea haki wabunge wasiokuwa wa chama tawala, na kinavyokandamiza hoja za kulisaidia taifa hasa pale zinapotolewa na wabunge wa kambi ya upinzani.</div>
<div style="text-align: justify;">
Hatua hiyo ilikuja baada ya Mheshimwa James Mbatia (NCCR-Mageuzi) kudai aoneshwe nakala ya mtaala wa elimu uliopo, ili aitimishe hoja yake kuhusu udhaifu uliomo katika elimu mfumo wa elimu ya Tanzania. Badala ya kusikiliza ombi hilo, Naibu Spika wa Bunge, Mheshimiwa Job Ndungai alimkatalia Mbatia na kumlazimisha ahitimishe hoja yake binafsi aliyoitoa siku moja kabla. Mbatia alikataa kufanya hivyo, ndipo ndipo yeye pamoja na wabunge wa vyama vya NCCR, CHADEMA, na TLP wakaamua kutoka nje. Baadaye wabunge hao walifanya mkutano na waandishi wa habari mjini Dodoma, na kueleza hatua watakazozichukua, kuwa ni pamoja na kumtaka waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dr. Shukuru Kawambwa ajiuzulu au awajibishwe na mamlaka iliyomteua, kwani alikuwa amelindanganya Bunge kwa kusema mtaala ulioandikwa upo. Walisema endapo hata mamlaka iliyoko juu ya waziri Kawambwa haitamuwajibisha, basi watapiga kura ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu.</div>
NCCR-Mageuzihttp://www.blogger.com/profile/12112294368976556802noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-7789720426019417868.post-65431224709577584102013-01-31T22:38:00.003-08:002013-02-05T07:38:10.219-08:00UDHAIFU KATIKA ELIMU TANZANIA: BUNGE LARINDIMA <br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiB8_x42TUC9SkFwnDcA91OMs8ZjeI7QG9mXH74Q7o3LZAlKDYYEsKUZb7dwg-7dE1mmHkbrooof5UxFmywdZ144MSyrzIoafy43W2-QLQjnkdiGqh5fvHByYpvw9vcHbXoz5Udj-DAQqcw/s1600/mbatia+na+ndungai.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" ea="true" height="478" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiB8_x42TUC9SkFwnDcA91OMs8ZjeI7QG9mXH74Q7o3LZAlKDYYEsKUZb7dwg-7dE1mmHkbrooof5UxFmywdZ144MSyrzIoafy43W2-QLQjnkdiGqh5fvHByYpvw9vcHbXoz5Udj-DAQqcw/s640/mbatia+na+ndungai.jpg" width="640" /></a></div>
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<span style="font-size: x-large;"><b>Ndugu James Mbatia (Mb) mwenye tai nyekundu wakipeana mkono na Mhe. Job Ndungai (Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano), Mjini Dodoma</b></span></div>
<br />
<div style="text-align: justify;">
<br />
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin: 0cm 0cm 0pt; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span style="font-family: 'Arial','sans-serif'; font-size: 12pt; mso-fareast-font-family: 'Times New Roman';">Hoja binafsi ya Ndugu James F. Mbatia (Mb), aliyoiwasilisha jana ya tarehe 31.1.2013 juu ya Udhaifu katika elimu ya Tanzania, ililifanya Bunge kurindima.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin: 0cm 0cm 0pt; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin: 0cm 0cm 0pt; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span style="font-family: 'Arial','sans-serif'; font-size: 12pt; mso-fareast-font-family: 'Times New Roman';">Baada ya kuiwasilisha hoja hiyo, Bunge lilirindima kwa mabishano kati ya Wabunge wa Chama tawala na Wabunge wa upande wa pili (wapinzani).<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin: 0cm 0cm 0pt; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span style="font-family: 'Arial','sans-serif'; font-size: 12pt; mso-fareast-font-family: 'Times New Roman';">Wabunge wote wa upinzani waliweka kando tofauti zao na kuwa kitu kimoja. Wapinzani waliungana pamoja kuhakikisha hoja ya Ndugu Mbatia (Mb), inapita.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin: 0cm 0cm 0pt; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin: 0cm 0cm 0pt; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span style="font-family: 'Arial','sans-serif'; font-size: 12pt; mso-fareast-font-family: 'Times New Roman';">Mjadala huo, unaendelea kesho tarehe 1/2/2013 katika Bunge la Jamhuri ya Muungano.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin: 0cm 0cm 0pt; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin: 0cm 0cm 0pt; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span style="font-family: 'Arial','sans-serif'; font-size: 12pt; mso-fareast-font-family: 'Times New Roman';">Katika hoja yake, Mhe. Mbatia alisema yafuatayo:<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin: 0cm 0cm 0pt; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin: 0cm 0cm 10pt; mso-margin-bottom-alt: auto; mso-margin-top-alt: auto; mso-outline-level: 2; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span style="font-family: 'Arial','sans-serif'; font-size: 12pt; mso-bidi-font-weight: bold; mso-fareast-font-family: 'Times New Roman';">Bunge jana lilijigawa vipande viwili kati ya wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambao waliunga mkono mapendekezo ya serikali kwa upande mmoja dhidi ya wabunge wa vyama vya upinzani waliokuwa wakiunga mkono hoja ya mbunge wa Kuteuliwa (NCCR-Mageuzi), James Mbatia, kwa upande mwingine.<br /><br />Tofauti hizo za kiitikadi na kivyama zilijidhihirisha baada ya Mbatia kuwasilisha hoja binafsi kuhusu udhaifu katika sekta ya elimu nchini. Tofauti hizo za wabunge zilijitokeza mapema baada ya Mbatia kutoa hoja yake na kuungwa mkono na wabunge wa upinzani pekee.<br /><br />Hoja ya Mbatia ilileta tofauti zaidi pale alipohitimisha kwa kuliomba Bunge liunde Kamati Teule kuchunguza kwa kina udhaifu wa kimfumo katika sekta ya elimu nchini ambayo pia itapendekeza hatua za kuchukua ili kuinusuru sekta ya elimu.<br /><br />Alisema utafiti alioufanya kwa miaka 17 sasa umebaini kwamba sekta ya elimu ina udhaifu mkubwa kuanzia kwenye sera, mfumo rasmi wa elimu, mitaala, mihtasari na udhaifu katika vitabu vya kiada na ziada.<br /><br />Alisema matatizo hayo yana harufu ya <br />ufisadi kwa kuwa vitabu vinavyotumika nchini ambavyo vimethibitishwa na kupewa ithibati vina makosa mengi ambayo kimsingi, yanadidimiza elimu.<br /><br />Alisema hata nyaraka za Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi zilizoandikwa kwa Kiswahili zinaonyesha kwamba malengo ya elimu ni 10 wakati malengo yaliyoandikwa kwa Kiingereza tisa na malengo ya elimu ya msingi kwa lugha hiyo yameainishwa kuwa ni 18, lakini kwa Kiswahili ni 10 pekee.<br /><br />Mbatia alisema tangu Tanzania ipate uhuru, haijawahi kuwa na mitaala ya elimu na kuitaka serikali iwasilishe bungeni kama ipo.<br /><br />Alisema inasikitisha kwamba baadhi ya vitabu vilivyopewa ithibati mwandishi mkuu, mhariri mkuu na msomaji mkuu ni mtu mmoja, jambo ambalo halikubaliki kitaaluma.<br /><br />Alisema tatizo hilo la kitaaluma linachangiwa na mgongano wa kimaslahi kati ya watendaji wa kamati inayotoa ithibati ambao nao ni waandishi wa vitabu ya kiada na ziada.<br /><br />Alisema elimu inayotolewa kwa wanafunzi kuanzia elimu ya msingi hailengi kulikomboa Taifa na kuwajengea walengwa uwezo wa kukabiliana na changamoto za maisha baada ya kuhitimu.<br /><br />Alisema Sera ya Elimu ya Taifa inayotumika kwa sasa imekuwapo kwa muda mrefu na kwamba kuna haja ya kuifanyia tathmini ili kuangalia nini kimetekelezwa na nini hakijatekelezwa na kujirekebisha kulingana na mahitaji ya sasa.<br /><br /> Alisema masuala mengi ya kisera katika elimu yanayotekelezwa nchini, yametokana na masharti yanayotolewa na vyombo vya kimataifa kama vile Benki ya Dunia na Shirika la Fedha Duniani (IMF).<br /><br />Alitoa mfano kwamba miaka ya 1980 vyombo hivyo viliitaka serikali ipunguze matumizi ya rasilimali za umma katika kugharamia huduma za jamii ikiwamo elimu, jambo ambalo limechangia uduni wa shule za umma nchini.<br /><br />Alisema vyombo hivyo pia viliwahi kuielekeza serikali ielekeze zaidi rasilimali katika elimu ya msingi tu kwa maelezo kwamba elimu ya juu ni anasa na katika miaka ya hivi karibuni vimebadili ushauri huo na kudai rasilimali zaidi zielekezwe katika elimu ya juu.<br /><br />Alisema serikali imekuwa ikikubali maelekezo yote hayo jambo lililopelekea nchi kuwa jalala la sampuli bila kuangalia ubora wa sera hizo na matunda yake kwa taifa.<br /><br />Alisema rasimu mpya ya sera ya elimu ambayo inaandaliwa inaeleza kwa ujumla maana ya mtaala kwamba ‘Ni jumla ya mambo ambayo mlengwa anatakiwa kuyapata katika mazingira ya ufundishaji na ujifunzaji kwa lengo la kufikia matarajio ya jamii na taifa’.<br /><br />Alisema nchi zote duniani wazazi au walezi wa kila mtoto wana haki ya kujua mitaala ya masomo husika ya shule na kwamba vyombo vya elimu huwajibika kumpatia kila mzazi au mlezi nakala ya mtaala, jambo ambalo nchini halipo.<br /><br />“Mihutasari yote iliyopo inaonyesha kwamba, kama taifa tumeshindwa kutofautisha madhumuni na malengo ya elimu ya Mtanzania,’’ alisema Mbatia.<br /><br /> Alisema kamati ya wizara inayotoa ithibati kwa vitabu vya kiada na ziada (EMAC), imeshindwa kutekeleza wajibu wake kama ipasavyo na kusababisha mafuriko ya vitabu vinayopotosha dhana ya elimu kwa kuthibitisha vitabu vingi vya kiada vikiwa na makosa mengi ya kitaaluma.<br /><br />Alisema mwaka 2009 kupitia mpango uitwao ‘Teaching and Learning Materials Programme (TLMP)’ Tanzania ilipata msaada wa dola za Marekani milioni 13 (Sh. 20,400,000,000) kutoka Shirika la Maendeleo la Marekani (USAID), kwa ajili ya kuandika na kuchapisha vitabu na kugharamia vifaa vya kufundishia masomo ya Hisabati, Fizikia, Kemia na Biolojia kwa idadi ya vitabu 2,250,000.<br /><br />Alisema inatisha na kusikitisha kutokana na vitabu vilivyochapishwa kwa kuwa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi ilipata uwezeshwaji wa jopo la wataalamu kutoka Chuo Kikuu cha South Carolina cha Marekani.<br /><br />“Mathalani, katika vitabu vya ‘Mathematics for Secondary Schools, Volume I, II, III and IV’ vilivyoratibiwa na EMAC; kama inavyoonekana kwenye utangulizi wake, mwandishi mkuu ndiye huyo huyo mhariri mkuu na mhakiki mkuu. Taaluma na maadili ya uandishi wa vitabu, inazuia mtu kuandaa, kuhariri na kuhakiki andiko lake mwenyewe. Wataalamu walioshiriki kuandaa vitabu hivyo walikuwa na majukumu mengi ikiwamo kuandika, kuhariri na kuhakiki vitabu walivyoandaa wenyewe chini ya uratibu wa EMAC,’’ alisema Mbatia.<br /><br />Alisema utaratibu huo ulitumika pia kwa wataalamu wa masomo mengine yote yaliyoandaliwa wakati huo chini ya uratibu wa EMAC na tayari vimepewa ithibati.<br /><br />“Elimu iliyopangwa kwa sera bora na mitaala bora pekee yenye mihitasari na vitabu vilivyotayarishwa kwa umakini mkubwa na uadilifu ndiyo yenye uwezo wa kujenga Taifa la watu waadilifu, wazalendo, wachapakazi, watambuzi wa haki na wajibu wao,” alisema.<br /><br />Alisema mfumo wa elimu uliopo unatia wasiwasi ikiwa Tanzania itaweza kufikia Dira ya Taifa (2025) ya kuhakikisha mwaka huo, Taifa linakuwa na watu walioelimika kwa upeo wa juu.<br />Alitahadharisha pia kwamba udhaifu katika sekta ya elimu utaisababisha nchi kushindwa kufikia lengo la pili la Milenia la elimu bora kwa wote.<br /><br />WAZIRI KAWAMBWA<br />Baada ya Mbatia kuwasilisha hoja yake, Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa, aliwasilisha maelezo ambayo pamoja na mambo mengine, alilitaka Bunge kutounda kamati teule kwa kuwa serikali ipo kwenye mchakato wa kuandaa sera ya elimu ambayo itaainisha mitaala na mihutasari.<br /><br />Alisema mfumo wa elimu wa Tanzania una mitaala na mihutasari na kwamba siyo kweli kuwa hakuna mitaala. Alisema sekta ya elimu inakabiliwa na changamoto nyingi lakini serikali imekuwa ikifanya jitihada za kuiboresha kama kununua vifaa vya kufundishia, kujifunzia, kuandaa walimu na kujenga madarasa ya kutosha.<br /><br />Alisema sekta ya elimu inaongozwa na sera kubwa tatu ambazo ni sera ya elimu na mafunzo (1995), sera ya elimu ya ufundi na mafunzo (1996) na ile ya elimu ya juu (1999).<br /><br />Alisema mwaka 1997 serikali ilianzisha programu ya maendeleo ya sekta ya elimu iliyowezesha kuongeza fursa za utoaji wa elimu, ubora, usawa wa kutoa elimu na kuimarisha mbinu za uongozi, utawala na ugharimiaji wa elimu.<br /><br />Alisema sera hizo pamoja na programu hiyo zimesaidia ongezeko la shule za msingi, sekondari, vyuo vya elimu ya ufundi, vya ualimu na vyuo vikuu.<br /><br />Alipinga hoja ya Mbatia kwamba sekta ya elimu inaongozwa bila mitaala rasmi na kusema kwamba ipo na pia mihtasari.<br /><br />Alisema serikali imeanza kufanya mapitio na marekebisho makubwa ya sera ya elimu na mafunzo ya ufundi.<br /><br />“Naomba Bunge lako Tukufu liitake serikali kuzingatia hoja zilizotolewa kwenye hoja hii (ya Mbatia) na kuzifanyiakazi kwa kina wakati ikikamilisha mapitio ya sera ya elimu na mafunzo,” alisema.<br /><br />Pendekezo hilo la Dk. Kawambwa liliungwa mkono na mawaziri pamoja na wabunge wa CCM, jambo ambalo liliibua mvutano.<br /><br />Mbatia alipoulizwa kama anakubaliana na pendekezo la Waziri, alikataa akieleza kwamba ni kamati teule ya Bunge ndiyo itaweza kubaini kiini cha udhaifu katika sekta ya elimu.<br /><br />KITI CHA SPIKA CHAYUMBA<br />Hata hivyo, kiti cha Spika kilionekana kuyumba baada ya Spika wa Bunge, Anne Makinda, aliyeanza kupinga uundwaji wa kamati teule akieleza kwamba Mbatia hajataja jambo mahsusi ambalo litachunguzwa na kamati hiyo.<br /><br />TUNDU LISSU<br />Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu, aliomba mwongozo kupitia kanuni ya 57 (7), na kukumbusha kwamba kanuni za Bunge zinaeleza kwamba badiliko lolote halipaswi kupingana na hoja ya msingi, lakini pendekezo la waziri linataka kuondoa hoja ya kulitaka Bunge lisiunde kamati teule.<br /><br />Hata hivyo, hoja ya Lissu ilipingwa na Mbunge wa Viti Maalum (CCM), Margaret Sitta, ambaye aliomba wabunge wakubali hoja ya serikali ili ikamilishe kazi ambayo ilikuwa imeanza.<br /><br />WAZIRI LUKUVI<br />Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi, alilitaka Bunge kukubali mapendekezo ya serikali na kuahidi kwamba hoja za Mbatia zitazingatiwa katika mchakato huo. Alisema serikali haijadharau hoja ya mbatia na kwamba mapendekezo yake ni mazuri na ya msingi.<br /><br />Hata hivyo, alipinga uundaji wa kamati teule kwa maelezo kwamba haitaweza kukamilisha kazi hiyo kwa kuwa Mbatia amezungumzia mambo mengi.<br /><br />Maelezo ya Mbatia yaliwainua wabunge wengi wa upinzani ambao walikuwa wakipinga pendekezo la serikali.<br /><br />OLE SENDEKA<br />Mbunge wa Simanjiro (CCM), Christopher Ole Sendeka, alisema hoja za Mbatia ni za msingi, lakini Bunge haliwezi kuunda kamati teule kwa kuwa hoja imetaja mambo mengi ambayo hayawezi kuchunguzwa na wanasiasa hasa suala la mitaala ambalo ni la kitaalamu.<br /><br />MCHUNGAJI MSIGWA<br />Mbunge wa Iringa Mjini (Chadema), Mchungaji Peter Msigwa, alitaka Bunge lifanye kazi yake ya kuisimamia Serikali badala ya kuondoa hoja ya Mbatia; akitahadharisha kwamba elimu ni gharama na hivyo ni lazima nchi igharamie sekta hiyo.<br /><br />FELIX MKOSAMALI<br />Mbunge wa Muhambwe (NCCR-Mageuzi), Felix Mkosamali, alisema ibara ya 117 ya kanuni za Bunge inaeleza kwamba Bunge linaweza kuunda kamati teule kuchunguza jambo mahsusi na kwamba hoja ya Mbatia ndilo jambo mahsusi la kuundiwa kamati.<br /><br />NAIBU SPIKA<br />Naibu Spika, Job Ndugai, alisema kamati teule ingeweza kuundwa kama Mbatia angekuja na hoja mahsusi moja.<br /><br />JOSHUA NASSARI<br />Mbunge wa Arumeru Mashariki (Chadema), Joshua Nassari, alisema kupinga hoja ya Mbatia kunadhihirisha kwamba wabunge wanakimbia kazi yao ya kibunge ya kuisimamia serikali.<br />Alisema mfumo wa elimu ni mbovu ndiyo maana vyuo vinazalisha watafuta ajira badala ya wazalisha ajira.<br /><br />Baada ya mvutano wa muda mrefu, Spika Makinda aliamuru hoja hiyo iamuliwe kwa kura za ndiyo na hapana na wabunge wengi wakaunga mkono pendekezo la serikali.<br /><br />MOSES MACHALI<br />Mbunge wa Kasulu Mjini (NCCR-Mageuzi), Moses Machali, alipinga pendekezo la serikali na kusema kwamba serikali inahofu ya kuundiwa kamati teule kwa sababu ina mambo inayaficha.<br /><br />SUZAN LYIMO<br />Mbunge wa Viti Maalum (Chadema), Suzan Lyimo aliitaka serikali kueleza bayana ni lini itarekebisha hali hiyo kwa kuwa sekta ya elimu ni kama ipo chumba cha wagonjwa mahtuti (ICU).<br /><br />Mbunge wa Vunjo (TLP), Augustino Mrema, alisema sekta ya elimu inakabiliwa na changamoto nyingi na kwamba hoja ya Mbatia ya kutaka iundwe kamati teule ni ya msingi kwa sababu kuna upotevu mkubwa wa fedha zikiwamo Sh. bilioni 20 za wafadhili zilizotolewa kwa ajili kuchapisha vitabu.<br /><br />JABIR MAROMBWA<br />Mbunge wa Kibiti (CCM), Jabir Marombwa, aliunga mkono mapendekezo ya serikali na pia hoja ya Mbatia na kuitaka serikali kuzingatia mambo yote ya msingi yaliyoainishwa kwenye hoja hiyo.<br /><br />MARGARET SITTA<br />Mbunge wa Viti Maalum (CCM), Margaret Sitta, alipendekeza kuwa tume ya utumishi wa walimu irudishwe wizarani kwa kuwa ilipoondolewa imeathiri sana kada ya ualimu. Hoja hiyo itahitimishwa leo kwa Waziri Kawambwa na Mbatia kutoa maelezo ya kuhitimishwa.<o:p></o:p></span></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin: 0cm 0cm 4.8pt; text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span style="font-family: 'Arial','sans-serif'; font-size: 12pt; mso-fareast-font-family: 'Times New Roman';">SOURCE: NIPASHE <o:p></o:p></span></div>
</div>
NCCR-Mageuzihttp://www.blogger.com/profile/12112294368976556802noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-7789720426019417868.post-40082485311115635502013-01-31T18:36:00.003-08:002013-02-05T07:11:40.300-08:00MBATIA AANIKA UDHAIFU KATIKA SEKTA YA ELIMU<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiwm_EFJF59YqmjaUiAWn2VYTOxOybUuP021L0MECulYL9gpILBtXBAce9ZS6ik3mxw69UgNjeKUPGyt52bNXTUDjKmqsKE9V_oIukdeeCnNR6gHmHvOgsNihJUAyhU5A0vvphIvTiotfcG/s1600/mbatia+na+kawambwa.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="426" jea="true" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiwm_EFJF59YqmjaUiAWn2VYTOxOybUuP021L0MECulYL9gpILBtXBAce9ZS6ik3mxw69UgNjeKUPGyt52bNXTUDjKmqsKE9V_oIukdeeCnNR6gHmHvOgsNihJUAyhU5A0vvphIvTiotfcG/s640/mbatia+na+kawambwa.jpg" width="640" /></a></div>
<div align="center" style="text-align: center;">
<br /></div>
<div align="center" style="text-align: center;">
<span style="color: #333333; font-family: 'Arial','sans-serif';">Pichani: Mhe.James Mbatia akiongea na waziri wa Elimu Dr. Kawambwa, Waziri wa zamani wa Elimu, Mhe. Margareth Sitta, na waziri wa Fedha Mhe. Mgimwa, mara baada ya kuwasilisha hoja yake bungeni jana tr. 31.01.2013<o:p></o:p></span></div>
<br />
<br />
<div style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<b><span lang="FR" style="color: #333333; font-family: 'Arial','sans-serif'; mso-ansi-language: FR;">Kwa mujibu wa gazeti la Tanzania daima</span></b><span lang="FR" style="color: #333333; font-family: 'Arial','sans-serif'; mso-ansi-language: FR;"><o:p></o:p></span></div>
<div style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<br /></div>
<div style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="FR" style="color: #333333; font-family: 'Arial','sans-serif'; mso-ansi-language: FR;">HOJA binafsi kuhusu udhaifu uliopo katika sekta ya elimu iliyowasilishwa na mbunge wa kuteuliwa, James Mbatia (NCCR-Mageuzi), ilizua mjadala mzito bungeni jana.<o:p></o:p></span></div>
<div style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="FR" style="color: #333333; font-family: 'Arial','sans-serif'; mso-ansi-language: FR;">Mjadala huo ulimfanya Spika wa Bunge, Anna Makinda, kuwa na wakati mgumu kutumia kanuni ya kuwazuia wabunge wa kambi ya upinzani, Tundu Lissu, Felix Mkosamali, Mchungaji Peter Msingwa na wengine ambao walikuwa wakiichangia kwa jazba.<o:p></o:p></span></div>
<div style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="FR" style="color: #333333; font-family: 'Arial','sans-serif'; mso-ansi-language: FR;">Mjadala huo ulitokana na Mbatia kumaliza hoja yake kwa kulitaka Bunge kuuda Kamati Teule kuchunguza udhaifu wa mfumo wa elimu nchini.<o:p></o:p></span></div>
<div style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="FR" style="color: #333333; font-family: 'Arial','sans-serif'; mso-ansi-language: FR;">Wakati wabunge wa upinzani wakichangia kuunga mkono hoja ya kutaka iundwe Kamati Teule, Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa alikuja na mapendekezo ya serikali jinsi inavyoshughulikia suala la kuweka sera mpya ya mfumo wa elimu nchini.<o:p></o:p></span></div>
<div style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="FR" style="color: #333333; font-family: 'Arial','sans-serif'; mso-ansi-language: FR;">Hoja ya Waziri Kawambwa iliungwa mkono na Spika na wabunge wengi wa CCM, lakini wa kambi ya upinzani walipinga wakitaka iundwe Kamati Teule.<o:p></o:p></span></div>
<div style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="FR" style="color: #333333; font-family: 'Arial','sans-serif'; mso-ansi-language: FR;">Spika Makinda alisema Bunge linaweza kuunda Kamati Teule kwa jambo maalumu, lakini haliwezi kuunda kamati hiyo kushughulikia hoja ya Mbatia kwani ina vipengele vingi na ni suala pana.<o:p></o:p></span></div>
<div style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="FR" style="color: #333333; font-family: 'Arial','sans-serif'; mso-ansi-language: FR;">“Kamati Teule inaundwa kushughulikia jambo maalumu, lakini hoja ya Mbatia ni pana na inahitaji kuunda Kamati Teule zaidi ya sita, sasa hilo haliwezekani,” alisema Makinda na kuibua mjadala zaidi.<o:p></o:p></span></div>
<div style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="FR" style="color: #333333; font-family: 'Arial','sans-serif'; mso-ansi-language: FR;">Hoja hiyo iliamriwa kwa kupiga kura na kukubaliana kutounda kamati teule badala yake wizara iachiwe ifanyie marekebisho suala la udhaifu wa sera ya elimu nchini.<o:p></o:p></span></div>
<div style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="FR" style="color: #333333; font-family: 'Arial','sans-serif'; mso-ansi-language: FR;">Katika hoja yake binafsi, Mbatia alisema pamoja na kazi nzuri inayofanywa na serikali, elimu itolewayo nchini kwa sasa ina udhaifu mkubwa sana.<o:p></o:p></span></div>
<div style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="FR" style="color: #333333; font-family: 'Arial','sans-serif'; mso-ansi-language: FR;">Alisema udhaifu huo unajidhihirisha katika sura mbalimbali ambazo miongoni mwazo ni tabia ya Watanzania wengi kutothamini matumizi ya muda, kupotoka kwa mila, desturi na utamaduni wa jamii ya Watanzania, kumomonyoka kwa uadilifu miongoni mwa watumishi wa umma na kada nyinginezo.<o:p></o:p></span></div>
<div style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span style="color: #333333; font-family: 'Arial','sans-serif';">“Kuporomoka kwa uwajibikaji, kuporomoka kwa kiwango cha utii wa sheria na kanuni mbalimbali, kutokuthamini rasilimali za taifa, kukithiri kwa ukiukwaji wa haki za binadamu, kukua kwa utamaduni wa ukupe, kupungua kwa uzalendo kwa baadhi ya wananchi, kutojiamini kwa Watanzania wanaohitimu elimu katika ngazi mbalimbali na kukua na kukomaa kwa migogoro ya mara kwa mara katika sekta ya elimu,’ alisema.<o:p></o:p></span></div>
<div style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span style="color: #333333; font-family: 'Arial','sans-serif';">Alisema uduni wa elimu itolewayo katika ngazi mbalimbali za elimu nchini, unaojidhihirisha katika viwango vya chini, ufaulu wa wanafunzi katika mitihani, pamoja na uelewa mdogo wa wahitimimu, huduma mbovu zitolewazo katika sekta mbalimbali.<o:p></o:p></span></div>
<div style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span style="color: #333333; font-family: 'Arial','sans-serif';">Akizungumzia udhaifu katika elimu, Mbatia alisema udhaifu uliopo katika sekta ya elimu hususan mfumo wa utoaji elimu ndicho kirusi kilichoambukiza udhaifu kwenye sekta nyingine zote katika taifa.<o:p></o:p></span></div>
<div style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span style="color: #333333; font-family: 'Arial','sans-serif';">“Matokeo ya utafiti niliofanya, kwa takriban miaka 18 sasa, yanaonyesha kwamba udhaifu wa mfumo wetu rasmi wa elimu unatokana na mambo makuu matatu, ambayo hapa nchini imekuwa ni nadra kuyaangalia kwa undani tunapoendelea kutafuta ni kwa nini tumekwama katika masuala mbalimbali ya kimaendeleo,” alisema.<o:p></o:p></span></div>
<div style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span style="color: #333333; font-family: 'Arial','sans-serif';">Aliyataja mambo hayo kuwa ni sera ya elimu ya taifa ya tangu mwaka 1995 na sera nyinginezo.<o:p></o:p></span></div>
<div style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span style="color: #333333; font-family: 'Arial','sans-serif';">Alisema mitaala ya elimu ya shule za msingi na sekondari na mihtasari ya masomo na vitabu vya kiada na ziada vitumikavyo katika shule za msingi na sekondari ina mapungufu.<o:p></o:p></span></div>
<div style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span style="color: #333333; font-family: 'Arial','sans-serif';">Alisema tatizo la sera ya elimu ya sasa ni kwamba imetumika kwa muda mrefu, hivyo kuna haja ya kuifanyia tathmini kubwa.<o:p></o:p></span></div>
<div style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span style="color: #333333; font-family: 'Arial','sans-serif';">Alisema sanjari na matatizo ya sera ya elimu nchini, ni jambo la kusikitisha sana kwamba hadi mwaka 2011, nchi haikuwahi kuwa na mitaala rasmi ya kitaifa kwa ajili ya elimu ya shule za msingi au sekondari.<o:p></o:p></span></div>
<div style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span style="color: #333333; font-family: 'Arial','sans-serif';">Kuhusu udhaifu kwenye vitabu vya kiada, Mbatia alisema kuwa licha ya matatizo ya kimkakati tuliyonayo, kuna udhaifu mkubwa katika utendaji kiuwezo na kimaadili.<o:p></o:p></span></div>
NCCR-Mageuzihttp://www.blogger.com/profile/12112294368976556802noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-7789720426019417868.post-43346170837177675242013-01-24T01:35:00.000-08:002013-02-05T07:04:59.891-08:00WAZEE WA MIKINDANI MTWARA WAFIKA DAR ES SALAAM KUZUNGUMZIA SUALA LA GESI<div class="yiv2133046MsoNormal">
</div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEig7WXP9V3sr2l4dfcoJjxisLHiUecHjd4pDRDTs5rd2hVUm7m6MJK83a_vkYCYhTHbLQewxyBqGIiw4m5KeW2DQ-I6UVIe9pJpFJ4UxD_DjS6Dv5GqFlP-kshY3JPIhTreWvPBiHCU5oyn/s1600/IMG_1101.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="480" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEig7WXP9V3sr2l4dfcoJjxisLHiUecHjd4pDRDTs5rd2hVUm7m6MJK83a_vkYCYhTHbLQewxyBqGIiw4m5KeW2DQ-I6UVIe9pJpFJ4UxD_DjS6Dv5GqFlP-kshY3JPIhTreWvPBiHCU5oyn/s640/IMG_1101.JPG" width="640" /></a></div>
<div class="yiv2133046MsoNormal">
<span style="font-size: medium;"><i></i></span></div>
<div class="yiv2133046MsoNormal" style="text-align: center;">
<span style="font-size: medium;">Pichani: <span style="font-size: medium;">Wazee kumi kutoka Mkoani Mtwara wakiwa wanaingia kwenye ukimbi wa Mikutano wa Maelezo jijini Dar es Salaam leo wakiwawakilisha wanamtwara kwa ajili ya kuja kutoa Tamko lao kuhusiana na Gesi iliyogundulika Mkoani kwao. </span></span></div>
<div class="yiv2133046MsoNormal" style="text-align: justify;">
<br /></div>
<div class="yiv2133046MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span style="font-size: medium;">Wazee wa Mtwara Mikindani leo wameongea na waandishi wa habari katika ukumbi wa habari Maelezo kuelezea matakwa yao kwa Serikali juu ya suala zima la Gesi ambayo inapatikana katika Mkoa wao.</span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-size: medium;"></span></div>
<div class="yiv2133046MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span style="font-size: medium;">Akizungumza kwa niaba ya wazee wenzake, Mzee Selemani Mademu amesema kuwa wanaitaka Serikali kuhakikisha kuwa Gesi inawafaidisha wao kwanza kabla ya kwenda kuwafaidisha wengine.</span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-size: medium;"></span></div>
<div class="yiv2133046MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span style="font-size: medium;">Amesema kuwa wao wametumia Gharama zao wenyewe ikiwa ni pamoja na kuuza Mbuzi wao ili wapate nauli ya kuja kuitetea Gesi yao kwa manufaa ya wanamtwara wote kwa Ujumla.</span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-size: medium;"></span></div>
<div class="yiv2133046MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span style="font-size: medium;">Ameendelea kusema kuwa, wanaitaka serikali ihakikishe kuwa kituo cha kusafishia Gesi kinajengwa mkoani Mtwara kwani kuna bandari yenye kina kirefu kwa ajili ya Kazi hiyo na amesema kuwa wanaitaka serikali katika kutekeleza swala hilo ifanye vitendo kwanza na sio ahadi kama ilivyozoeleka.</span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-size: medium;"><i></i></span></div>
<div class="yiv2133046MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span style="font-size: medium;"><em>“Tumechoshwa na ahadi za Serikali na kwa hili hatuhitaji tena ahadi tunataka vitendo la sivyo Gesi haitoki Mtwara tutazidi kuandamana, tuna rekodi ya ahadi tulizoahidiwa na Serikali na hazijatekelezwa mpaka leo kama vile: Barabara, Umeme, kuimarishwa kwa Bandari, Mikopo kwa ajaili ya Ujasiriamali, viwanda vidogo kwa ajili ya Kubangua korosho n.k. kwa hivyo sisi tunataka vitendo tu, tushachoshwa na ahadi”,</em> Amesema Mademu.</span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-size: medium;"><i></i></span></div>
<div class="yiv2133046MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span style="font-size: medium;">Serikali pia imetakiwa, kutimiza ahadi ya kujenga viwanda kama vya Mbolea na Saruji kama ilivyo ahidi kwa wanaMtwara jambo ambalo litawapa Matumaini yasiyokuwa na Shaka kuhusu kupata Ajira, pamoja na kuratibu mchakato mzima wa Matumizi ya Gesi kwa kuwashirikisha mikoa ya kusini kwa hatua Zote na kwa uwazi.</span><span style="font-size: medium;">Aidha wameitaka Serikali kujenga kituo cha kufua Umeme Power Plant Mtwara.</span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-size: medium;"></span></div>
<div class="yiv2133046MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span style="font-size: medium;">Wazee hao pia wamekanusha taarifa zinazomhusu Mwenyekiti wa NCCR-MAGEUZI Mhe, James Mbatia za kuwa alishushwa jukwaani tarehe 13/01/2013 na kusema kuwa jambo hilo halina ukweli wowote.</span><span style="font-size: medium;"></span></div>
NCCR-Mageuzihttp://www.blogger.com/profile/12112294368976556802noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-7789720426019417868.post-18327952993004526412013-01-20T06:04:00.000-08:002013-02-05T07:41:35.457-08:00NCCR-MAGEUZI YACHOMOA MWINGINE KUTOKA CHADEMA<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhNEkYaMTj_peD1qf_FRx9aP_HBF3RYYYXsjHK2Av9I_87eE134yF72ym19SM4Do6tFfwv8kxBCqc2VSqY3DIAoNzZ-lUXVA_tzLlXrr4iEC9P2lcoOeoFbZEthL9BJdKLAGEmvJ6Kmmkzn/s1600/DSC02892.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="480" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhNEkYaMTj_peD1qf_FRx9aP_HBF3RYYYXsjHK2Av9I_87eE134yF72ym19SM4Do6tFfwv8kxBCqc2VSqY3DIAoNzZ-lUXVA_tzLlXrr4iEC9P2lcoOeoFbZEthL9BJdKLAGEmvJ6Kmmkzn/s640/DSC02892.JPG" width="640" /></a></div>
<div align="center" class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<b><span lang="EN-CA" style="font-family: "Book Antiqua","serif";">Ndugu Moses J. Machali (Mb) Katibu wa Uenezi na Mahusiano ya Umma ya Chama akimkabidhi kadi ya NCCR-Mageuzi Ndugu Edo R. Makata aliyejiengua CDM na kujiunga na NCCR-Mageuzi, leo tarehe 20.1.2013 Mkao Makuu ya Chama. </span></b></div>
<div align="center" class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<br /></div>
<div align="center" class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<br /></div>
<div align="center" class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<br /></div>
<div align="center" class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<b><span lang="EN-CA" style="font-family: "Book Antiqua","serif";">TAMKO LA NDUGU EDO R. MAKATA KWA VYOMBO VYA HABARI NA UMMA</span></b></div>
<div align="center" class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<b><span lang="EN-CA" style="font-family: "Book Antiqua","serif";"> KUHUSU KUJIUNGA NA NCCR-MAGEUZI 20/01/2013</span></b></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span lang="EN-CA" style="font-family: "Book Antiqua","serif";">N</span><span lang="EN-CA" style="font-family: "Book Antiqua","serif"; font-size: 12pt; line-height: 115%;">dugu wanaha</span><span lang="EN-CA" style="font-family: "Book Antiqua","serif";">bari, </span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span lang="EN-CA" style="font-family: "Book Antiqua","serif";">Salamu, na heri ya mwaka mpya!</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span lang="EN-CA" style="font-family: "Book Antiqua","serif";">Ndugu wanahabari, </span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span lang="EN-CA" style="font-family: "Book Antiqua","serif";">Kwanza sina budi kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunivusha hadi mwaka huu wa 2013 nikiwa imara na mwenye afya njema sana, maana bila yeye Mwenyezi tusingeiona siku ya leo. </span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span lang="EN-CA" style="font-family: "Book Antiqua","serif";">Ndg wanahabari, Naitwa Edo Rashid Makata Mwamalala niliyekuwa katibu wa CHADEMA mkoa wa Mbeya tangu mwaka 2009 hadi 2013, Leo nimeona kuwa ni wakati mwafaka kuzungumuza nanyi ili niwafahamishe wanachadema kutoka mkoa wa Mbeya na watanzania kwa ujumla juu ya mustakabali wangu kisiasa baada ya kutangaza kujiuzulu uanachama wa CHADEMA pasipo kueleza bayana naenda wapi. </span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span lang="EN-CA" style="font-family: "Book Antiqua","serif";">Wapendwa wanahabari, harakati zangu za kisiasa nilizianza tangu ujana wangu nikiwa ni muumini wa siasa za upinzani zenye tija na kweli, na rasmi nilijiunga na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Machi 2005. Nikiwa CHADEMA, nilijituma kwa bidii na kwa moyo mkunjufu sana, nilikitumikia katika nafasi mbalimbali; ikiwamo Uratibu wa vijana jimbo la ubungo 2005/ 2007, ukatibu wa wilaya ya kinondoni, 2006/2007, ukatibu wa mkoa wa mbeya na ujumbe wa mkutano mkuu wa Taifa 2009/2013. Pia nimegombea nafasi za uwakilishi mbali mbali; 2005 udiwani kata ya mabibo Dar es salaam, na 2010 niligombea ubunge jimbo la Kyela. </span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span lang="EN-CA" style="font-family: "Book Antiqua","serif";">Ndugu wanahabari, mtakumbuka mwanzoni mwa mwezi huu, tarehe 03/01/2013, nilitangaza kujiuzulu nafasi zote za uongozi ndani ya CHADEMA ikiwa ni pamoja na kujivua uanachama wa chama hicho. </span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span lang="EN-CA" style="font-family: "Book Antiqua","serif";">Kwa furaha kubwa kabisa napenda kuchukua fursa hii kuwatangazia wana Mbeya na umma wa Watanzania kwa ujumla; kwa kuvunja ukimya, sasa natangaza rasmi kujiunga na Chama Cha National Convention For Construction and Reform- Mageuzi (NCCR- Mageuzi). Aidha, niseme kuwa huu ni mwanzo tu, mimi nimetangulia na kuamini wengi watakuja au kufuata hatua kwa hatua. </span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span lang="EN-CA" style="font-family: "Book Antiqua","serif";">Nimechukua uamuzi huu mzito na wa kihistoria wa kuhama nilikokuwa zamani na kujiunga na NCCR-Mageuzi kwa kuwa;</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span lang="EN-CA" style="font-family: "Book Antiqua","serif";">NCCR kwa matendo kimeonekana kuwa chama cha UTU na chenye misingi bora ya usawa, uheshimu wa haki za wanachama na watanzania wote, na chenye mshikamano wa kweli.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify;">
<span lang="EN-CA" style="font-family: "Book Antiqua","serif";">Aidha nimekerwa na kuchoshwa na CHADEMA sana kutokana na;</span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpFirst" style="text-align: justify; text-indent: -0.25in;">
<span lang="EN-CA" style="font-family: "Book Antiqua","serif";">1.<span style="font: 7pt 'Times New Roman';"> </span></span><span lang="EN-CA" style="font-family: "Book Antiqua","serif";">Ufisadi mkubwa wa ukiukaji wa katiba na kanuni ndani ya chama, ubabe wa Mwenyekiti Taifa Bwana Freeman Mbowe, ukabila, udini na matumizi mabaya ya ruzuku ambayo ni mambo ya kawaida ndani ya Chama kinachoitwa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo.</span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle" style="text-align: justify; text-indent: -0.25in;">
<span lang="EN-CA" style="font-family: "Book Antiqua","serif";">2.<span style="font: 7pt 'Times New Roman';"> </span></span><span lang="EN-CA" style="font-family: "Book Antiqua","serif";">Ndani ya Chadema, pindi utakapotofautina kimtazamo au kimawazo na Freeman Mbowe au Dr wilbrod Slaa katika masuala ya msingi ya ujenzi wa chama, utasemwa umehongwa, Umetumwa au wewe ni pandikizi la CCM na au Masalia. Viongozi hawa wanapenda sana sera za CCM za zidumu fikra za mwenyekiti na katibu mkuu wa CHADEMA hata kama ni mbovu au ni za kipuuzi, kwa mfano suala la kutangaza nia ya Urais na Mchumba wa Dkt Slaa, Josephine Mshumbusi anafanya ziara mikoani huku ikiwa haifahamiki ni nani ndani ya CHADEMA mbali na kuwa ni mwanachama wa kawaida, na iwapo watajitetea kuwa ni mwanachama wa kawaida; je, ni First lady au nani? Hali ambayo inakivuruga chama ilihali ikifahamika wazi kuwa CHADEMA wamekuwa wakipinga kwa nyakati tofauti suala la mke wa Mhe. Rais wa serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania kufanya ziara mbalimbali nchini kwa kutumia gaharama za seriakali; ni vema sasa watanzania tukajiuliza CHADEMA ina tofauti gani na CCM? Suala la huyu mchumba wa Dr. Slaa kufanya ziara kwa kutumia gharama za CHADEMA pasipo baraka za vikao halali vya chama si ni ubadhirifu wa fedha na utoaji wa posho kinyemela? Ukihoji wanadai umehongwa, umetumwa, pandikizi au masalia. Haya ni matumizi mabaya ya fedha.</span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle" style="text-align: justify;">
<br /></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle" style="text-align: justify; text-indent: -0.25in;">
<span lang="EN-CA" style="font-family: "Book Antiqua","serif";">3.<span style="font: 7pt 'Times New Roman';"> </span></span><b><span lang="EN-CA" style="font-family: "Book Antiqua","serif";">CHADEMA na siasa za ulaghai bungeni kutafuta umaarufu; </span></b><span lang="EN-CA" style="font-family: "Book Antiqua","serif";">Kimsingi haiingii akilini kumuona na kumsikia Mwenyekiti wa CHADEMA taifa akisimama Bungeni na kutamka kuwa anapinga kwa nguvu zote suala la matumizi makubwa ya fedha za serikali kwa kununulia magari ya kifahari ya takribani shilingi 300 milioni na vinginevyo (vx v8) halafu anatenda kinyume cha kauli zake. Kwa mfano Mwaka 2011 wakati wa bunge la bajeti aliutangazia umma wa Watanzania kuwa ameamua kulirudisha gari la kiongozi wa upinzani bungeni aina ya VX V8 lenye namba za usajili <b>KUB</b> kama sehemu ya kupinga matumizi mabaya ya fedha katika ununuzi wa magari, jambo hilo lilitufurahisha sana na kumuona huyu ni kiongozi mzalendo. Lakini cha ajabu Mbowe ameendelea kulitumia gari hilo na akiulizwa na kuelezwa kuwa anatusaliti, kutudhalilisha wapinzani anakuwa mkali. Je, huo siyo unafiki na utapeli wa kisiasa? Viongozi wa CDM taifa ni walaghai kwa sehemu kubwa kutafuta umaarufu usiokuwa na tija kwa taifa na hii ni kutudhalilisha wanasiasa wazalendo wa aina yangu.</span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle" style="text-align: justify; text-indent: -0.25in;">
<span lang="EN-CA" style="font-family: "Book Antiqua","serif";">4.<span style="font: 7pt 'Times New Roman';"> </span></span><b><span lang="EN-CA" style="font-family: "Book Antiqua","serif";">Matumizi mabaya ya ruzuku</span></b><span lang="EN-CA" style="font-family: "Book Antiqua","serif";">: yapo matumizi mabaya ya ruzuku katika chama hicho, kwa mfano Dr. Slaa kulipwa zaidi ya shilingi milioni saba kwa mwezi kama posho ya kujikimu. Hivi hii ni sahihi kweli ilihali huko mikoani na wilayani wakiachwa kama yatima na kwamba wachangishane hadi kieleweke? Binafsi hainingii akilini na nimehoji sana nikaambiwa nimetumwa; ni mamluki na masalia, ninajiuliza, mimi ni masalia? na kama ni masalia je, ni masalia ya nani au nini? Na kama dhana ya masalia ina maana ni mabaki ya kitu fulani, kwa hiyo Dr. Slaa mwenye kadi za CCM na CHADEMA ndiye masalia namba moja. Hivi hii ni haki kweli? Wakati huo huo dereva wake analipwa na chama; mafuta ya gari anapewa na chama, ana ulinzi kwa gharama za chama. Yote haya ni mwenendo mbaya wa uongozi wa CHADEMA kifaifa na nimesikitishwa sana kwa kusikia kuwa amejikopesha zaidi ya shilingi <b>milioni mia moja arobaini </b>kupitia ruzuku ya chama inayotokana na kodi za watanzania huku mikoani na kwengineko wakiwa na njaa kali. </span></div>
<div class="MsoListParagraphCxSpMiddle" style="text-align: justify;">
<br />
<div style="text-align: justify;">
<span lang="EN-CA">Upendeleo wa ruzuku kwenye majimbo, mfano jimbo la kyela linapewa tsh. 100,000/= wakati jimbo la ubungo kwa mnyika linapewa tsh. 800,000/= </span></div>
<div style="text-align: justify;">
<b><span lang="EN-CA">Mwisho kabisa</span></b><span lang="EN-CA">:Wakati akina Juju Danda, Moses Machali, Mkosamali Felix, David Kafulila na wengine walipoondoka CHADEMA kwa nyakati tofauti hasa mwaka 2009 /2010, mimi na wenzangu tulibaki CHADEMA tukiamini tutapambana humohumo hadi hali itengemae lakini ukweli CHADEMA siyo chama cha watu wenye dhamira njema katika kuleta mabadiliko hapa nchini. Utafiti rahisi unaonesha kuwa siyo rahisi watu kuwa wanaondoka na kukalia kuaminishwa kuwa viongozi wa CHADEMA unaonewa na kwamba wapo sahihi Slaa na wenzake. </span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span lang="EN-CA">Ndg. Wanahabari na watanzania wote, CHADEMA ni kama kampuni ya watu fulani kiutendaji. Hakuna Demokrasia ndani ya CHADEMA ndugu zangu. Naomba mrejee suala la Zitto na wengineo kutangaza nia ya kugombea urais. Kwa mfano, Zitto anapingwa sana, na hata Kisandu alipingwa sana hali kadhalika Ndg. John Shibuda (MB) kwa nyakati tofauti wameitwa waleta vurugu ndani ya CHADEMA. Lakini Mbowe kamtangaza Dr. Slaa kuwa mgombea wa urais mwaka 2015 ilihali akijua kuwa mtu yeyote kutangaza nia siyo tatizo kidemokrasia, je lini kamati kuu na baraza kuu la CHADEMA vilikaa na kumpitisha Slaa atangazwe kuwa mgombea wa mwaka 2015? Je, hiyo ndiyo demokrasia au Domokrasia? Ni dhahiri ubaguzi upo wazi kwa kuwa akina Zitto, Shibuda na wengineo wakitangaza nia wanaitwa majina mbalimbali lakini Mbowe akitangaza, aaaaah; shwari. Siyo siri huu ni uhuni katika misingi ya demokrasia ndani ya CHADEMA na kokote miongoni mwa vyama vya siasa.</span></div>
</div>
<br />
<span lang="EN-CA" style="font-family: "Book Antiqua","serif";"></span><br />
<div align="center" class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<span lang="EN-CA" style="font-family: "Book Antiqua","serif";">Imetolewa na </span></div>
<div align="center" class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<span lang="EN-CA" style="font-family: "Book Antiqua","serif";">Ndg. Edo R. Makata</span></div>
<div align="center" class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
<div class="MsoNormal">
<br /></div>
NCCR-Mageuzihttp://www.blogger.com/profile/12112294368976556802noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-7789720426019417868.post-80200354927077842982013-01-17T04:54:00.002-08:002013-02-05T07:39:24.618-08:00SUNGURA: OOH MTWARA, JIWE WALILOLIKATAA WAASHI…! <br />
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><img border="0" height="300" jea="true" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgxaH_Y3YGJG2HeTffQ4eGbopCkuIkyo6KdN0c8fTPDUFxTduJl1dXUYImj8dZrhMAb1bDq1_M6MKd1SU4hqN4Ee-55F_czLtomvku-VoCgLQ6szpGcbUKe4sp5RO9d191NwbKLhnwOoOrV/s400/079.JPG" style="margin-left: auto; margin-right: auto;" width="400" /></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;">Ndugu Faustin Sungura </td></tr>
</tbody></table>
<div style="text-align: justify;">
<v:shape id="_x0000_s1026" style="height: 183.6pt; left: 0px; margin-left: 0px; margin-top: 0px; mso-position-horizontal-relative: margin; mso-position-horizontal: left; mso-position-vertical-relative: margin; mso-position-vertical: top; position: absolute; text-align: left; width: 235.2pt; z-index: 251660288;" type="#_x0000_t75"><v:imagedata o:title="079" src="file:///C:\DOCUME~1\edglk\LOCALS~1\Temp\msohtmlclip1\01\clip_image001.jpg"></v:imagedata><w:wrap anchorx="margin" anchory="margin" type="square"></w:wrap></v:shape><span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Mwishoni mwa mwaka 2012, baadhi ya wananchi wa mkoa wa Mtwara walifanya maandamano ya amani na yaliyofuata utaratibu wa sheria zilizopo, kwa lengo la kufikisha ujumbe waliokuwanao kwa viongozi. Maandamano hayo yaliitimishwa kwa mkutano wa hadhara. Kati ya mengi yaliyozungumzwa kwenye mkutano huo, ni pamoja na suala la gesi iliyogundulika hivi karibuni mkoani humo. Baadhi ya wananchi Mkoani Mtwara, wanataka rasilimali hiyo ya gesi ifuliwe na kusambazwa kwa watumiaji ikitokea mkoani Mtwara. Wanapinga hatua ya serikali kuu ya kujenga njia (bomba) ya kuisafirisha gesi kutoka Mtwara na kwenda kufuliwa, kisha kusambazwa nchini ikitokea Dar es Salaam. Baada ya kutolewa kwa msimamo huo wa wananchi wa Mkoa wa Mtwara, upele umeota na kusambaa kwenye ngozi na sasa wakunaji wa upele huo wameingia kazini wakitokea sehemu mbalimbali na staili zao tofauti tofauti za ukunaji.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Kuna baadhi yetu watanzania, wanaona kuwa, gesi kufuliwa na kusambazwa kutokea Mkoa Mtwara hakuleti tija kwa afya ya ustawi wa umoja na mshikamano wa kitaifa. Kwamba tumekuwa na utamaduni wa kutumia maliasili za taifa sote pamoja, siyo tu katika eneo moja ilikopatikana na au kugundulika kwa rasilimali fulani. Wanadai kwamba, miundombinu ya kufua umeme tayari ilishajengwa Dar es Salaam hata kabla ya kugundulika gesi ya Mtwara, hivyo ni rahisi kusafirisha gesi kutoka Mtwara na kuifulia jijini, na kwamba walaji wakubwa wa zao la gesi wanapatikana jijini Dar es Salaam, lakini pia kwamba wakazi wa Mtwara hawajaachwa nyuma kwani nao watapewa mgao wa nishati hii nyeti.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Aidha, serikali ya Chama Cha Mapinduzi, kupitia kwa waziri mwenye dhamana ya nishati na madini, alipata kutoa ufafanuzi wa ni kwa nini gesi isafirishwe kutoka Mtwara ili ifuliwe jijini Dar es Salaam. Alieleza vile vile kwamba, baadhi ya wananchi wa Mtwara waliondamana hawakuwa na ufahamu wa kutosha juu ya kile wanachopinga na au walikuwa wanachochewa na watu wa kambi ya upinzani, yaani viongozi wa vyama vya upinzani vya UPDP, CUF, TLP, Chadema, NRA, NCCR – Mageuzi, na vingine.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Hatimaye muwasho wa upele huu ukafika hata kwa wazee wa Mkoa wa Tabora, walipotoa msimamo wao mbele ya mkuu wa nchi, ambaye pia ameungana na wazee hao kwamba, rasilimali ya gesi iliyogundulika Mkoani Mtwara ni mali ya watanzania wote bila kujali mwananchi anayekaa Kagera, Arusha, Dodoma, kwingine popote na hiyo Mtwara yenyewe.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Aina lukuki za ukunaji wa upele huu, ndizo zimenifanya nitenge muda kidogo, nifikiri ni chambue na kuandika haya. Hakika kutenga muda, kufikiri, kuchambua na kuandika juu ya jambo ni kazi ngumu sana, ni kazi inayohitaji utulivu, staha na uvumilivu, lakini pia ni wajibu na hasa kwa watu makini.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Ninaandika makala haya nikiwa na ufahamu kuwa, wananchi (japo sio wote) wanajua kusoma na kuandika, ila sina uhakika kama wote tunaojua kusoma na kuandika tunapenda pia kusoma na kuandika.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<b><span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Ninaandika makala haya, nikiwa mmoja wa watanzania wanaounga mkono maandamano na madai ya baadhi ya wanamtwara.</span></b></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Ninawaunga mkono huku nikiistaajabia kauli ya serikali kwamba, “<b><i>waliondamamana hawakuwa na ufahamu juu ya mpango wa serikali wa kusafirisha gesi kutoka huko kuja Dar es Salaam kwa sababu hata wao watanufaika na mradi huo.</i></b>” Ninastaajabu kwa sababu, idadi kubwa ya wenyeviti wa Vijiji, Mitaa, Madiwani na Wabunge wengi wa Mkoa wa Mtwara wanawawakilisha wananchi kupitia Chama Cha Mapinduzi. hawa nao (baadhi yao) walishiriki maandamano! Kwa kuwa serikali iliyo madarakani inatekeleza Ilani na sera za Chama Cha Mapinduzi, ninapata shida kuilewa vizuri dhana hii kwamba watu hawafahamu, kwa sababu, kama serikali inasema ukweli inakuwaje wawakilishi wa wananchi wa Mkoa wa Mtwara na ambao pia walishiriki kuzinadi Ilani na sera za CCM hawakujua mipango ya serikali yao? KinyumeLabda serikali iweke wazi kwamba Ilani na Sera za CCM zipo wizarani na siyo katika ngazi za vijiji, mitaa, kata na majimbo.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Katika hali ya kawaida ningetarajia kuona maandamano ya baadhi ya wananchi wa Mkoa wa Mtwara yanahusisha tu na au kuungwa mkono na wale ambao hawajui Ilani na Sera za CCM. Inapotokea baadhi ya wenyeviti wa vijiji, mitaa, madiwani na wabunge wa CCM wanaunga mkono maandamano, basi ni vema tukajua kuwa ngozi hii inawasha zaidi tunavyoona kwa juu na wakunaji waliobobea wanahitajika sana.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Maadamano yaliyohusisha viongozi na au kuungwa mkono na viongozi hao ni kielelezo kizuri kuwa hawajui kile kinachofanywa na chama chao, wametengwa na au hawashirikishwi katika mambo ya msingi.Kama CCM tangu awali ilikuwa na mambo yalifanyika na kwa maslahi ya wanamtwara lilikuwa jambo jema kuwahusisha na kama hawakuhusishwa walistahili kufanya kile walichokifanya (<i>maandamano</i>). </span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Aidha ninaungana na watoa hoja ya kwamba <b>masuala ya gesi ya Mtwara yaamuliwe na wanamtwara</b> kwa sababu, sikubaliani na mawazo kuwa huo ni ubaguzi na kwamba ni kurudisha nyuma maendeleo ya taifa kwa ujumla wake.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Serikali na baadhi ya watu, wana mtizamo kwamba, madini na au rasilimali inayopatikana eneo fulani, isitumike tu kwa ajili ya eneo hilo bali ipelekwe eneo lingine na au sehemu zingine za nchi kwa mgawo ulio sawia. Binafsi ninauona mtazamo huu kuwa wenye kasoro kubwa na pengine ndicho chanzo cha kuifanya nchi yetu na hasa raia wetu wengi waendelee kuishi katika hali ya umasikini na hasa ule mbaya kuliko umasikini wa kipato, yaani umasikini wa mawazo.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Ni makosa makubwa sana, nchi kuweka mayai yote kwenye kapu moja. Si jambo la afya ya ustawi wa taifa kufanyia kila kitu kwenye mji mmoja kwa hoja hafifu kuwa ni kurahisisha huduma. hatari ya kapu moja ina mifano dhahiri. Matharani, mikoa mingi ya Tanzania bara ikiondolewa tu ile ya kusini, inategemea daraja la mto Ruvu kuingia na kutoka Dar es salaam. Siku daraja hilo litakapoharibika na au kuhujumiwa ndipo tutaona umuhimu wa kuwa na zaidi ya barabara mbili au tatu za kuingilia na kutokea Jijini. Ninaandika makala haya nikiamini ya kuwa, kuwa na chanzo kingine cha umeme na nje ya mkoa wa Dar es salaam ni moja ya hatua chanya na ambayo kila aliye makini anatakiwa kuiunga mkono.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Wilaya, au Mikoa yote kusikopatikana na kunakopatikana rasilimali mbalimbali, kwa pamoja ndizo zinaunda nchi itwayo Tanzania. Tanzania inatumia rasilimali za wilaya A, B na C kwa ajili ya maendeleo ya wilaya hizo lakini pia rasilimali hizo zinatumika kwa ajili ya maendeleo ya wilaya D, E, F nk. Huu ndio msimamo wa serikali, lakini pia baadhi ya wananchi ndio wanaounga mkono, sina hakikia kama kuunga kwao mkono kunatokana na mazoea, uelewa au kuamini kile wanachoelezwa na serikali</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Hata hivyo, inapotokea madini <b>x</b> au rasilimali <b>y </b>yamengundulika kwenye eneo <b>A</b> na ambalo linakaliwa na wananchi, huwa serikali inawaondoa eneo hilo, lakini haiwafidii wananchi wa eneo <b>B</b> au <b>C</b> bali wale wale wa eneo <b>A</b>.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Tunapoendelea kuliangalia hili tujiulize pia kama ni sahihi kwa wananchi wanaokaa karibu sana na viwanda vya sukari kama Mtibwa Mkoani Morogoro, Kagera Mkoa Kagera na TPC-chama mjini Moshi, Mkoani kilimanajaro, wanafurahia kununua kilo moja ya sukari kwa shilingi <b>x</b> kama wanavyonunua wakazi wengine wanaokaa umbali wa kusafiri kwa masaa 12 kutoka eneo la viwanda hivi.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Sina hakika, kama mtanzania anayeishi mita chache kutoka kwenye kiwanda cha magari aina ya <i>TOYOTA</i> nchini Japani, ataacha kununua gari kwa bei nzuri, badala yake aje kununua gari kama hilo kwenye yadi zetu hapa ‘Bongo’ kwa bei ya kibongo eti kwa sababu tu… aagh!</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Sina hakiki kama uamuzi wa serikali za awamu za nyuma wa kujenga viwanda kama Mutex, Ngozi, Magunia mjini Moshi nk, mbali na zinakopatikana malighafi nk ulikuwa unazingatia maslahi ya wananchi.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Sina hakika kama wakazi na au wananchi wanaokaa karibu na bahari, maziwa na mito mikubwa wanafurahia kununua mazao yatokanayo na maji hayo (hususan samaki) kwa bei kubwa kama wale wanaokaa mbali sana na maziwa, bahari na mito mikubwa.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Sina hakika kama bei za mazao ya wakulima zinazotolewa wakati wa ununuzi wa mazao hayo huko mashambani, zinaoana kwa ulali na bei ya mazao hayo kwenye masoko yetu ya Tandale, Kariakoo, Kisutu na kwingineko kwingi.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Sina hakika kama kutatokea muujiza kwamba kufulia umeme wa gesi ya Mtwara na kuusambazia Dar es Salaam kutamnufaisha mwananchi wa Mtwara, wakati mlaji wa umeme anaiyeishi Dar es Salaam ananunua umeme kwa bei ile ile kama anavyonunua mkazi Kidatu na Mtera yaliko mabwawa ya maji.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Ninarejea kauli yangu ya awali, ninaunga mkono wananchi wa Mtwara wawe na maamuzi ya rasilimal hiyo kwa sababu kadhaa,</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Kabla ya kueleza sababu hizo moja kwa moja, ningalipenda wasomaji wa makala haya, waifananishe Tanzania na mmoja wa wazazi wa watoto <b><i>x</i></b>, <b><i>y</i></b> na <b><i>z.</i></b></span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Kwamba, Tanzania kama baba analo kujukumu la kuwatunza watoto hawa kwa ulinganifu na bila ya upendeleo wowote. Hata hivyo, mzazi (Tanzania) anayo pia majukumu mengine mazito zaidi ya kuwatunza watoto wake. Matunzo ya watoto hawa yanahitaji gharama kubwa lakini pia kuna kazi na au shughuli nyingine zinazohitaji fedha na gharama kubwa ambazo zinamuangalia mzazi huyu (Tanzania).</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Akili zangu ndogo zilizomo kwenye <b><i>medula oblongata</i></b> yangu, zinatosha kuona mantiki ya hoja ya wakazi wa Mtwara.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Mtwara kama moja wa watoto wa mzazi aitwaye Tanzania, anasema “<b><i>Baba nimekuwa mtu mzima na sasa ninataka kujitegemea.” </i></b>Watu makini wanatarajia baba awe mwenye furaha kwa kumlea mtoto wake hadi utu uzima, na sasa mzigo wa kulea unapungua, anapumua, anapumzika baadhi ya majukumu.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Mtwara (mtoto <b><i>x</i></b>) kati ya watoto watatu (<b><i>y</i></b> na <b><i>z</i></b>) wa mzazi wetu (Tanzania) anamwambia baba yetu kuwa, yeye amepata kazi, anaomba aruhusiwe kufanya kazi, bila shaka kufanya kwake kazi kutawanufaisha hata hao ndugu zake <b><i>y</i></b> na <b><i>z</i></b> na hata baba yetu mzazi (Tanzania).</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Kama ingalitokea fursa nikapata hadhi ya kuwa mzazi wa watoto hawa (<b><i>x</i></b>, <b><i>y</i></b> na <b><i>z</i></b>) nisingalimzuia mmoja wao kufanya kazi ya kumuingizia kipato. Siyo kweli kuwa uchumi wa <b><i>x </i></b>unaweza kuathiri uhusiano wake na <b><i>y</i></b> au <b><i>z</i></b> dhidi ya mzazi wao.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Familia tatu za ukoo wa Uledi, kamwe haziwezi kuhatarisha uwepo wa ukoo eti kwa sababu familia mojawapo ya ukoo huo imepata fedha na au utajiri.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Hebu tuichukulie gesi kama bidhaa na au mazao mengine ya mashambani au viwandani.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Joel Mapunda ni mkazi na mkulima wa mahindi wilayani Songea, mazao yake yameiva shambani na sasa amevuna magunia mia moja ya mahindi. Mzee Mapunda ni baba wa familia ya mke mmoja na watoto wanne. Sina hakika kama Mzee Mapunda anawajibika kulima shamba kubwa ili awalishe jirani na au rafiki zake, kama vile Mzee Bernald Mbawala na wala Simioni Mhagama. Ninaandika makala haya nikiwa na uhakika wa asilimia zote kuwa, Mzee Joel Mapunda anaweza kutumia magunia yote mia moja, lakini siyo kwa kukoboa na kusaga kwa ajili ya kusonga tu ugali. Ninaandika makala haya nikiwa na uhakika wa asilimia zote kuwa, mahindi na au unga siyo mahitaji pekee ya lazima ya familia ya Mzee Joel Mapunda, familia hii itahitaji pamoja na mambo mengine au vitu vingine kama; Mchele, Unga wa ngano, Mafuta ya Alizeti au yale ya Mawese, Vitunguu, Nyanya, Mafuta ya taa, Sukari, Mavazi, Kusafiri, Ada kwa ajili ya shule, Michango ya harusi, misiba n.k, na vitu hivyo vitahitaji fedha.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Ninapoandika makala haya, japo akili zangu zimevurugwa na wakunaji upere kuukuna ndivyo sivyo, sina uhakika kuwa, kuhitaji fedha za matumizi mengine kutaleta <b><i>ubaguzi</i></b> na kuacha kumuuzia mahindi yake Ndugu Jacob Malecela wa Dodoma, Hamis Mtolya wa Temeke, Anastazia Kimatuzi wa Kigoma, Daimoni Mwasampeta wa Mbeya, Khatibu Shaha Zaharani wa Ole Kisiwani Pemba nk.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Aidha, sidhani kama hawa wanaonunua mahindi ya Mzee Joel, wanalazimika kwenda Songea ndipo wapate mahindi hayo, lakini pia sina uhakika kama wanaonunua mahindi kwenye masoko ya Tandale, Kariakoo na hata Kibaigwa wanafahamu na au wanauliza jina la mkulima.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Kama ningekuwa na uhakika wa asilimia zote kuwa, watu wote wanaojua kusoma na kuandika, pia wanapenda kusoma na kuandika, mbali na kuandika juu ya mazao ya mahindi ya Mzee Joeli, pia ningeandika juu ya Mzee Anthony Massawe na zao la ndizi kule Kilimanjaro. Isack Masanja na mazao ya pamba na dengu kule Mkoani Shinyanga, Ndugu Pili Kumwembe wa Morogoro na zao la mpunga, Bi Mose Juma wa Michaweni na Asha Muhsini wa Chambani na zao la karafuu na muhogo kisiwani Pemba nk.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Kama ambavyo wakulima wa mazao ya Mahindi, Pamba, Korosho, Kahawa, Katani, Michikichiki, Mpunga, Alizeti, Karanga nk wanavyohitaji fedha za kununulia bidhaa nyingine, kadhalika na wakazi wa Mtwara hawawezi kula gesi, hawezi kuvaa gesi na wala kufanya kiwanda cha gesi kiwe makazi yao badala ya nyumba bora.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Ninaandika makala haya, nikiwa na kumbukumbu za maneno ya baadhi ya wanachama, makada na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi kwamba “<b><i>Serikali ya CCM ni serikali sikivu</i></b>”</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Nimerejea maneno haya, siyo kwa sababu nyingine yoyote bali kwa sababu, matakwa ya watu wa Mtwara yanaweza yasiwe na maana yoyote kama Serikali ya CCM itaamua kushikilia msimamo wa kuendesaha nchi kwa mazoea badala ya hoja kama zinavyojitokeza kwenye baadhi ya mambo ya msingi.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Ninaomba pia usikivu wa serikali siyo kwa sababu nyingine yoyote, bali kwa sababu zinaanza kujionesha baadhi ya dalili za uchafuzi wa amani unaotokana na kupuuzwa, na kudhaurauliwa kwa muda mrefu kwa watu wa kusini, na ndiko kumewafanya wakakata tamaa.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Ulifika wakati, mfanyakazi au mtumishi wa serikali, kuhamishiwa na au kutishiwa kupelekwa Mtwara, kama moja ya adhabu halali ya kosa alilolifanya katika utendaji wake kazi wa kila siku.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Ninaandika makala haya, kama mmoja wa watu waliowahi kufuga mmoja wa wanyama wa ndani, mnyama huyu hutokea akawa rafiki wa mfugaji,wakapendana na hata wakati mwingine tofauti za unyama wao zikapotea na wanyama hawa wakawa kama ndugu. Siku isiyo jina, mmoja wao anapomkosea mwenzake, na hata aliyekosewa akaona na kuhisi kudharauliwa, kunyanyasika, urafiki wao hupotea na nafasi yake ikajazwa na uadui.Hapa ndipo panaponifanya niiomba serikali ya CCM kuwa wasikivu.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Mbali na busara za wazee wa CCM na Serikali yake, panahitaji pia na nia njema ya kuwatendea <b><i>mema</i></b> wakazi wa Mkoa wa Mtwara.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Ninapoandika makala haya, zao la Korosho linalolimwa kwa wingi Mkoani Mtwara, halijawahi kuwa na bei ya hovyo kwenye soko la dunia, zao hili limeliingizia taifa fedha nzuri za kigeni kama yalivyo mazao ya Kahawa na Pamba.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Ni mtu yule tu ‘aliyetokwa na akili’ kama mimi, na ambaye hakuwahi kuitembelea miji ya Moshi, Mwanza na Mtwara, atakayesadiki na kuamini kuwa miji hiyo inafanana kwa majengo yake, barabara zake, huduma na hata maendeleo ya wakazi na wenyeji wa mijji hiyo mitatu.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Kama wale ambao ‘hawajatokwa na akili’ kama mimi, ambao ‘wana akili zao’ siku zote, wataona moja ya miji ya Moshi, Mwanza na Mtwara haifanani na wala kukaribiana na miji mingine. Inapotokea wakazi au wenyeji wa mji ule wakaanza kulalamika na wakaambiwa kwamba malalamiko yao hayana msingi, kwa usemi wa siku hizi, basi hapo sharti pakachimbika bila jembe.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Kutorejewa kwa akili zangu za kawaida wakati ninaandika makala haya na ili kuomba pasichimbike bila ya jembe, kumenifanya niyakumbuke maneno ya aliyepata kuwa mwandisi mashuhuri wa vitabu katika ukanda huu wa Afrika ya Mashariki, Shaaban Robert aliyepata kusema wakati wa uhai wake kwamba, “<b><i>Busara kubwa kichwani haina faida, kama moyoni hakuna chembe ya wema</i></b>”</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Baada ya kusema haya, ningalipenda kufahamu madhara yatakayolipata taifa, kama serikali na hususani wizara, itaamua kufua gesi na kusambaza umeme kutokea Mtwara badala ya Dar es Salaam.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Watanzania ‘waliohamwa na akili’ kama mimi, tungalipenda kujua gharama halisi za kufuliwa na kusambazwa umeme kutokea Mtwara kwenda Dar es Salaam na kwingineko. Aidha, tungalipenda kujua gharama halisi za mradi wa kusafirisha gesi kutoka Mtwara na kufulia gesi hiyo Dar es Salaam. </span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Tunataka kujua ukweli kwani, kwa uchache wa akili tunadhani njia ya sasa ya kusafirisha gesi imefikiwa kwa sababu ya maslahi ya baadhi ya maafisa wa serikali. ninapoandika makala haya, halmashauri ya Jiji la Dar es salaam tayari inawahamisha baadhi ya wafanyabiashara wa kituo kikuu cha mabasi yaendayo na kutoka nje ya Jiji la Dar es salaam kwa maelezo ya kupisha barabara za magari ya mwendo kasi. Hatua hii inanialika niwe na mawazo kuwa, Serikali yetu haina mipango ya muda mrefu wala ile ya muda mfupi. Tunaendesha mambo kwa kukurupuka. Kuna watu wanadhani kuwa, uwepo wa magari yaendayo kwa kasi kutapunguza msongamano wa magari jijini.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Lilikuwa jambo jema, napengine muhimu sana, kujiuliza na au kujua ni kwanini watu wanapenda kuja kuishi Dar es salaam. Njia sahihi na pengine ya suluhisho la muda mrefu ya kupunguza msongamano wa magari na watu, ni kuhamisha baadhi ya vitu vinavyowafanya watu wapende kuishi Dar es salaam kwenye mikoa mingine.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Watu hawaji Dar es salaam kufuata joto, majengo marefu, barabara za njia mbili, la! wana jambo na au mambo fulani. Mambo na au jambo hilo ndilo linatakiwa kushughulikiwa ili sasa lipatikane Mtwara, Lindi, Singida, Mara, Manyara, Kaskazini Pemba, Kusini Unguja nk. Tukiliweka jambo hilo kwenye mikoa hiyo, serikali haitawaambia watu wahame Dar es salaam na wala mabondeni, wataondoka wenyewe na Jiji litapumua vizuri.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">“<b><i>Hatuwezi kuondoa msongamano wa magari, kama watu wanaendelea na hata kushindania kupata fursa ya kuja kuishi Jijini</i></b>”.Haya ni mawazo yangu ya kijinga na ambayo hayanikeri kuwa nayo na wala kutamani na kuwa na zaidi ya haya.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Nimeandika makala haya nikiamini kwamba, kuacha gesi ya Mtwara ikaamuliwa na wanaMtwara, hakuwezi kuwa sababu ya kuondoa umoja, upendo na mshikamano miongoni mwetu.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Ninaamini kwa sababu, wakazi na au wenyeji wa Mtwara watahiji baadhi ya bidhaa na au huduma ambazo hazipatikani Mtwara, watalazimika kama ilivyokuwa kwa Mzee Joel Mbawala wa Songea kuuza mahindi yake, kuuza umeme unaotokana na gesi yao kukidhi mahitaji mengine.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Ninapoandika makala haya, sina uhakika kuwa kuna mkoa ambao hauna rasilimali zake na umefika wakati sasa inabidi serikali ikubali kupunguza matumizi yake na hasa yale yasiyo na tija, ijiendeshe kwa kupata ruzuku kutoka mikoani badala ya yenyewe kutoa ruzuku mkoani.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Hivi sasa Tanzania in mikoa 30 kati ya mikoa hiyo, mitano ipo Zanzibar na iliyobakia ipo upande wa pili wa Muungano. Dhana kwamba rasilimali zinazopatikana Mkoa fulani zisitumiwe tu na mkoa huo bali pia kwa mikoa mingine, ina siri kubwa nyuma ya pazia, dhana hii inatumiwa na wanyonyaji na wavivu wa kufikiri na hata wale wa kufanya kazi.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Tunapozumzia rasilimali, hautuzungumzii tu madini, mbunga za wanyama, maziwa, mito na bahari tu, bali pia watu, vipaji, ardhi nk.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Ninaandika makala haya, Mkoa wa Kilimanjaro ukiongoza kwa kuwa na shule za sekondari na nyingi zazo zikiwa za binafsi, lakini pia na ambazo hazikosi kutoa shule 2 – 4 katika shule kumi (10) bora kila mwaka. Wenyeji wa mkoa huu ni wachagga, lakini shule hizi hazipokei wanafunzi kwa kigezo cha ukabila, yeyote anayejihisi ana uwezo wa kugharamia ada ya mwanaye anao uhuru wa kutafuta nafasi ya kumsomesha mwanae.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Lushoto ni moja ya wilaya za Mkoa wa Tanga, wenyeji wa wilaya hii ni wasambaa, taasisi moja isiyo ya kiserikali inamiliki shule moja ya Kifungilo, ni shule nzuri kwa maana ya kuwa na walimu wanaolipwa vizuri, wenye wito na karama ya ualimu, ipo kwenye mazingira mazuri kwa mwanafunzi kujisomea. Wakati wa kufunga au kufungua shule na hata wakati wa usaili (Interview) ya wanafunzi wapya, shule hii huwa na magari mengi ya wazazi wa wanafunzi wasio wa wilaya hii na wala Mkao wa Tanga kwa ajili ya kuwasindikiza watoto/wanafunzi.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Mkoani Arusha kuna mgodi wa machimbo ya madini huko Mererani, wachimbaji wadogo kwa jina la <b><i>Nyoka</i></b> wapo wengi na wanatoka mikoa ya Kilimanjaro, Tanga, Pwani, Manyara, Singida nk. Moja ya sifa ya kupata kazi ya <b><i>unyoka</i></b> ni uvumilivu, nguvu na sanaa ya kuongea au namna ya kutumia akili na ulimi na wala siyo uenyeji wa mkoa wa Arusha.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Shule za Kilimanjaro, ile ya Kifungulo na nyingine nyingi na nzuri pamoja na machimbo ya Mererani, huwa haziiti watu, bali watu wenyewe ndio hufuata kilicho bora.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Mbali na wafanya biashara wengine na wazuri sana, Wachagga ni watu wanaojua na kupenda biashara, hakuna mkoa hata mmoja ukiacha mikoa miwili ya Kaskazini na kusini Pemba ambayo haina biashara ya wachagga, pia wapo kwenye ofisi nyingi za serikali kuu na hata serikali za mitaa, hawa wanafuatiwa kwa karibu na Wahaya, Wasukuma, Wanyamwezi, Wanyakyusa nk.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Ninapoandika makala haya, kuna hatari katika miaka hamsini ijayo, Mkoa wa Dar es Salaam hautakuwa na mwenyeji wa asili, hii inatokakana na wengi wa wenyeji wa mkoa huu kuuza viwanja na mashamba kwa fedha wanazoona ni nyingi sana kwao na kuanza kutafuta maeneo sehemu mbalimbali za mkoa wa Pwani.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Nimelazimika kuyaeleza haya kuonesha kuwa, hakuna mradi wowote unaoweza kuanzishwa na mkoa wowote na mradi huo ukawanufaisha tu watu na au wenyeji wa mkoa huo tu.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Ninapoandika makala haya, baadhi ya makampuni ya usafirishaji wa abiria na yanayomilikwa na matajiri wa makabila mbalimbali, tayari yamejipatia sifa na wateja wa mikoa mingine kutokana na huduma zao na siyo kwa sababu ya kampuni ya mfanyabiashara wa kabila fulani.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Pamoja na kwamba akili zangu hazijarejea, ninafajirika sana kusikia kwamba; Mtwara kuna rasilimali ya gesi; kwamba harufu nzuri ya mchele wa Kyela, haitokani tu na mbegu bali udongo wake na ambao haupatikani kokote zaidi ya Kyela; Kwamba mazao ya Karanga, Alizeti na Michikichi yakiongezewa nyenzo na kutiliwa mkazo, nchi haina haja ya kuagiza mafuta ya kupikia tusiyoyajua yanatokana na nini; kwamba Nazi ni kiungo pekee cha Mboga, Kitoweo na Chakula tunacho; kwamba Dagaa wa Kigoma wakipata mpishi mzuri, basi nyama ya kuku na samaki vitadoda; kwamba nguo zilizotengenezwa kwa pamba, zina bei kubwa kwenye soko la dunia kuliko zile za sufi; kwamba wakazi wa Moshi wanashangaa kusikia eti maji yasiyochemshwa yana madhara; kwamba Mananasi ya Chalinze huliwa takribani na makabila 80 – 90 wapitao Chalinze kwenda mikoani kila siku; kwamba ni Samaki tu anayewezwa kufanywa kitoweo hata siku 20 baada ya kuvuliwa tofauti na kitoweo cha mnyama mwingine na hasa kwa maskini tusio na mojokofu, na samaki tunao tanzania; na kwamba Senene ni mdudu anayeweza kuhifadhiwa kwa kipindi kirefu na bado akaliwa kwa ladha ile ile.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Ninasikitika kwamba, yapo mengi ya kuonesha rasilimali tulizo nazo, lakini muda siyo rafiki bali tu kwa ufupi, umefika wakati sasa tuambiwe ni mkoa upi usio na rasilimali ili sasa tuwe na sababu chanya ya kuzuia gesi ya Mtwara isifuliwe na kusambazwa kutokea Mtwara bali Dar es Salaam.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Ninaandika makala haya nikiamini ya kuwa, mbali na wenyeji wa Mkoa wa Mtwara, kuna wakazi wa mkoa huo na ambao siyo wenyeji wa asili (kabila) wa Mkoa huo, hawa ni watu kutoka mikoa ya Lindi, Ruvuma, Iringa, Mbeya, Kilimanjaro nk.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Kiwanda cha kufua gesi na kusambaza umeme kitajengwa na kusimamiwa na wataalam wa mambo ya ujenzi, wafanyakazi watahitajika na ukabila haitakuwa sifa ya kupata kazi, umeme utakaozalishwa hauwezi kuwa ndiyo hitaji pekee la wenyeji na wakazi wa Mtwara, itabidi wauze umeme nje ya mkoa wa Mtwara, wakazi wa Mtwara wakiwa na uwezo mzuri wa kifedha wanaweza kama wakipenda kuhama Mtwara na kwenda kuwekeza kwenye mikoa mingine kama walivyofanya watu wa makabila mengine.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Ninamalizia makala yangu nikiamini ya kwamba, wasomaji wa makala haya hawatajali sana kuhama kwa akili zangu, bali uzito na au wepesi wa hoja zinazobeba makala haya.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Ninamalizia makala haya katika ukweli kwamba “<b><i>hakuna fedha inayoweza kukosa matumizi na hasa inapokuwa mfukoni mwa mmiliki wake</i></b>”</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Ninamalizia makala haya, huku serikali kuu ikiwa ni mkusanyaji mkuu wa kodi, ushuru na mpokeaji wa misaada mikubwa na mikopo kutoka nje ya nchi, ndiyo inayotoa ruzuku mikoani, kwenye wilaya na halmashauri nchini.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Ninaamini kuwa, matumizi mabaya na hata ufujaji wa fedha za serikali unatokana na jinsi inavyopata fedha kwa urahisi sana.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Kuweka viwango vikubwa vya kodi ni moja ya kielezo cha kuonesha jinsi serikali isivyotaka kujihangaisha katika kutafuta kodi halali inayotakiwa kupatikana kwa kila anayestahili kulipa kodi.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">“<b><i>Siyo jambo la kujivunia, wala lenye tija, afya na ustawi wa ulipaji kodi kwa serikali kukusanya shilingi milioni moja kutoka kwa walipa kodi kumi. Ni jambo la kujivunia na lenye tija kwa afya na usitawi wa ulipaji kodi kwa serikali kukusanya shilingi milioni moja kutoka kwa walipa kodi hamsini</i></b>” kwani, serikali huonesha jinsi ilivyo waandaa raia na kuwa na ufahamu wa wajibu badala ya kuonekana kuwa kodi ni adhabu.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Kadiri serikali itakavyoshusha viwango vya kodi, ndivyo watu wengi watakavyolipa kodi, kadiri serikali itakavyopata kodi kwa taabu, ndivyo nidhamu ya matumizi ya fedha za umma itakavyoimarika.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: center;">
<u1:p></u1:p><br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<br /></div>
<div class="MsoNormal" style="text-align: justify; text-justify: inter-ideograph;">
<b><i><span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;">Makala haya yameandaliwa na Faustin Sungura, mwanachama, na mmoja wa waanzilishi wa NCCR – Mageuzi. Wakati ninaandaa makala haya nilikuwa ninakaimu nafasi ya Ukatibu Mkuu. Hata hivyo haya siyo mawazo ya chama bali yangu binafsi</span></i></b><span lang="EN-US" style="font-family: ''sans-serif'','serif'; mso-ansi-language: EN-US;"> – <b><i>0659 -643191</i></b></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-bottom: 0pt; text-align: justify;">
<u1:p></u1:p></div>
NCCR-Mageuzihttp://www.blogger.com/profile/12112294368976556802noreply@blogger.com0